Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,438
- 3,951
ah nina wivu sikushauri ng'oDo me one favour.... nipe ushauri wa ikiwa ni mtanzania na ikiwa ni mkaburu kisha mie ntachambua kama fenesi.
KCK
ah nina wivu sikushauri ng'oDo me one favour.... nipe ushauri wa ikiwa ni mtanzania na ikiwa ni mkaburu kisha mie ntachambua kama fenesi.
KCK
ah nina wivu sikushauri ng'o
Wivu tu. Unanisumbua.Kwanini.....
Nashukuru kwa wazo.
Ndo nimeanza kama hivyo...Hahahahahhaa looh, usiniambie ni wivu..... sasa si uniambie tuu, ukikaa kimya mie ndo ntakuwa sijui kama unasikia wivu.
Basi usisumbuke tena niko hapa...
KCK
Ndo nimeanza kama hivyo...
Ila Shhhh... Usimwambie huyo jamaa. Acha kimya kimya nimpindue ki-intelijensia.
Tangu uachwe humu unahangaika sana kasie.
Hahah...Hahahahaaa haya twende kimya kimya....
Siwezi mwambia bana maana sipendagi ugomvi ugomvi.
Wee mpindue tuu hakuna namna heheheheh.
Tarehe 26/4 si ndo kilele cha mapinduzi?? Basi anza mchakato ikifika siku ya kilele tunainua bendera.
Halafu kimya kimya inautamu wakee. ....hehehe.
Hahahahaaa haya twende kimya kimya....
Siwezi mwambia bana maana sipendagi ugomvi ugomvi.
Wee mpindue tuu hakuna namna heheheheh.
Tarehe 26/4 si ndo kilele cha mapinduzi?? Basi anza mchakato ikifika siku ya kilele tunainua bendera.
Halafu kimya kimya inautamu wakee. ....hehehe.
Hahah...
Kwa kweli nimefurahi sana.
Ngoja nimuache kabisa na dem wangu.
Hii bahati iliyoje
Usiwe na wasi.Hahahahaaa kila la kheri, angalia tuu mtu asijenitumia wimbo hapa akisema the boy is mine.... mambo hayo sifanyagi mie....
I play, he choose me over stay far, keep quiet and never come back.
I also play, he can't stand what he say, go take him... He wasn't man enough for me.....
Kasie ni shiiiddeeer hehehehhee
Kasie Matata.
Usiwe na wasi.
I can assure you, hakuna atakayekusumbua hapa JF. I havent made my mark yet hapa.
Fate and JF algorithms has landed me to you.
Im ready for revolution... So Tell that guy to be ready. The Sexy Dark Father is coming.
And yes maam, Kasie ni shida.
Thanks.Ooh woow, am sure atapita hapa na atasoma hivo ujumbe atakuwa kaupata. .
Wish you all the best and lucky.
Kasie Mahaba.