Hehehehehehe wewe mkuu kwani iliumbwa ya nn usiibanie acha isuguliwe isioze na utam wakeYaani naihurumia kwakweli, nnavo ibania bania. .... sitaki iishe haraka hehehehe ili muda wote iwe mpya mpya. Aahahahahahhaahahhaahhahahahaa
KCK
If you’re happy with the relationship, and you're in love with him,
SAY YES...otherwise....THINK ABOUT IT...don't SAY NO.![]()
Nimeproposiwa..... somebody bend on knees asking for my finger....
Hehehehehehe ntaweza kweli mambo haya mie.
KCK
hahaha old timersKweli Ngabuu...!!! Kumbukumbu nzuri au mbaya? ?!!
Kama mbaya pole sana, kama nzuri basi shurti urejeshe fadhila. .... (kawaida yetu waswahili = keep change, mkono wa akhsante )
Speaking of Kasiba, anakusalimia anasema muombee kwa Kasie pete yake ikubaliwe.
Asking myself..... should I say yes..... should I say no.... While singing. ....
Kasie Mahaba.
Hujakosea, ilibamba kwenye miaka hiyohiyo uliyosema.
Nakumbuka miaka hiyo sherehe za harusi zilikuwa zinaanzia send off party, wedding ceremony halafu inamaliziwa na inna party... sijui nimepatia majina.... moja wapo ya hizo sherehe miaka hiyo, hiyo nyimbo ilikuwa lazima ipigwe.
Hahahahahhaa bottle party. ... yaani unaalikwa kwenye party ila unakuja na kinywaji chako au unaweza wabebea na wengine... si ndio hivyo au nimekosea??
Hahahahaha wapi mashati ya bahama na suruali mchele mchele tena inakuwa panapana hivi a hahahahahaha looh.
KCK


Kasie wa mahaba, sura mithili ya priyanka Chopra macho malegevu kama unavuta wida.
Hahaha Mungu akupe nini tena...? Au upewe debe la chawa..?
Ukipita mitaani mibabu na vijana wenye uchu udenda unawatoka,wapi penzi lako la kinyamwezi watalitia ubavuni.
Kwenye uwanda wa mahaba wa warembo wenye sifa huniiita Mr. YES...Sasa kasie Nafasi adimu kama hizo unaanzaje kuzipiga mateke..?
SAY YES, hiyo harufu ya mishakiki si mpaka awe anakaribia uwezo wa Jord Pola wa jumba la barazzers...? Umepewa bure ya nini kumunyima mwenzio uchoyo sio mzuri ati..
Zawadi nono hiyo yenye mwelekeo angavu Pokea kwa mikono miwili-mama wa mahaba kasie.
haaa oldies wapi dj john delinger kitamboo sana bila kusahau Joyce sims coming to my life. kumbe nawe muhenga sasa itakua ndoa ya ngapi?
Daaah kweli tunatifautiana upepo, MI Leo nimekula kibuti, wewe dadangu mtu kapropose... View attachment 707741
Mzee mzima hii risala yote umesomewa wewe? Hapo hasira tu. Ukiweza na wewe tulizana usimtumie txt wala kumtafuta, mwenyewe atalianzisha. Anaeamua na kudhamiria kukuacha mara nyingi hakwambii maneno meengi, utaona tu anakata mawasiliano taratibu na baadae anausahau kabisa ujumbe wa NOKIA (Connecting People). Huyo atarudi tu


