Should Google also charge Tanzanians to open account, register email etc?

Usiwe unauliza maswali ya kitoto basi
Kwa akili zako Google walikupenda sana wakakuletea hii huduma uitumie bure!!!???
Jiongezage buana, wewe mkubwa ujue
Hujajibu swali,unauliza swali!!??
Shule ulienda kujifunza ujinga mama D !!??
 
Halafu utakuta mtu kama wewe hata ukigombea uenyekiti wa serikali ya mtaa,hawakupi.
Wajinga ndio viongozi.
Werevu mmekaa kando.
Mungu akubariki kwa mawazo na ushauri bora ulioandika hapo juu.
Watu wenye maarifa kupenya katikati ya wajinga ni ngumu Sana unless uwe na kipaji cha kujieleza vizuri kwa lugha yao,hata hivyo watu wenye maarifa huwa hawako Sana kwenye siasa inatakiwa tuu wapatikane wanasiasa werevu Ili watumie ushauri wa watu werevu,sasa kupata hao wanasiasa ndio mziki.
 
Hujajibu swali,unauliza swali!!??
Shule ulienda kujifunza ujinga mama D !!??

Nilienda kujifunza kuwapuuza wajinga kama wewe

Yaani kwa akili zako za umri ulionao gugo wanatoa huduma friiofuchaji🤣🤣🤣🤣🤣

Nimesema point za kujadili kuhusu kauli zinazotolewa na viongozi zipo lakini kusema gugo wanatoa huduma bure ni ujinga wa kiwango cha juu..... tena ongea taratibu majirani wasikusikie

Btw hakuna tozo yoyote ambayo haitugusi walaji, point inakuja nini faida ya tozo zilizopo? Je, tuna uwezo wa kuendelea kulipa tozo zinazoongezeka?
 
Mwigulu Madelu kila apatapo nafasi hutujuza utoto wake ulivyokuwa wa shida na taabu,kuuanzia kuswaga ng'ombe hadi Kusaga nafaka kutumia mawe
Kwenye age hii ya sayansi na teknolojia huyu si mtu sahihi wa kumpa wadhifa wowote,ni mtu asiyeona mbali aslani ni myopic
Naangalia tofauti aliyemteua na Madelu sioni tofauti

Aliyeturoga Tz kafa na matambiko yake
 
Google, Facebook and Microsoft should be paying more corporation tax in developing nations, says ActionAid.
The aid charity estimates that poorer countries are missing out on up to $2.8bn (£2.2bn) in tax revenue that could be used to tackle the pandemic.
ActionAid is calling for big companies to pay a global minimum rate of tax.
Facebook and Microsoft declined to comment while Google did not immediately respond to a request for comment.
 
Umeandika uongo jaji mfawidhi aliyekupa huo ujaji mwambie kampa tapeli

Unatumia Google for free wapi wewe? Bila kuweka pesa za kifurushi huwezi tumia google wewe.Wanakatana juuu kwa juu na mitandao ya simu wewe ukishalipia kifurushi

Hukupelekwa kujifunza kiingereza ukitumie kuongopa eti " we use google for free" nyooooooooooo!!! Unajua hata google wenyewe wanakuona akili huna wanashangaa wewe ndie msomi na kingereza chako koko
Nyege za uzeeni mbaya sana. Horny cougar.
Uwe unanyamaza...pimbi.
 
Usiwe unauliza maswali ya kitoto basi
Kwa akili zako Google walikupenda sana wakakuletea hii huduma uitumie bure!!!???
Jiongezage buana, wewe mkubwa ujue

Unabishana na Teenager halafu unamsihi aepuke maswali ya kitoto? Huyu ni wa kumwelekeza ili kumsaidia.
 
Unawalipa kupitia Internet providers ukinunua KIFURUSHI kama hujui
Mkuu inaonekana unapinga kwa misingi ya kubisha na sio facts>
unayemlipa ni internet provider na sio google, google anapata faida kwenye matangazo na bidhaa zao nyingine.

kama unajua unachokiongea basi
weka na uelezee mechanism inayotumika na internet provider jinsi inawalipa google kwa vocha unayoingiza....?
 
Unabishana na Teenager halafu unamsihi aepuke maswali ya kitoto? Huyu ni wa kumwelekeza ili kumsaidia.
Nielekeze wewe mkuu unachokijua kama kipo.
alafu hiyo fake ID isikupe shida na ndio maana ikaitwa FAKE ID na ili kukurahisishia.
kirefu chake ni "FAKE IDENTITY" na maana yake kwa kiswahili ni utambulisho bandia sasa ni ujinga wa kiwango cha rami kuamini fake id.

Na kama una watoto ambao wapo kwenye stage za Teenage lakini akili zimewaruka au hawana kabisa plus hawajitambui na mapepe mengi pia kiburi bila kusahau ujeuri basi tambua sio kila kijana aliyepo kwenye hiyo stage ya 15to18 wapo kama wanao mkuu.

You know what I call that? I call it "simple use of critical and logical thinking".
 
Usiwe unauliza maswali ya kitoto basi😃😃😃
Kwa akili zako Google walikupenda sana wakakuletea hii huduma uitumie bure!!!???
Jiongezage buana, wewe mkubwa ujue😎😎😎
Hujajibu swali.

Je wewe ulishawahi kuwalipa google ili utumie huduma zao?

Let me make it clear pale unapolipa vocha unamlipa internet provider ili akupe access na internet na hakuna mtu anayemiliki internet ila hao unaonunua vocha zao ndio wanakupa access na data servers duniani kote.

na pili google haijaleta huduma zao huku au kwako bali ziko wazi kwa mtu yoyote kutumia means wewe ndio umejipeleka kwao na hapo wamekupenda kupitiliza kwa kukuacha uaccess bila malipo au wakitaka wanapiga ban isitumike afrika mashariki au afrika nzima sababu hawaingizi faida yoyote ya maana kutoka huku, bali sisi ndio tunapata faida kubwa kutoka kwao.

kama unadhani wanategemea wewe uguse ads zao ndio wapate faida basi china, india, russia, europe na americas wao hawagusi tu ads bali wananunua kabisa na bidhaa iliyotangazwa je wewe ulishawahi kununua bidhaa hata moja iliyowahi kutangazwa na google kwenye simu yako?
je wewe unatumia youtube premium? bila shaka hapana.

mpaka hapo google haihitaji kabisa uwepo wa afrika.

Youtube ambayo inamilikiwa na google inawalipa youtubers wa tanzania kila mwezi bila wao kulipia chochote bali kwa juhudi zao wenyewe tu na hapo unasemaje?

nakuongezea swali jingine: Unadhani google inafaidika vipi na wewe pale unapotumia huduma zao kama Gmail, playstore, youtube, google photos nk?
unadhani wao wanapata faida gani kutoka kwako?
 
Huyu mwigulu hata international policy hazijui.
Hanazani haya mambo ni mepesi kama matamshi yasina reasoning thinking yanatamkwa, tamkwa tuu.
Watu wame -invent Money, Time kufanya mambo makubwa kwa gharama kubwa, wewe hunahamka tuu. Ulipo toka kwamba unataka kuvuna usipopamba
Doesn't make sense kweli.

Uandishi umekua janga la taifa

Hanazani - Anadhani
Invent - invest
Hunahamka - Unaamka
 
Hujajibu swali.

Je wewe ulishawahi kuwalipa google ili utumie huduma zao?

Let me make it clear pale unapolipa vocha unamlipa internet provider ili akupe access na internet na hakuna mtu anayemiliki internet ila hao unaonunua vocha zao ndio wanakupa access na data servers duniani kote.

na pili google haijaleta huduma zao huku au kwako bali ziko wazi kwa mtu yoyote kutumia means wewe ndio umejipeleka kwao na hapo wamekupenda kupitiliza kwa kukuacha uaccess bila malipo au wakitaka wanapiga ban isitumike afrika mashariki au afrika nzima sababu hawaingizi faida yoyote ya maana kutoka huku, bali sisi ndio tunapata faida kubwa kutoka kwao.

kama unadhani wanategemea wewe uguse ads zao ndio wapate faida basi china, india, russia, europe na americas wao hawagusi tu ads bali wananunua kabisa na bidhaa iliyotangazwa je wewe ulishawahi kununua bidhaa hata moja iliyowahi kutangazwa na google kwenye simu yako?
je wewe unatumia youtube premium? bila shaka hapana.

mpaka hapo google haihitaji kabisa uwepo wa afrika.

