Shtuka..! Unaibiwa

Shtuka..! Unaibiwa

miaka ya nyuma nilishawahi kukutana na hiyo changamoto nitakueleza vizuri baadaye hapa haikai
Uelezee kwa kweli ili kama inafunza wengine wajifunze maana hii tabia ipo sana wakati wa safari na walio wengi wanaonaga ni kawaida hasa Me. 😜😜😜
 
Haswaa mtu hashikiwi fimbo kulazimishwa

Tatizo la baadhi ya Ke wakitongozwa hua hawatoi jibu lililonyooka. Atajizunguusha wee na mwanaume anajua huyu ni staki nataka anaongeza speed ambapo sasa mwanamke anaona kama anasumbuliwa

Ukiona mwanamke katongozwa safarini halafu sijui kashuka kabda ya anapoenda ujue huyo hajiamini, anahisi kama jamaa akiendelea kidogo atajikuta anashindwa kumkatalia na ataishia kukulwa

Mwanamke anaejiamini anakujibu kistaarabu akiona huelewi anakupa makavu basi mwenyewe unarudi nyuma na mchezo unaishia hapo
Hahahaha kwa hiyo kuzungushwa ni ishara ya kukubaliwa. Nimechekaaaa
 
n
Uelezee kwa kweli ili kama inafunza wengine wajifunze maana hii tabia ipo sana wakati wa safari na walio wengi wanaonaga ni kawaida hasa Me. 😜😜😜
nitajitahidi ila siwezi eleza yote ngoja mida ifike wengine walale
 
Asie jua kukataliwa kwa sisi wanaume tunasema huyo si mwanaume kamili,na kujitia umangungu wa kang'ang'ania ni kutojiamini.

Mimi mbona humu nimekataliwa mara kibao,nimekubali matokea.... Nacheka sana.
Huo ndio ukamanda mkuu, mwanaume ni kama simba katika kuwinda haogopi kujeruhiwa

Kukataliwa ni sehemu ya game, pengine mwanzo mwanamke anaweza akakukatalia baadae unavyo behave akarudi mwenyewe ukajilia kiulaiini, nawashangaa wanaotumia nguvu na kulazimisha haya mambo kwa usumbufu usiokua na maana kwa Ke
 
Haswaa mtu hashikiwi fimbo kulazimishwa

Tatizo la baadhi ya Ke wakitongozwa hua hawatoi jibu lililonyooka. Atajizunguusha wee na mwanaume anajua huyu ni staki nataka anaongeza speed ambapo sasa mwanamke anaona kama anasumbuliwa

Ukiona mwanamke katongozwa safarini halafu sijui kashuka kabda ya anapoenda ujue huyo hajiamini, anahisi kama jamaa akiendelea kidogo atajikuta anashindwa kumkatalia na ataishia kukulwa

Mwanamke anaejiamini anakujibu kistaarabu akiona huelewi anakupa makavu basi mwenyewe unarudi nyuma na mchezo unaishia hapo
Umeonaeeee. Hii ndio kweli Sesten.

Msimamo ndio kila kitu na wasiokuwa na misimamo ndio kama hao kina brenda. 😂😂😂😂
 
Huo ndio ukamanda mkuu, mwanaume ni kama simba katika kuwinda haogopi kujeruhiwa

Kukataliwa ni sehemu ya game, pengine mwanzo mwanamke anaweza akakukatalia baadae unavyo behave akarudi mwenyewe ukajilia kiulaiini, nawashangaa wanaotumia nguvu na kulazimisha haya mambo kwa usumbufu usiokua na maana kwa Ke
We jamaa una akili saana.

Dah
 
Huo ndio ukamanda mkuu, mwanaume ni kama simba katika kuwinda haogopi kujeruhiwa

Kukataliwa ni sehemu ya game, pengine mwanzo mwanamke anaweza akakukatalia baadae unavyo behave akarudi mwenyewe ukajilia kiulaiini, nawashangaa wanaotumia nguvu na kulazimisha haya mambo kwa usumbufu usiokua na maana kwa Ke
Hiyo mbinu ya kupotea kwa muda mchezoni kivita tunaiita Gorila War Style...!

Ila sisi wengine kama irrevisible reaction ikienda hairudi hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom