Wakati huo rubani yupo chini ya majiKuamini au kutoamini ilo ni jambo lingine, lkn swala la mazungumzo lugha iliyotumika ni lugha ya ishara na akaelewa rubani anahitaji msaada gani.

Hostess yupo wapi sa hiiNimeona mahojiano ya baadhi ya Manusura wakimtaja Air hostess mmoja kwamba Ndiye aliyefungua mlango na kuwaongoza kutoka nje, pia Kitu kinanitatiza mara nyingi naona kama mlango wa ndege huwa unafungwa kwa ndani!
Dogo huna kazi nyingine za kufanya? Hilo limeshapita, tumwache kijana amepata riziki yakeLet's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,
Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.
Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.
Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji
Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?
Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.
Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.
Maswali ni mengi kuliko majibu
What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?
Msinipige mawe tujadili.
Wale waliokuwemo ndani hawakuwa na uwezo wa kumuona aliyekuwa anasaidia kuuvuta huo mlango kwa nje!! Na kuhusu mhudumu kufariki huenda alikuwa anajaribu kuwaokoa wengine ndio na yeye akazidiwa na maji ndani ya ndege ! Maana maji yalikuwa yanaingia zaidi baada ya mlango kuwa wazi. !!Kwa uelewa wangu mdogo, iko ivi MAJALIWA alisaidia mlango kufunguka huku watu waliokuwa ndani ya ndege nao wakipambana kufungua (maana sidhani kama wangeweza kufungua wenyewe na forc me ya maji yaliopo ndani nanjee) hivyo alivyo fanikiwa kupamiza mlango na kufunguka kwa vile alikuwa na wenzie kwa mtumbwi mdogo akawaacha watu waendelee kutoka ndo akaelekea kwa rubani kumsaidia na ndipo alipoopa vifaa vya kumsaidia kuvunja kioo cha pilot ikashindikana, ndipo rubani akamwelekeza afungue mlango wa emegence na ndipo alipo patwa na tatizo adi akajikuta hospital kutokana na iyo kamba kuachia na kumpiga uso.
Ila stori inawalakin maana waliokuwa ndani wanasema muhudumu wa ndege ndo alifungua mlango je kama ni kweli mbona wanasema amefariki? Ivyo alifungua alafu akarudi ndani tena au?
Kabisa. Ni AIBU kijana mzima kulilia bahati ya kijana mwenzie HADHARANI
Ukwel anaujua Muumba... kama maji yalianza kuingia kwa rubani je walikuwa wanawasiliana nae vipi? Maana mkuu wamkoa alisema wanazungumza na rubani yupo salama? Na mtu aliemkataza majaliwa achane na rubani alimwambia maji hayaingii kwa kasi upande wa rubani? Ivyo aache. Maswali ni mengiWakati huo rubani yupo chini ya maji
Mashuhuda wanasema within 1 minutes ndege ilikuwa imeshajaa maji na ikizingatiwa rubani hukaa mbela na kule mbele maji ndipo yalianza kuingia
Hili somo watakuja kuelewa vizuri kizazi Cha baadae sana sie nyie Wala chips yai na pweza.
UmemalizaHaijalishi alisaidia au hakusaidia hata kama hakuufungua huo mlango, kwanza inawezekana hiyo ndo Mara yake ya kwanza kuisogelea ndege na hajui chochote kuhusu mlango wa ndege lakini nia na moyo wake wa kuhitaji kutoa msaada na kujaribu kuufungua kwa kupiga na kasia bila kuhitaji malipo ya yeyote hiyo inatosha kwake kupata neema zote alizopata sasa.
Wapo watu na unform zao tena jeshi la wananchi wanalipwa mshahara lakin walibaki nje ya ziwa huku wamekunja mikono Kama wanaangalia sinema hata kushiriki kuvuta kamba tu hawakushiriki, alicho kifanya majaliwa siyo kitu kinacho weza kufanywa na watu Kama wewe, wewe kitu pekee unachoweza kufanya ni umbea na kumfatilia Mangekimambi huko Instagram
Nadhani kilichosababisha kupaizwa sana ni kutokana na kupoteza fahamuSikatai juhudi zake ila kumpaisha yeye tu na kuwaacha wenzake aliokuwa nao haijakaa sawa. Inakuzwa kama vile alikuwa peke yake.
