Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,984
Ndio wabongo tulivyo ...fitna chuki dharau .kejeli roho mbaya wivu majungu ushirikina uchawi roho mbaya ...yaani hii combo yote wa-bongo ndio Tamaduni yetu vey sad
kweli mkuu.ndio maana wanamuziki wetu wanapata stress,Harmo amefanya ubunifu mkubwa alafu wanamnanga siku nyingine atakata tamaa.
Diamond & Harmo nk wanafanya kazi sana, wanatafuta mkate wao wa kila siku ni sapoti inahitajika sio chuki binafsi