Shujaa Majaliwa ni wa mchongo?

Shujaa Majaliwa ni wa mchongo?

Ndio kusema yy pekee ndio alikuwepo eneo la tukio

then yy ndio aojiwe pekee kati ya wote waliokuwepo

tafakari
Hakuna mwandishi wa habari atakuja kukuhoji wewe usie na content

Majaliwa ndie pekee aliemuona Rubani akiwa hai,ulitaka uje uhojiwe wewe?

Media ndio zinachagua nani wa kumuhoji na sio majaliwa aliita Press,bali

anafatwa anajibu anavyoulizwa, Hebu na wewe kuwa Shujaa wa Mchongo

ukiona Ajali kama ile au janga la moto Dumbukia jitose kaokoe waliomo uone how it feels kuwa shujaa wa mchongo.

Majaliwa ni Mfano na zawadi aliyopewa anastahili sana,ni Haki yake.
 
Something is cooked something ili wenye upeo mdogo msifikirie nje ya box

Leo mjadala mkubwa ni shujaa majaliwa na sio uwajibikaji wa wenye dhamana ktk ajali ile.

Watu kama nyie mpo wengi humu vichwa ni vigumu kufunguka
Mange aliposema jitokezeni tumuondoe mwizi mkuu ulichukua hatua gani,ccm ni jini linanyonya watu wengi kwa pamoja,what are you doing
 
Mbona hukuhoji makamu kuwa Rais bila kuchaguliwa,Mbona hukupinga Raizer kuwa na billions Kutoka Tanzanite,mbona hujapinga kupokea gesi na wachina unakuja kumwonea mvuja jasho asie kuwa hata fisadi.
Msenge wewe sababu majitu yanaiba unamwonea wivu kijana mmoja umeacha juikemea system inayotupoka pesa za kodi na zinaibwa,son of bitch
OOHH OHHHH punguza bro motomkali achana nae huyo
 
Mbona hukuhoji makamu kuwa Rais bila kuchaguliwa,Mbona hukupinga Raizer kuwa na billions Kutoka Tanzanite,mbona hujapinga kupokea gesi na wachina unakuja kumwonea mvuja jasho asie kuwa hata fisadi.
Msenge wewe sababu majitu yanaiba unamwonea wivu kijana mmoja umeacha juikemea system inayotupoka pesa za kodi na zinaibwa,son of bitch
Tuliza munkali we kima mweusi sumbua ubongo wako wacha kulala
 
Hakuna mwandishi wa habari atakuja kukuhoji wewe usie na content

Majaliwa ndie pekee aliemuona Rubani akiwa hai,ulitaka uje uhojiwe wewe?

Media ndio zinachagua nani wa kumuhoji na sio majaliwa aliita Press,bali

anafatwa anajibu anavyoulizwa, Hebu na wewe kuwa Shujaa wa Mchongo

ukiona Ajali kama ile au janga la moto Dumbukia jitose kaokoe waliomo uone how it feels kuwa shujaa wa mchongo.

Majaliwa ni Mfano na zawadi aliyopewa anastahili sana,ni Haki yake.
Na hapo ndipo tatizo lilipoanzia mkuu.
 
Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.
Ni vyema kama ungejikita kujadili waokoaji toka uwanja wa ndege, mita 100 toka ilipoanguka ndege walikuwa wapi? Utawala wa mkoa/Wilaya ulikuwa wapi............. N.K.

Achana kupoteza muda na kumjadili Majaliwa. Iwe yeye au wenzake walikifanya kilichokwenye uwezo wake bila elimu ya ajali ya ndege. Upende usipende , pongezi za kijana huyu ziko pale pale hata kama asingeokoa hata mtu mmoja. Cha msingi ni ari ya kujitoa mhanga, nia yake na uharaka wa kulikimbilia tatizo.
 
