Should I Say Yes....... Should I Say No....

Should I Say Yes....... Should I Say No....

Hahahahhaaa utulivu wa homie na homie wake ule wa kuhomie-ana ....... aahahahahahhaaa

Kasie Matata. (Silly one )
aseee haya homie
Mm mtulivu sana tu ila nikiwa provoked hali inaweza isiwe ya utulivu
 
aseee haya homie
Mm mtulivu sana tu ila nikiwa provoked hali inaweza isiwe ya utulivu

Uzuri wake wewe ni mnyamwezi mwenzangu, vikitibuka tunabadilisha lugha na kuanza kuongea kinyamwezi hapo lazima tuishie kula asali na karanga na matobolwa. Hehehehheeh

Homie.
 
Uzuri wake wewe ni mnyamwezi mwenzangu, vikitibuka tunabadilisha lugha na kuanza kuongea kinyamwezi hapo lazima tuishie kula asali na karanga na matobolwa. Hehehehheeh

Homie.
 
Kasie wa mahaba, sura mithili ya priyanka Chopra macho malegevu kama unavuta wida.

Hahaha Mungu akupe nini tena...? Au upewe debe la chawa..?

Ukipita mitaani mibabu na vijana wenye uchu udenda unawatoka,wapi penzi lako la kinyamwezi watalitia ubavuni.

Kwenye uwanda wa mahaba wa warembo wenye sifa huniiita Mr. YES...Sasa kasie Nafasi adimu kama hizo unaanzaje kuzipiga mateke..?

SAY YES, hiyo harufu ya mishakiki si mpaka awe anakaribia uwezo wa Jord Pola wa jumba la barazzers...? Umepewa bure ya nini kumunyima mwenzio uchoyo sio mzuri ati..

Zawadi nono hiyo yenye mwelekeo angavu Pokea kwa mikono miwili-mama wa mahaba kasie.
ulivyoandika ukimpa mtaalamu wa utungaji wa nyimbo anaweza kutengeneza bonge la rekodi 🙂🙂🙂
 
Aahahahahahahahaaaa Kasie ni kasungura flani hivi eehehehehehehehehheheheeeee.

Ulishawahi kumsikia Kalulu the hare?

Kasie Matata.
Kalulu the hare! Yes ni hadith kitabuni hahaha
 
Back
Top Bottom