Youtube ambayo inamilikiwa na google inawalipa youtubers wa tanzania kila mwezi bila wao kulipia chochote bali kwa juhudi zao wenyewe tu na hapo unasemaje?

nakuongezea swali jingine: Unadhani google inafaidika vipi na wewe pale unapotumia huduma zao kama Gmail, playstore, youtube, google photos nk?
unadhani wao wanapata faida gani kutoka kwako?

Majibu unayo lakini bado hujui kama ni majibu unaishia kujivuruga tuu.

Kabla hujaleta maswali yasiyo na singi tuambie kwamba gugo ni wafanyabiashara au ni watoa huduma ya msaada kwako??

Unapotaka kutatua tatizo usifanye ugomvi wala usitangulize hisia binafsi. Nenda kwenye point na ujenge msingi wa hoja yenye maslahi kwako na wengine
 
Hii kitu ndio maana jamaa alisema "wanafikiria", kwamba ana wazo lake la ajabu kichwani sasa anataka kulipeleka kwenye utekelezaji bila kujua atumie njia ipi, akitekeleza hilo, tutaongoza kuwa taifa la kuzalisha wajinga wengi duniani.
sasa hata tukisema tumuombee tutakamatwa, maana mikutano ya ndani ni marufuku, ya nje ni marufuku, kanisani tukienda paroko anasingiziwa kapiga simu kuomba msaada wapolisi, tufanyeje sasa.
 
Google inafaidika na watumiaji wake lakini sio watanzania ambao wanatumia google kuangalia porno na kuangalia channels za kijinga youtube kwa wachache wanaotumia kufanya mambo ya maana kama kusoma basi wao ndio wanafaidika na uwepo wa google.

Google inapata faida kutoka india, china na asia yote kwa ujumla, europe, australia na americas ila afrika nimeiondoa kabisa sababu kwa asilimia kubwa ndio inafaidika na uwepo wa google kuliko google kufaidika na uwepo wa afrika.

Je wewe ulishawahi kununua bidhaa hata moja iliyowahi kutangazwa na google kwenye simu yako?
duh, Wanaangalia porno wapo na wao wao akina Mchora mawe wanaangalia mambo ya maana hasa kujiandaa kwao kwa uchaguzi 2025
 
Hapa cjaona mtu akijibu hoja wala kueleza Ni kwanmna gan hao Google wanapata faid badala yake mmebaki kumshambulia madelu tu
Je Google .Yahoo wanapataje faida hawezemagi utasikia tu kuwa mmiliki wa Google Yuko marekani cjui na Ni bilionea balah sas anapataje faida kutoka kwa watumiaji kwa maana mm nafahamu ya. Kuwa nalipa pesa ndipo niweze kuaccess huduma zao ..watu wamakmpuni ya simu waje watuambie kuwa Ni kias gani wanatuma kwa hao jamaa kila mwezi au weekly Kam tozo ya kuaccess mtandao ambapo wawo Kam makampuni ndio wamesima Kam madaraja kutufusha sis na kutunganisha na hao wazungu wa kimarekani
 
Hapa cjaona mtu akijibu hoja wala kueleza Ni kwanmna gan hao Google wanapata faid badala yake mmebaki kumshambulia madelu tu
Je Google .Yahoo wanapataje faida hawezemagi utasikia tu kuwa mmiliki wa Google Yuko marekani cjui na Ni bilionea balah sas anapataje faida kutoka kwa watumiaji kwa maana mm nafahamu ya. Kuwa nalipa pesa ndipo niweze kuaccess huduma zao ..watu wamakmpuni ya simu waje watuambie kuwa Ni kias gani wanatuma kwa hao jamaa kila mwezi au weekly Kam tozo ya kuaccess mtandao ambapo wawo Kam makampuni ndio wamesima Kam madaraja kutufusha sis na kutunganisha na hao wazungu wa kimarekani
Nilitoa mfano mrahisi sana naomba muulize mwenye Jamiiforums anapata kiasi gani kutoka kwenye mitandao maana na yeye tunaaccess huduma yake
 
It is shame upon face of illiterate minister to say that he want to impose tax on social media users while himself and his government contribute nothing to those companies.