NI WA MCHONGO SHUJAA ni ABIRIA alikuwa kwenye Ndege Anaitwa VICTOR huyu alikuwa Mtu wa kwanza kutoka baada ya Mfanyakazi wa Ndege KUFUNGUA Mlango kwa ndani
Mbona vivtor alisema kabisa mlango uligoma kufunguka ila ghafla ukawa umefunguka
 
Ni vyema kama ungejikita kujadili waokoaji toka uwanja wa ndege, mita 100 toka ilipoanguka ndege walikuwa wapi? Utawala wa mkoa/Wilaya ulikuwa wapi............. N.K.

Achana kupoteza muda na kumjadili Majaliwa. Iwe yeye au wenzake walikifanya kilichokwenye uwezo wake bila elimu ya ajali ya ndege. Upende usipende , pongezi za kijana huyu ziko pale pale hata kama asingeokoa hata mtu mmoja. Cha msingi ni ari ya kujitoa mhanga, nia yake na uharaka wa kulikimbilia tatizo.
Mwenye kupongeza mwache apongeze lkn isizuie wengine kuhoji sarakasi zinazoendelea
 
Mbona kila anayetoa mawazo mbadala mnafikiri anamuonea wivu majaliwa kwa ajira yake ya mchongo aliyoipata, kwa ajira gani hasa Hadi watu na akili zao wamuonee wivu?

A free minded society needs more clarification about what it happens during the insidents,

Sio mnakuja juu juu tu na kuleta habari za majaliwa shujaa wkt wapo watu ndio walipaswa wabebe hiyo credit

Hili tukio baada ya ajali limekuwa staged ili ku clear the air.

Stuka.

Uliposema "kwa ajira gani hadi watu na akili zao waone wivu" hapo ndio ulipojidhihirisha kua una wivu,

Kwa kua umegraduate na hadi sasa hali tete kitaa kigumu ungepambana hata upate ajira ya kujitolea sehemu kuliko kuona wivu kwa kijana mwenzio tena mdogo wa umri,

Chuki na Roho mbaya huzaa mikosi,

Shtuka.
 
Uliposema "kwa ajira gani hadi watu na akili zao waone wivu" hapo ndio ulipojidhihirisha kua una wivu,

Kwa kua umegraduate na hadi sasa hali tete kitaa kigumu ungepambana hata upate ajira ya kujitolea sehemu kuliko kuona wivu kwa kijana mwenzio tena mdogo wa umri,

Chuki na Roho mbaya huzaa mikosi,

Shtuka.
Kwakuwa hujui unayemjibu wacha nikupe pole, watoto tuliowazaa wanamaliza vyuo vikuu ndio tuwe tunahangaika na ajira Sasa hivi

Tatizo lenu vijana nyie ni wavivu wa kutafuta maarifa ndio maana kila mtakacho ambiwa mnameza kama kilivvyo
 
Na hapo ndipo tatizo lilipoanzia mkuu.
Hapana,
Tatizo lipo hapa

 
Hapana,
Tatizo lipo hapa

Usiamini kila kinacholetwa humu.
 
Kwakuwa hujui unayemjibu wacha nikupe pole, watoto tuliowazaa wanamaliza vyuo vikuu ndio tuwe tunahangaika na ajira Sasa hivi

Tatizo lenu vijana nyie ni wavivu wa kutafuta maarifa ndio maana kila mtakacho ambiwa mnameza kama kilivvyo
Vicheko vya dharau vya mkeo na kukuita Ng'ombe kwa rafiki zake ndio imezalisha hiyo roho chafu yako
 
Vicheko vya dharau vya mkeo na kukuita Ng'ombe kwa rafiki zake ndio imezalisha hiyo roho chafu yako
We huoni uzi umechangiwa na watu wengi kuna wahanga wa kweli katika hilo so ukiwa na Imani kwamba kila mkasa humu jukwaani ni wakweli tafuta shamba ulime
 
Toa ujinga hapa sisi tunasubiri report ya blackbox kwa sasa
 
Tujadili kweli. Katika kujadili kwa kutumia logic, kweli Kuna Mambo ya juu ya shujaa huyo yanaleta mkanganyiko. Kuna Mambo unaweza shindwa kuyaelewa kwa haraka haraka. Hoja hizi ndio zinaibua mjadala katika kuelewa ukweli wa Jambo hili la shujaa anayetajwa.
 
Back
Top Bottom