Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
Kwanza mlango wa ndege hufunguka kuelekea mwelekeo wa nje, kitu ambacho si rahisi kuuvunja kwa kutokea nje tena kwa kuugonga kwa kutumia kasia. Basi tuseme kasia lilikua zito na imara na mtumiaji alikuwa jitu lenye nguvu mingi aliyeshika kasia na kuutwanga mlango wa ndege mpaka mlango ukabondeka na kufunguka.
Swali: Mbona ndege ilipovutwa ukingoni mwa ziwa mlango wa abiria unaonekana ni mzima kabisa na hauna ata mikwaruzo au ubonyevu wowote?
Binafsi sina chuki wala wivu na dogo Majaliwa ila akili yangu huwa haipokei pasipo kujiridhisha
Swali: Mbona ndege ilipovutwa ukingoni mwa ziwa mlango wa abiria unaonekana ni mzima kabisa na hauna ata mikwaruzo au ubonyevu wowote?
Binafsi sina chuki wala wivu na dogo Majaliwa ila akili yangu huwa haipokei pasipo kujiridhisha

