Shujaa Majaliwa ni wa mchongo?

Shujaa Majaliwa ni wa mchongo?

Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.
Nimepinga tangu mwanzo kuwa huyu majaliwa is a small part in the wholew saga of kuokoa if not "nonsense" katika story nzima ya uokozi wa abiria. Nilipinga tangu mwanzo, praise and worship takataka zinanitukana. Nimeendellea kupinga maana mimi si dodoki kupokea/kufyonza kila kitu bila kuhoji wakati kuna kitu unakiona kuwa hihki hakiwezekani kwa environment iliyokuwepo pale! asante for cementing that!
 
Ndio kusema yy pekee ndio alikuwepo eneo la tukio

then yy ndio aojiwe pekee kati ya wote waliokuwepo

tafakari

Mkuu neno Tafakari linakuhusu zaidi wewe. Hata kuwaza Tu kuandika uzi huu ulipaswa utafakari kwanza kwa kina nini unataka na Lengo lako ni nini. Lakini la msingi zaidi Jifunze kuwa na Shukrani. Uwepo wake nk inatosha.

Wakati wewe unatumia bando lako kwa Tafakari (negative) yeye alikuwa anatafuta Mlo wa Familia. Naamini Maombi yake yalikuwa at least apate daily kitu cha kusaidia Familia yake.

Mimi nimemsikia akihojiwa na ameeleza mambo mengi akitumia uwingi, yeye na wenzake. Sasa sijui wewe version yako umeamka nayo wapi.
 
Ndio kusema yy pekee ndio alikuwepo eneo la tukio

then yy ndio aojiwe pekee kati ya wote waliokuwepo

tafakari
Sasa hilo ni jukumu la majaliwa la kuhoji watu wengine?
Walio mfuata na kumuhoji ndio wanajua nn kilicho tokea na ndio maana walimfuata yeye na si hao wengine.

Yaani hako kaajira aliko pewa Majariwa ndo kapo kana kuchoma roho yaani watz kwa wivu hatujambo.
 
Katika filamu yoyote ya kutisha washiriki ni wengi ila komando ni mmmoja!!
Hiyo filamu komando alikuwa shujaaa majaliwa!! Acheni ale mema ya inchi, MUNGU ni wa wote
Sasa ni mema ya nchi yapi anayokula aisee ila watz ama kweli ni mbumbu wa kupindukia!!
 
Majaliwa ni kweli kuna effort aliifanya , Kwanza kutoa first alert ya ajali Kwa wavuvi wenzake na kuchumpa eneo la tukio , na kweli kuna jitihada aliifanya , Ila kuna vitu vingi vipo exaggerated kuhusu ushujaa wa majaliwa , sema dogo kalala maskini kaamka tajiri
 
Haijalishi alisaidia au hakusaidia hata kama hakuufungua huo mlango, kwanza inawezekana hiyo ndo Mara yake ya kwanza kuisogelea ndege na hajui chochote kuhusu mlango wa ndege lakini nia na moyo wake wa kuhitaji kutoa msaada na kujaribu kuufungua kwa kupiga na kasia bila kuhitaji malipo ya yeyote hiyo inatosha kwake kupata neema zote alizopata sasa.

Wapo watu na unform zao tena jeshi la wananchi wanalipwa mshahara lakin walibaki nje ya ziwa huku wamekunja mikono Kama wanaangalia sinema hata kushiriki kuvuta kamba tu hawakushiriki, alicho kifanya majaliwa siyo kitu kinacho weza kufanywa na watu Kama wewe, wewe kitu pekee unachoweza kufanya ni umbea na kumfatilia Mangekimambi huko Instagram
Stuka mkuu story ni hizo hizo kwa kila mtu huoni kuna Jambo limefichwa hapo?
 
Nimepinga tangu mwanzo kuwa huyu majaliwa is a small part in the wholew saga of kuokoa if not "nonsense" katika story nzima ya uokozi wa abiria. Nilipinga tangu mwanzo, praise and worship takataka zinanitukana. Nimeendellea kupinga maana mimi si dodoki kupokea/kufyonza kila kitu bila kuhoji wakati kuna kitu unakiona kuwa hihki hakiwezekani kwa environment iliyokuwepo pale! asante for cementing that!
Atleast you think something.
 
