Shujaa Majaliwa ni wa mchongo?

Shujaa Majaliwa ni wa mchongo?

Mimi nahitimisha kuwa dogo niwamchongo ndio maana ndicho kitu mnapenda kusikia ili mfurahi, lakini pia dogo ameshatoboa kimaisha hata kama tushinde na tukeshe tunamjadili haitabadili kitu, hata kama hakuokoa mtu kitendo cha kijana mdogo kama huyo kufika tu eneo la tukio wa kwanza ni ujasiri tosha ingekuwa nyie vijana wa Dar mngesimama pembeni kupiga picha na smart zenu kama waandishi wa habari, vijana tuacheni wivu kuna vitu vingi vya kujadili vinavyoweza kubadili maisha yetu.
Labda kama aliwahi kupata chochote kitu miongoni mwa manusura wa ajali who knows?
 
In life omba bahati mengine yote utazidishiwa.

Ni dhahiri Majaliwa hakufanya uokoaji mwenyewe ila bahati imemuangukia yeye.

Mandonga mtu kazi alipigwa ila ndo alijulikana kuliko mshindi.

Pierre liquid alipewa Hadi ubalozi wa taifa stars kwa ulevi wake.

I'm a hardcore believer of hard work ila bahati plays a chance hata kama ni 0.1% that .1% could be a game changer. Omba bahati mengine yote utazidishiwa
Ni kweli...bahati nayo kwenye maisha ipo.
 
Kama kuna watu walihatarisha maisha yao kupata chochote kitu pale morogoro kwa kuzoa mafuta yaliyomwagika na kupelekea watu wale kuungua Moto

Itamshinda vp a mere maskini anae gaagaa na upwa kukimbilia ndege ili angalau abahatishe kitu?

Lkn hoja kuu hapa ni namna majaliwa alivyo fanya yote hayo kwa muda mfupi na story yake kutrend kuliko ajali yenyewe?

Kuna code wengi wenu mmeshindwa kuzifungua na itachukua muda kufanikiwa japo wachache machale yamewacheza
 
Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.
Kuna interview za majaliwa hujaskiliza. Umeruka ruka vipande unataka uje kuwa great thinker bila enough research mkuu. Mbona alisema alipotoka kwa pilot alimuelekeza kuna mlango wa emergency then akaona kamba akaichukua akawa anataka aje aifunge sehemu ili aendelee kuokoa watu kumbe kamba inavutika ikamchapa akapoteza fahamu. Sasa adanganye ili iweje.

Wewe ungefanya nini kama ungekua eneo la tukio?

Acha mtoto wa watu ale neema zake
 
Kama kuna watu walihatarisha maisha yao kupata chochote kitu pale morogoro kwa kuzoa mafuta yaliyomwagika na kupelekea watu wale kuungua Moto

Itamshinda vp a mere maskini anae gaagaa na upwa kukimbilia ndege ili angalau abahatishe kitu?

Lkn hoja kuu hapa ni namna majaliwa alivyo fanya yote hayo kwa muda mfupi na story yake kutrend kuliko ajali yenyewe?

Kuna code wengi wenu mmeshindwa kuzifungua na itachukua muda kufanikiwa japo wachache machale yamewacheza
Kwa kuwa wewe ni great thinker kuliko wote humu basi sawa tumeamua tusizione hizo code. Tukio lishatokea
 
Kuna interview za majaliwa hujaskiliza. Umeruka ruka vipande unataka uje kuwa great thinker bila enough research mkuu. Mbona alisema alipotoka kwa pilot alimuelekeza kuna mlango wa emergency then akaona kamba akaichukua akawa anataka aje aifunge sehemu ili aendelee kuokoa watu kumbe kamba inavutika ikamchapa akapoteza fahamu. Sasa adanganye ili iweje.

Wewe ungefanya nini kama ungekua eneo la tukio?

Acha mtoto wa watu ale neema zake
Na wewe ukaamini kwamba majaliwa aliongea na rubani chini ya maji
 
Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.
All in all Majaliwa mvuvi ni shujaa chawa acheni wivu. Hajajitangaza mwenyewe ila waliyoshirikiana na waliyoona ndio wameona roll yake. Bila shaka kijana ni jasiri na mwenye uwezo kufanya maamuzi.
Ushujaa wake hajapewa na dola ambayo ilishindwa kufanya kile kilichotakiwa. Hawana cha kikosi cha uokozi efficient ila ni cha jina na kuoneshwa kwenye magwaride tu. Hawa kwanza hawafurahii kuona raia eti ndio shujaa wa uokozi kwenye ajali kama hiyo ya ndege. Hawawezi kumchonga raia eti ndio shujaa.
 
All in all Majaliwa mvuvi ni shujaa chawa acheni wivu. Hajajitangaza mwenyewe ila waliyoshirikiana na waliyoona ndio wameona roll yake. Bila shaka kijana ni jasiri na mwenye uwezo kufanya maamuzi.
Ushujaa wake hajapewa na dola ambayo ilishindwa kufanya kile kilichotakiwa. Hawana cha kikosi cha uokozi efficient ila ni cha jina na kuoneshwa kwenye magwaride tu. Hawa kwanza hawafurahii kuona raia eti ndio shujaa wa uokozi kwenye ajali kama hiyo ya ndege. Hawawezi kumchonga raia eti ndio shujaa.
Something is cooked something ili wenye upeo mdogo msifikirie nje ya box

Leo mjadala mkubwa ni shujaa majaliwa na sio uwajibikaji wa wenye dhamana ktk ajali ile.

Watu kama nyie mpo wengi humu vichwa ni vigumu kufunguka
 
Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.
Serikali imejua kuwaweza 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221113-082851.png
    Screenshot_20221113-082851.png
    247.1 KB · Views: 9
Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.
NI WA MCHONGO SHUJAA ni ABIRIA alikuwa kwenye Ndege Anaitwa VICTOR huyu alikuwa Mtu wa kwanza kutoka baada ya Mfanyakazi wa Ndege KUFUNGUA Mlango kwa ndani
 
Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.

Hakukosea aliyesema hii nchi ni ngumu sana. Siasa kila mahali.

IMG_20221113_111631_626.jpg
 
Back
Top Bottom