Should Google also charge Tanzanians to open account, register email etc?

Huyu madelu kazi yake ni kupandikiza tozo kwenye teknolojia na ubunifu wa watu wengine........wakati anachunga mbuzi kijijini kwao alikuwa anazo hata fikra kwamba unaweza kupata information zozote unazotaka kwa ku type tu maneno mawili kwenye search engine ya google. Wacha ni download vitu vya umuhimu hapa kabla google hawajasitisha huduma yao turudi kwenye zama za mawe.......
 
It is shame upon face of illiterate minister to say that he want to impose tax on social media users while himself and his government contribute nothing to those companies.
WE, Tanzanian use google for free, we benefit from it yet without colour of right we want to impose tax or bar it from its operation.
Tanzania there s a gang, led by few, thinking this country is for themselves, saying whites, especially americans and UK people are "mabeberu" -apartheid very bad word and color and racial discrimination.

Google users in Tanzania over 23 millions, should Google company charge us to open account, to register mail, etc? Should we now let Google Charge us?


Your country contributes ~0% of Google’s annual revenues by its use of Google’s services. Literally, Google doesn’t even know you exist on its economic map.

In discussing its markets, do you even think the name of your country ever pop’s up on Google’s table? It’s easier to imagine them pay special attention to “the UK market” or “the Chinese market”, etc. But not “the Tanzanian Market”, mon ami. Only perhaps on “the African market”. So stop pretending you’re something significant.

It’s really ridiculous, therefore, to hear someone in our government dreaming of taxing Google when, arguably, we benefit more from Google than Google does from us. This is well-nigh idiocy.

Besides, the international tax law has made it difficult for even big nations to tax companies like Google. The UK is the case in point.

The law is designed such that startups pay most of the tax to the country of their origin that to the countries where they make their sales. So, if a startup is based in country X, but makes most of the sales in country Y, the startup will pay most of the tax to country X. So you can imagine how your claim of share in the Google tax bracket fades into oblivion.

Waziri mchora mawe anatoka Singida, anajihisi nchi ni yake na anajiita Fidel Castro, anahisi ndiye rais wa 2025 na yeye na genge lake amejipanga na huenda, narudia huenda anamhujumu aliyepo kwa mabmbo afanyayo, huenda!

mwaka 2015 alichora mawe yote nch nzima jina lake, simtaji, mnamjua.
Not only that, it provides a good source of information and learning
 
wadau iko hivi google inapata pesa kutokana na matangazo ambayo wanakuwekea
maana kila mtu ana profile yake google,
na matangazo anayo pata ni kulingana na vitu anavyo search
(kwamfano, wewe unasearch mambo ya kilimo basi utapata matangazo yanayo endana na hivyo vitu vya kilimo, porno hivo hivo nakadhalika.)

kampuni mbali mbali ndizo zinalipia hayo matangazo unayo wekewa,
zikiwemo hata hizi za mitandao ya simu

google inafaidikaje?
wewe ni mteja wao wakupewa matangazo

lakini wewe pia huwezi kuingia mtandaoni bila kulipia

google haipati pesa directly kutoka kwako , lakini huwezi kusema haifaidiki na wewe
Google inafaidika na watumiaji wake lakini sio watanzania ambao wanatumia google kuangalia porno na kuangalia channels za kijinga youtube kwa wachache wanaotumia kufanya mambo ya maana kama kusoma basi wao ndio wanafaidika na uwepo wa google.

Google inapata faida kutoka india, china na asia yote kwa ujumla, europe, australia na americas ila afrika nimeiondoa kabisa sababu kwa asilimia kubwa ndio inafaidika na uwepo wa google kuliko google kufaidika na uwepo wa afrika.

Je wewe ulishawahi kununua bidhaa hata moja iliyowahi kutangazwa na google kwenye simu yako?
 
Mleta mada Jaji Mfawidhi hajui hata KIINGEREZA ona alichoandika eti We,Tanzanian badala ya We Tanzanians

Kachanganya uwingi na umoja !!!! kiingereza sifuri.Angeandika tu kwa kindengereko kilugha chake anachokimudu
content ,nimesoma shule za ccm na ndipo nlipoishia.
 
Huyu mwigulu hata international policy hazijui.
Hanazani haya mambo ni mepesi kama matamshi yasina reasoning thinking yanatamkwa, tamkwa tuu.
Watu wame -invent Money, Time kufanya mambo makubwa kwa gharama kubwa, wewe hunahamka tuu. Ulipo toka kwamba unataka kuvuna usipopamba
Doesn't make sense kweli.
 