Kweli kabisa uelewa wako ni mdogo. Ndege ilikuwa na wafanyakazi 4 ambapo ni Rubani na msaidizi wake pamoja na wadada 2 ambao ni wahudumu.Kwa uelewa wangu mdogo, iko ivi MAJALIWA alisaidia mlango kufunguka huku watu waliokuwa ndani ya ndege nao wakipambana kufungua (maana sidhani kama wangeweza kufungua wenyewe na forc me ya maji yaliopo ndani nanjee) hivyo alivyo fanikiwa kupamiza mlango na kufunguka kwa vile alikuwa na wenzie kwa mtumbwi mdogo akawaacha watu waendelee kutoka ndo akaelekea kwa rubani kumsaidia na ndipo alipoopa vifaa vya kumsaidia kuvunja kioo cha pilot ikashindikana, ndipo rubani akamwelekeza afungue mlango wa emegence na ndipo alipo patwa na tatizo adi akajikuta hospital kutokana na iyo kamba kuachia na kumpiga uso.
Ila stori inawalakin maana waliokuwa ndani wanasema muhudumu wa ndege ndo alifungua mlango je kama ni kweli mbona wanasema amefariki? Ivyo alifungua alafu akarudi ndani tena au?
Sawa, Yote Heri Mungu ni mwema. Tushukuru kwa kila jambo dogo iyo ni bahati yake tumuache afuraie keki ya taifa ni wakati wake.Wale waliokuwemo ndani hawakuwa na uwezo wa kumuona aliyekuwa anasaidia kuuvuta huo mlango kwa nje!! Na kuhusu mhudumu kufariki huenda alikuwa anajaribu kuwaokoa wengine ndio na yeye akazidiwa na maji ndani ya ndege ! Maana maji yalikuwa yanaingia zaidi baada ya mlango kuwa wazi. !!
Ukiangalia na kufuatilia Ile ajali Ile ndege ilizama sana upande wa 1/3 ya mbele na abiria walifanikiwa kuokolewa ni wale wa nyuma na mlango haukuwa ndani ya maji! Kama ingekuwa hivyo sidhani Kuna mtu angeweza kushinda a na force ya maji baada ya mlango kufunguliwa na akawe a kuokoa idadi ya watu zaidi ya 20,ukiangalia Mfano wa chumba cha Marubani kilikuwa kimezama chini ndio maana Majaliwa alikatazwa kuvunja kioo kuokoa Marubani maana in real sense asingeweza kushinda na nguvu ya maji kuingia ndaniHostess yupo wapi sa hii
Ni kweli huenda alipambana kufungua mlango lakini kwa force ile ya maji ndani na nje mlango ungefunguka kweli? Nahic apa ndipo majaliwa alipochukua credit baada ya mlango watu wandani walivyo kuwa wanapambana kufungua yeye ndipo akaumalizia kwa njee
Okay, tumshukuru Mungu kwa kila jambo.Ukiangalia na kufuatilia Ile ajali Ile ndege ilizama sana upande wa 1/3 ya mbele na abiria walifanikiwa kuokolewa ni wale wa nyuma na mlango haukuwa ndani ya maji! Kama ingekuwa hivyo sidhani Kuna mtu angeweza kushinda a na force ya maji baada ya mlango kufunguliwa na akawe a kuokoa idadi ya watu zaidi ya 20,ukiangalia Mfano wa chumba cha Marubani kilikuwa kimezama chini ndio maana Majaliwa alikatazwa kuvunja kioo kuokoa Marubani maana in real sense asingeweza kushinda na nguvu ya maji kuingia ndani
Ni kweli kabisa huyu dogo nyota yake imeng'aa lkn hayo yote hakufanya peke yake rejea mahojiano ya Mwanzo akiwa hospital alikuwa na mpoint mwenzake kwamba walifanya wote jitihada za uokozi, nafikiri kwa kutambua hilo ndio maana Mh Raisi amewapa Asante kijiwe Chao chote million 10 wagawane.Sikatai juhudi zake ila kumpaisha yeye tu na kuwaacha wenzake aliokuwa nao haijakaa sawa. Inakuzwa kama vile alikuwa peke yake.