Shujaa Majaliwa ni wa mchongo?

Shujaa Majaliwa ni wa mchongo?

Mimi nahitimisha kuwa dogo niwamchongo ndio maana ndicho kitu mnapenda kusikia ili mfurahi, lakini pia dogo ameshatoboa kimaisha hata kama tushinde na tukeshe tunamjadili haitabadili kitu, hata kama hakuokoa mtu kitendo cha kijana mdogo kama huyo kufika tu eneo la tukio wa kwanza ni ujasiri tosha ingekuwa nyie vijana wa Dar mngesimama pembeni kupiga picha na smart zenu kama waandishi wa habari, vijana tuacheni wivu kuna vitu vingi vya kujadili vinavyoweza kubadili maisha yetu.
😂😂Fact broo yaani kakaa kabisa na kitako anaandika alafu anajiona ana point kwamba ni wa mchongo yaani sisi vijana wa bongo tuna mawazo ya kitoto sana
 
Kweli kabisa uelewa wako ni mdogo. Ndege ilikuwa na wafanyakazi 4 ambapo ni Rubani na msaidizi wake pamoja na wadada 2 ambao ni wahudumu.

Waliofariki ni rubani na msaidizi wake hao wadada walili walitoka salama na ndio waliokuwa wakitoa msaada kwa abiria wengine ikiwa ni pamoja na kufungua mlango.

Nenda kaangalie Qualifications of Air Hostess ndio utajua mlango ulifunguliwa vipi na hao abiria 21 walisaidiwa vipi.
1 - Air Hostess ni lazima awe na mafunzo ya kutosha juu ya uogeleaji pamoja na kumsaidia kuokoa watu kwenye maji.
2- Hawa wanaijua ndege vyema pia milango yote ya dharula pamoja na kufungua milango wakati wa kawaida pamoja na wakati ndege inatatizo.

Watu tulipoambiwa kuwa jina la muokoaji anaitwa Majaliwa basi akili zikakumkichwa
Hiki ndicho nilichokisikia kutoka kwa Manusura na wale crew wawili (Air hostess) walihakikisha wanakuwa wa mwisho kutoka, ila ndio hivyo tena kila mtu na bahati yake.
 
Hawa wadada embu wajitokeze waeleze waondoe utata maana binafsi najua wamefariki embu wajitokeze tupate mashujaa wa kike


Ila kwa ujumla wavuvi waliuliga mwingi, kongole kwao.
 
Hiki ndicho nilichokisikia kutoka kwa Manusura na wale crew wawili (Air hostess) walihakikisha wanakuwa wa mwisho kutoka, ila ndio hivyo tena kila mtu na bahati yake.
Kama ni kweli Mungu awe pamoja nao maana walikuwa wazalendo wakazi yao kweli kweli. Yan unaona kifo hiki apa lakini unarudi ndani kupambana wawengi huu ni uzalendo mkubwa sana.
 
Hawa wadada embu wajitokeze waeleze waondoe utata maana binafsi najua wamefariki embu wajitokeze tupate mashujaa wa kike


Ila kwa ujumla wavuvi waliuliga mwingi, kongole kwao.
Mkuu hao wadada ni wazima wa afya. Mungu ni mwema walitoka salama
 
Mbona kila anayetoa mawazo mbadala mnafikiri anamuonea wivu majaliwa kwa ajira yake ya mchongo aliyoipata, kwa ajira gani hasa Hadi watu na akili zao wamuonee wivu?

A free minded society needs more clarification about what it happens during the insidents,

Sio mnakuja juu juu tu na kuleta habari za majaliwa shujaa wkt wapo watu ndio walipaswa wabebe hiyo credit

Hili tukio baada ya ajali limekuwa staged ili ku clear the air.

Stuka.
Insident= incident
what it happens= what happened

Sentensi isomeke hivi

" A free minded society needs more clarification about what happened during the incident "

-No hard feelings
BTW do you think that Tz kuna free minded society??
 
Insident= incident
what it happens= what happened

Sentensi isomeke hivi

" A free minded society needs more clarification about what happened during the incident "

-No hard feelings
BTW do you think that Tz kuna free minded society??
Forget about my gramar,

Free minded society inajengwa na kizazi kinacho hoji sio kinacho lishwa kila kitu.
 
Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.
kama hukuwepo kwenye tukio usiandike mada kama hizi mkuu, mi nakushauri mtafute aliyemzuia asivunje mlango au dirisha kutoa marubani atakusaidia.
 
Sawa, Yote Heri Mungu ni mwema. Tushukuru kwa kila jambo dogo iyo ni bahati yake tumuache afuraie keki ya taifa ni wakati wake.
Kweli kabisa maana wapo watu wanakula keki ya taifa ile grade one na hawajawahi kulifanyia taifa kitu chochote cha kuwafanya wakumbukwe!! Na wapo waliojitolea maisha yao au kuhatarisha maisha yao kwa ajili ya Taifa lakini walichoambulia ni kebehi tu na kudhalilishwa tu. !! Yote kheri tu malipo ni hapa hapa. !!
 
Insident= incident
what it happens= what happened

Sentensi isomeke hivi

" A free minded society needs more clarification about what happened during the incident "

-No hard feelings
BTW do you think that Tz kuna free minded society??
Wengi akili zimeshikiliwa na wengine. !!
 
Let's do the math. Ilimchukua dk ngapi huyu hero kufungua mlango then na kuokoa watu,

Ukiachilia mbali ile theory ya kuufungua mlango wa ndege kwa Kasia bado watu hawajaielewa vizuri tutaijadili baadae.

Baada ya kufungua mlango shujaa aka dive kutaka kumuokoa pilot lkn alikatazwa kuvunja kioo Cha ndege na mtu asiyejulikana na mpaka Sasa hajulikani.

Baada ya mtu asijulikana kumkataza shujaa asipasue kioo shujaa aka dive tena kurudisha mawasiliano kwa pilot kwamba nimezuiwa nisivunje kioo na shujaa akaonesha ishara ya kuaga kuondoka huko chini ya maji

Sasa haeleweki hiyo kamba iliyokatika na kumchapa shujaa ilikuwa wkt gani wkt anafungua mlango ili abiria watoke au baada ya kushindwa kupasua kioo kumuokoa muongoza ndege?

Lkn Sasa manusura wa ajali wameanza kuzungumza kwamba ndege ilianza kuingia maji dk1 tu tangu ipige mbizi baharini.

Cha ajabu ni kwamba miongoni mwa watu wote walioshiriki uokozi ni shujaa pekee ndiye aliyefuatwa kuhojiwa na TBC.

Maswali ni mengi kuliko majibu

What is behind kwa ku rise shujaa Majaliwa?

Msinipige mawe tujadili.
Fanya kama vile uko civilized,ujifanye kama sio mbongo,jifanye kama hupotezi muda,acheni unoko kama ccm
 
Acha kuwa mvivu wa kufikiri Nani amuonee wivu mtu ambaye ajira yake basic ni laki 5,6au7?

Wacha watu wafikirie
Laki 5 au 6 kwa wengine ni hela ya maana tu Mkuu.
Mnafikiria nini sasa hapo. Si mfikirie vitu vya maana? mnafikiria au mnateseka?
 
Nimepinga tangu mwanzo kuwa huyu majaliwa is a small part in the wholew saga of kuokoa if not "nonsense" katika story nzima ya uokozi wa abiria. Nilipinga tangu mwanzo, praise and worship takataka zinanitukana. Nimeendellea kupinga maana mimi si dodoki kupokea/kufyonza kila kitu bila kuhoji wakati kuna kitu unakiona kuwa hihki hakiwezekani kwa environment iliyokuwepo pale! asante for cementing that!
Mbona hukuhoji makamu kuwa Rais bila kuchaguliwa,Mbona hukupinga Raizer kuwa na billions Kutoka Tanzanite,mbona hujapinga kupokea gesi na wachina unakuja kumwonea mvuja jasho asie kuwa hata fisadi.
Msenge wewe sababu majitu yanaiba unamwonea wivu kijana mmoja umeacha juikemea system inayotupoka pesa za kodi na zinaibwa,son of bitch
 
Back
Top Bottom