Mwigulu anajaribu kufanya watu wamchukie Rais. Yaani kila kitu utaskia “Rais anataka kujenga vituo vya afya”. “Rais anataka kujenga barabara vijijini” He’s trying to exclude himself from this “tozo” mess.
Huyo Rais mwenyewe kama kweli hajamtuma,ni kwanini yupo kimya tu? na akijitokeza anakuja kumsupport?
Anachokifanya anamtuma Madelu ,halafu anakaa pembeni anasikilizia mayowe,kisha anajifanya kupunguza % ya kile walichokipanga
 
Halafu wewe mama D Sikupendi.

Kwani mimi nakupenda???😆😆😆😆😆

Halafu hata sikujui kwa jina wala wasifu, na hii ID yako ndio kwanza naiona sasa👩‍💻

Pole kwa chuki mwayego, pole zaidi kwa kumchukia hata mtu asiyekujua💊💉

Ila jitahidi kulinda moyo wako usije kufa kwa shinikizo la chuki bureeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Je wewe ushawahi kuwalipa google ili utumie huduma zao?

Usiwe unauliza maswali ya kitoto basi😃😃😃
Kwa akili zako Google walikupenda sana wakakuletea hii huduma uitumie bure!!!???
Jiongezage buana, wewe mkubwa ujue😎😎😎
 
wadau iko hivi google inapata pesa kutokana na matangazo ambayo wanakuwekea
maana kila mtu ana profile yake google,
na matangazo anayo pata ni kulingana na vitu anavyo search
(kwamfano, wewe unasearch mambo ya kilimo basi utapata matangazo yanayo endana na hivyo vitu vya kilimo, porno hivo hivo nakadhalika.)

kampuni mbali mbali ndizo zinalipia hayo matangazo unayo wekewa,
zikiwemo hata hizi za mitandao ya simu

google inafaidikaje?
wewe ni mteja wao wakupewa matangazo

lakini wewe pia huwezi kuingia mtandaoni bila kulipia

google haipati pesa directly kutoka kwako , lakini huwezi kusema haifaidiki na wewe

 
Mwigulu sijawahi kumkubali na bado nipo na baadhi ya viongozi muhimu wasitokee mikoa masikini inaleta shida kwenye maendeleo..
 
Umeandika uongo jaji mfawidhi aliyekupa huo ujaji mwambie kampa tapeli

Unatumia Google for free wapi wewe? Bila kuweka pesa za kifurushi huwezi tumia google wewe.Wanakatana juuu kwa juu na mitandao ya simu wewe ukishalipia kifurushi

Hukupelekwa kujifunza kiingereza ukitumie kuongopa eti " we use google for free" nyooooooooooo!!! Unajua hata google wenyewe wanakuona akili huna wanashangaa wewe ndie msomi na kingereza chako koko
Yeho kwani umelishwa pilipili?,mbona unatufokea?
 
Mwigulu aachane na hii biashara unless alikuwa anamaanisha kitu kingine tofauti na alivyotafsiri huyo mtu wa google.

Kodi genuine zisizo na ugomvi ziko nyingi tuu mfano wawatambue mafundi wote nchi nzima wawape reseni za kazi za angalau miaka 2 kwa viwango reasonable watapata pesa kiasi.

Pili serikali inatoa pesa kwenye miradi ya ujenzi nk huko kuna sheria za ajira wawababe wakandarasi waajiri wasimamizi kama inavyotakiwa kisheria then kwenye makipo serikali ichukue PAYE yake.Kama TRA wanavyofanya halipwi mkandarasi bila kodi sasa uzembe wa idara ya kazi usitufikishe kusiko.

Tatu wapunguze matumizi ya utawala yasiyo na tija,waajiri watu kwa mikataba na waunganiishe na kupunguza utitiri wa taasisi zisizo na tija.

Mwisho wawasisitize wananchi wadai lisiti kila wanunuapo maani EFD hazifangi Kazi kabisa na hili la kununua bila lisiti kwenye maduka na bidhaa zilizoidhinishwa walisimamie ukibainika mnunuzi na muuzaji hatua kali zichukuliwe,mbona pesa nyingi tuu unapotea kwa njia rahisi kama hizi?
Halafu utakuta mtu kama wewe hata ukigombea uenyekiti wa serikali ya mtaa,hawakupi.
Wajinga ndio viongozi.
Werevu mmekaa kando.
Mungu akubariki kwa mawazo na ushauri bora ulioandika hapo juu.
 
Back
Top Bottom