naaaaam mbaya sanaDooh.... itakuwa mbaya eeehhh
ingetusaidia kukushauri vizuriWhy do you wanna know the nationality...?
ewaaaa enjoy your decisionsBasi usijali haitakuwa hivyo.
aseee haya homieHahahahhaaa utulivu wa homie na homie wake ule wa kuhomie-ana ....... aahahahahahhaaa
Kasie Matata. (Silly one )



Do me one favour.... nipe ushauri wa ikiwa ni mtanzania na ikiwa ni mkaburu kisha mie ntachambua kama fenesi.
KCK


wewe ni mjanja sanaaseee haya homie
Mm mtulivu sana tu ila nikiwa provoked hali inaweza isiwe ya utulivu![]()
Uzuri wake wewe ni mnyamwezi mwenzangu, vikitibuka tunabadilisha lugha na kuanza kuongea kinyamwezi hapo lazima tuishie kula asali na karanga na matobolwa. Hehehehheeh
Homie.









ulivyoandika ukimpa mtaalamu wa utungaji wa nyimbo anaweza kutengeneza bonge la rekodi 🙂🙂🙂Kasie wa mahaba, sura mithili ya priyanka Chopra macho malegevu kama unavuta wida.
Hahaha Mungu akupe nini tena...? Au upewe debe la chawa..?
Ukipita mitaani mibabu na vijana wenye uchu udenda unawatoka,wapi penzi lako la kinyamwezi watalitia ubavuni.
Kwenye uwanda wa mahaba wa warembo wenye sifa huniiita Mr. YES...Sasa kasie Nafasi adimu kama hizo unaanzaje kuzipiga mateke..?
SAY YES, hiyo harufu ya mishakiki si mpaka awe anakaribia uwezo wa Jord Pola wa jumba la barazzers...? Umepewa bure ya nini kumunyima mwenzio uchoyo sio mzuri ati..
Zawadi nono hiyo yenye mwelekeo angavu Pokea kwa mikono miwili-mama wa mahaba kasie.
Kalulu the hare! Yes ni hadith kitabuni hahahaAahahahahahahahaaaa Kasie ni kasungura flani hivi eehehehehehehehehheheheeeee.
Ulishawahi kumsikia Kalulu the hare?
Kasie Matata.
Yaani naihurumia kwakweli, nnavo ibania bania. .... sitaki iishe haraka hehehehe ili muda wote iwe mpya mpya. Aahahahahahhaahahhaahhahahahaa
KCK
swadataSenkyuuu