WE, Tanzanian use google for free, we benefit from it yet without colour of right we want to impose tax or bar it from its operation.
Tanzania there s a gang, led by few, thinking this country is for themselves, saying whites, especially americans and UK people are "mabeberu" -apartheid very bad word and color and racial discrimination.

Google users in Tanzania over 23 millions, should Google company charge us to open account, to register mail, etc? Should we now let Google Charge us?

Your country contributes ~0% of Google’s annual revenues by its use of Google’s services. Literally, Google doesn’t even know you exist on its economic map.

In discussing its markets, do you even think the name of your country ever pop’s up on Google’s table? It’s easier to imagine them pay special attention to “the UK market” or “the Chinese market”, etc. But not “the Tanzanian Market”, mon ami. Only perhaps on “the African market”. So stop pretending you’re something significant.

It’s really ridiculous, therefore, to hear someone in our government dreaming of taxing Google when, arguably, we benefit more from Google than Google does from us. This is well-nigh idiocy.

Besides, the international tax law has made it difficult for even big nations to tax companies like Google. The UK is the case in point.

The law is designed such that startups pay most of the tax to the country of their origin that to the countries where they make their sales. So, if a startup is based in country X, but makes most of the sales in country Y, the startup will pay most of the tax to country X. So you can imagine how your claim of share in the Google tax bracket fades into oblivion.

=======

Waziri mchora mawe anatoka Singida, anajihisi nchi ni yake na anajiita Fidel Castro, anahisi ndiye rais wa 2025 na yeye na genge lake amejipanga na huenda, narudia huenda anamhujumu aliyepo kwa mabmbo afanyayo, huenda!

Wwaka 2015 alichora mawe yote nch nzima jina lake, simtaji, mnamjua.
Naona umekuja kwa ung'eng'e, ngoja na mimi nijaribu na kingereza changu cha fomu foo. Actually all the world is using google in the same terms as TZ. Europe, USA, and all developed nations tax google. Google makes money in different ways. It makes money through ads, which is a very lucrative business. In TZ companies pay google through advertisements and this their business. This is why many times there interferences of ads when using google. I just wanted you to know, there is no free lunch anywhere. Google does not offer free lunch to TZ. We pay for it.
 
Naona umekuja kwa ung'eng'e, ngoja na mimi nijaribu na kingereza changu cha fomu foo. Actually all the world is using google in the same terms as TZ. Europe, USA, and all developed nations tax google. Google makes money in different ways. It makes money through ads, which is a very lucrative business. In TZ companies pay google through advertisements and this their business. This is why many times there interferences of ads when using google. I just wanted you to know, there is no free lunch anywhere. Google does not offer free lunch to TZ. We pay for it.
let me have my supper, i refute your dilly dallying snag and misinformation to lay Tanganyikans, we pay nothing than receiving free lunch from google.
you and some hooligans misleads poor Tanganyikans
 
Majibu unayo lakini bado hujui kama ni majibu unaishia kujivuruga tuu.

Kabla hujaleta maswali yasiyo na singi tuambie kwamba gugo ni wafanyabiashara au ni watoa huduma ya msaada kwako??

Unapotaka kutatua tatizo usifanye ugomvi wala usitangulize hisia binafsi. Nenda kwenye point na ujenge msingi wa hoja yenye maslahi kwako na wengine
Mimi situmii hasira bali natumia facts, huu ni muandiko tu ndio unafanya uone hivyo.

Google kuwa wafanya biashara haimaanishi wanapata faida directly kutoka kwako mwafrika.
kukupa access na data zao bure tayari ni huduma tosha kwako na ni msaada tosha kwa waafrika ambao kwa asilimia 90 ni masikini.

matter of fact Afrika inafaidika na kuhiitaji zaidi google kuliko google kufaidika na uwepo wa afrika.

now nimejibu maswali yako it's your turn to answer my questions if you can't then I better stop wasting my precious energy.
 
Back
Top Bottom