Mkuu neno Tafakari linakuhusu zaidi wewe. Hata kuwaza Tu kuandika uzi huu ulipaswa utafakari kwanza kwa kina nini unataka na Lengo lako ni nini. Lakini la msingi zaidi Jifunze kuwa na Shukrani. Uwepo wake nk inatosha.

Wakati wewe unatumia bando lako kwa Tafakari (negative) yeye alikuwa anatafuta Mlo wa Familia. Naamini Maombi yake yalikuwa at least apate daily kitu cha kusaidia Familia yake.

Mimi nimemsikia akihojiwa na ameeleza mambo mengi akitumia uwingi, yeye na wenzake. Sasa sijui wewe version yako umeamka nayo wapi.
Wewe ni miongoni mwa wale wanaotaka Jambo hili lipite kama lilivyo bila ya tafakuri ya kina

Simuonei wivu huyu shujaa lkn something is wrong somewhere.
 
Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.
Mwache afande Majaliwa ale mema ya nchi...

Kama unashangaa ya Majaliwa. basi hujakutana na ya Piere Liquid na Dr. Shika.... Yawezekana hujaona ya Babu wa Loliondo wala ya bondia mtaalam wa kupigwa... .
 
Sasa hilo ni jukumu la majaliwa la kuhoji watu wengine?
Walio mfuata na kumuhoji ndio wanajua nn kilicho tokea na ndio maana walimfuata yeye na si hao wengine.

Yaani hako kaajira aliko pewa Majariwa ndo kapo kana kuchoma roho yaani watz kwa wivu hatujambo.
It's not about ajira mkuu it's about the truth,

Kuna kamba nyingi sn tume fungwa Sasa wachache tumestuka

Halafu Sasa huyu shujaa ukimsikilza vizuri maelezo yake hayapo consistently

Leo akihijiwa ni tofauti na Mara ya kwanza wkt anahojiwa pale kitandani

Hili pilau lililopikwa limewekwa viungo vingi
 
Kati ya wavuvi woote waliokua wanaokoa watu pale imekuwaje ni majaliwa Pekee ndie akachukua nafasi kubwa?

He is a star of a Rescue Team tumpe pongezi zake.

mimi wivu nimemwachia shetani
Open the puzzle mkuu.
 
Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.
Hizi sio katika sifa za mwanaume aliyekamilika kuwa hater kwa mambo ya watu bila sababu ya msingi
Jamaa kusogea tu hadi eneo la tukio ni ushujaa tosha ndege ingeweza hata kulipuka pale inaonesha ungefurah kusikia "
waliojaribu kuokoa watu katika ndege wamefariki baada ya ndege kulipuka"
Waokoaji walikuwa wengi lakini ndo zari limemdondokea dogo achana na chuki za kike assume tu ni mdogo ako au kaka ako au mwanao ni Majaliwa itakusaidia kupunguza chuki kwasababu kivyovyote vile ungekuwa upande wake tu

Acha umama utaota manyonyo,

Generation yakina jumalokole tabu tupu
 
Sasa ni mema ya nchi yapi anayokula aisee ila watz ama kweli ni mbumbu wa kupindukia!!
Wewe ndio mbumbu, Mimi nimetumia lugha kuwasilisha ujumbe Kwa hadhira ila wewe hujaelewa nilicholenga kuwasilisha,
 
Haijalishi alisaidia au hakusaidia hata kama hakuufungua huo mlango, kwanza inawezekana hiyo ndo Mara yake ya kwanza kuisogelea ndege na hajui chochote kuhusu mlango wa ndege lakini nia na moyo wake wa kuhitaji kutoa msaada na kujaribu kuufungua kwa kupiga na kasia bila kuhitaji malipo ya yeyote hiyo inatosha kwake kupata neema zote alizopata sasa.

Wapo watu na unform zao tena jeshi la wananchi wanalipwa mshahara lakin walibaki nje ya ziwa huku wamekunja mikono Kama wanaangalia sinema hata kushiriki kuvuta kamba tu hawakushiriki, alicho kifanya majaliwa siyo kitu kinacho weza kufanywa na watu Kama wewe, wewe kitu pekee unachoweza kufanya ni umbea na kumfatilia Mangekimambi huko Instagram
Huu uzi ulitakiwa kuishia hapa
 
Back
Top Bottom