Should I Say Yes....... Should I Say No....

Should I Say Yes....... Should I Say No....

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
2018-03-08 01.33.31.jpg


2018-03-08 01.33.31.jpg


Yaani imetokea mida hii ya usiku mnene......

Sijamjibu bado, niseme ndio au hapana? Na hivi niko off kazini hadi jumatatu hehehee nahisi kutakuwa na harufu ya mishkaki kama ile ya gudume.

Kasie Matata.
 

Attachments

  • 2018-03-08 01.27.36.jpg
    2018-03-08 01.27.36.jpg
    127.1 KB · Views: 57
Kasie wa mahaba, sura mithili ya priyanka Chopra macho malegevu kama unavuta wida.

Hahaha Mungu akupe nini tena...? Au upewe debe la chawa..?

Ukipita mitaani mibabu na vijana wenye uchu udenda unawatoka,wapi penzi lako la kinyamwezi watalitia ubavuni.

Kwenye uwanda wa mahaba wa warembo wenye sifa huniiita Mr. YES...Sasa kasie Nafasi adimu kama hizo unaanzaje kuzipiga mateke..?

SAY YES, hiyo harufu ya mishakiki si mpaka awe anakaribia uwezo wa Jord Pola wa jumba la barazzers...? Umepewa bure ya nini kumunyima mwenzio uchoyo sio mzuri ati..

Zawadi nono hiyo yenye mwelekeo angavu Pokea kwa mikono miwili-mama wa mahaba kasie.
 
View attachment 707285

View attachment 707285

Yaani imetokea mida hii ya usiku mnene......

Sijamjibu bado, niseme ndio au hapana? Na hivi niko off kazini hadi jumatatu hehehee nahisi kutakuwa na harufu ya mishkaki kama ile ya gudume.

Kasie Matata.

Kasiba umenikumbusha mbali sana.

Umenikumbusha miaka ya 80.....1987 au 1988 hivi ambapo hilo debe ndo lilikuwa kwenye chati.

Nakumbuka enzi hizo ‘bottle party’ kwa sana.

Daaaah! I miss those days.
 
Thats lovely Kasie,mungu

akujaalie mnyamwezi ww useme "yes"mambo yanoge
 
Kasie wa mahaba, sura mithili ya priyanka Chopra macho malegevu kama unavuta wida.

Hahaha Mungu akupe nini tena...? Au upewe debe la chawa..?

Ukipita mitaani mibabu na vijana wenye uchu udenda unawatoka,wapi penzi lako la kinyamwezi watalitia ubavuni.

Kwenye uwanda wa mahaba wa warembo wenye sifa huniiita Mr. YES...Sasa kasie Nafasi adimu kama hizo unaanzaje kuzipiga mateke..?

SAY YES, hiyo harufu ya mishakiki si mpaka awe anakaribia uwezo wa Jord Pola wa jumba la barazzers...? Umepewa bure ya nini kumunyima mwenzio uchoyo sio mzuri ati..

Zawadi nono hiyo yenye mwelekeo angavu Pokea kwa mikono miwili-mama wa mahaba kasie.

Hahahahahahahaa ulivonipamba looh, hadi nimevuta taswira hehehehehehee.

Am confused kwakweli.... The ring is so nice.

Anyways let me see hii weekend lazima kieleweke.

KCK
 
Daaah kweli tunatifautiana upepo, MI Leo nimekula kibuti, wewe dadangu mtu kapropose..

Mzee mzima hii risala yote umesomewa wewe? Hapo hasira tu. Ukiweza na wewe tulizana usimtumie txt wala kumtafuta, mwenyewe atalianzisha. Anaeamua na kudhamiria kukuacha mara nyingi hakwambii maneno meengi, utaona tu anakata mawasiliano taratibu na baadae anausahau kabisa ujumbe wa NOKIA (Connecting People). Huyo atarudi tu
 
Du


Unaihurumia kuwaka moto


Hehehehehehehe

Teh

Yaani naihurumia kwakweli, nnavo ibania bania. .... sitaki iishe haraka hehehehe ili muda wote iwe mpya mpya. Aahahahahahhaahahhaahhahahahaa

KCK
 
Kasiba umenikumbusha mbali sana.

Kweli Ngabuu...!!! Kumbukumbu nzuri au mbaya? ?!!

Kama mbaya pole sana, kama nzuri basi shurti urejeshe fadhila. .... (kawaida yetu waswahili = keep change, mkono wa akhsante )

Speaking of Kasiba, anakusalimia anasema muombee kwa Kasie pete yake ikubaliwe.
Asking myself..... should I say yes..... should I say no.... While singing. ....

Kasie Mahaba.

Umenikumbusha miaka ya 80.....1987 au 1988 hivi ambapo hilo debe ndo lilikuwa kwenye chati.
Hujakosea, ilibamba kwenye miaka hiyohiyo uliyosema.
Nakumbuka miaka hiyo sherehe za harusi zilikuwa zinaanzia send off party, wedding ceremony halafu inamaliziwa na inna party... sijui nimepatia majina.... moja wapo ya hizo sherehe miaka hiyo, hiyo nyimbo ilikuwa lazima ipigwe.
Nakumbuka enzi hizo ‘bottle party’ kwa sana.

Daaaah! I miss those days.

Hahahahahhaa bottle party. ... yaani unaalikwa kwenye party ila unakuja na kinywaji chako au unaweza wabebea na wengine... si ndio hivyo au nimekosea??

Hahahahaha wapi mashati ya bahama na suruali mchele mchele tena inakuwa panapana hivi a hahahahahaha looh.

KCK
 
Back
Top Bottom