Should CHADEMA Fire Zitto?

Should CHADEMA Fire Zitto?

Should Zitto get FIRED from CHADEMA?

  • YES

    Votes: 137 65.9%
  • NO

    Votes: 57 27.4%
  • May be

    Votes: 10 4.8%
  • I don't know

    Votes: 4 1.9%

  • Total voters
    208
Status
Not open for further replies.
Zitto ni mbunge wa kawaida,...kama ikigundulika pasi na mawaa kuwa alishiriki upuuzi huu_then hakuna kuremba ni kumtimua.
 
If proved guilty should go. Issue ni ushaidi tutaupata wapi? Kama kuna uwezekano wa kupata ushaidi inabidi aondoke. Km CDM watashindwa kumuondoa watakuwa wamecheza sana faulu.
Mafisadi wenu wangapi mmewaondoa?
 
Zitto ni mtu muhimu kwa chama,ametoa mchango mkubwa ktk ukuaji wa CDM.Hata hivyo kama itathibitika pasipo na shaka kuwa alipokea rushwa uamuzi sahihi ni kumtimua ili ajue na watakaobaki wajue kuwa CDM kama chama tunachukia rushwa zaidi ya kumtimua kiongozi.
kila jambo lina sababu zake zitto kashatimiza wajibu wake sasa aende tu ,do u knw how much one virus can damage miilion of good cells?
 
Watu, hasa waandamizi ndani ya CDM wanaoshadadia hii ishu kwa ushabiki tu, badala ya kusubiri majibu ya tume ya uchunguzi nawasikitikia. Kimsingi wale wenye akili zao wanaongea very cautiously bila dalili za kumtuhumu mtu binafsi!
Madhara ya ushabiki huu wa kijinga yatakuja kuonekana siku mambo haya yatakapokuwa proved wrong! watu watakimbia na maofisini, na huu utakuwa ufa ndani ya chama ambao unaweza kukipeleka chama kunako jehanam.
Tufanye ushabiki ambao ni rational.
 
Hakuna dhambi kubwa katika siasa kama kula rushwa. kama kweli zitto amekula rushwa hafai kuwa Chadema, CCM,CUF au hata kuwa kiongozi wa kitongoji. na kama inawezekana viongozi wala rushwa wawe barned for life to be politician.
 
Hapo red sijakuelewa, huenda ulimaanisha spared.
I still have trust in Zitto.
Nasita sana kuamini kuwa this too smart boy could be tempted with money-thing!
Aidha naijutia siku ambayo kamati itagundua na kuweka wazi kuwa Zitto amepokea rushwa in the name of money or whatever token!
Heri ziku hiyo isingalizaliwa chini ya jua!

PJ kwa kweli sipendi kuona siku ya Zitto kujulikana amekula mlungula! Ndo maana nasema iundwe kamati huru kuchunguza hili!!
 
Innocent till proven guilty, maana kinachoendelea bado ni tetesi one cant work on that
 
Mtu yeyote anayeutaka Urais kwa kupita huko na huko, bila kupendekezwa na chama chake, anajitangazia...na vijipesa anakusanya...huyo ni wa kumuogopa sana! Sasa kumbe nyuma ya pazia kuna mambo machafu na ya kifisadi. Ila nasema tena kwa sauti kuu, tusimhukumu mtu bila kuwa na ushahidi...Tusubiri wanaochunguza sakata hili, tuone watakuja na hadithi gani!

Ndipo tuanze kutupa madongo....
 
How do you proove amepokea rushwa maadam hili jambo hufanyika kwa siri kubwa na risiti haitolewi.
 
tatizo la zitto ni kutaka kuvuruga chama kwa maslai ya wanaomtumia. amelikoroga mwenye lzm anywe. let hm go
 
Mkuu wangu PakaJimmy unaangalia zaidi maslahi ya chama ikiwa Zitto kavuta kitu kidogo kwanini asitimuliwe ?.CDM bado haijashika dola wanakuwa waoga hii ni dalili mbaya mbona Kafulila alitimuliwa Zitto inakuwa taabu.

Watu, hasa waandamizi ndani ya CDM wanaoshadadia hii ishu kwa ushabiki tu, badala ya kusubiri majibu ya tume ya uchunguzi nawasikitikia. Kimsingi wale wenye akili zao wanaongea very cautiously bila dalili za kumtuhumu mtu binafsi!
Madhara ya ushabiki huu wa kijinga yatakuja kuonekana siku mambo haya yatakapokuwa proved wrong! watu watakimbia na maofisini, na huu utakuwa ufa ndani ya chama ambao unaweza kukipeleka chama kunako jehanam.
Tufanye ushabiki ambao ni rational.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu PakaJimmy unaangalia zaidi maslahi ya chama ikiwa Zitto kavuta kitu kidogo kwanini asitimuliwe ?.CDM bado haijashika dola wanakuwa waoga hii ni dalili mbaya mbona Kafulila alitimuliwa Zitto inakuwa taabu.

Watu, hasa waandamizi ndani ya CDM wanaoshadadia hii ishu kwa ushabiki tu, badala ya kusubiri majibu ya tume ya uchunguzi nawasikitikia. Kimsingi wale wenye akili zao wanaongea very cautiously bila dalili za kumtuhumu mtu binafsi!
Madhara ya ushabiki huu wa kijinga yatakuja kuonekana siku mambo haya yatakapokuwa proved wrong! watu watakimbia na maofisini, na huu utakuwa ufa ndani ya chama ambao unaweza kukipeleka chama kunako jehanam.
Tufanye ushabiki ambao ni rational.
 
Last edited by a moderator:
Zitto ni mtu muhimu kwa chama,ametoa mchango mkubwa ktk ukuaji wa CDM.Hata hivyo kama itathibitika pasipo na shaka kuwa alipokea rushwa uamuzi sahihi ni kumtimua ili ajue na watakaobaki wajue kuwa CDM kama chama tunachukia rushwa zaidi ya kumtimua kiongozi.
Nimekukubali mkuu "zero tolerance" against corruption. CDM should walk their talk by sending ZZK away though painful. Tukumbeke Fidel Castro alipitisha sheria ya kuwaua watakaobainika wanajihusisha na madawa ya kulevya na nchi yote ikakubali. Yule rafiki yake mkubwa waliopigania uhuru pamoja alipotuhumiwa na kuthibitika alikuwa muuza dawa za kulevya Castro hakumungunya maneno alisema "Let him face the usual firing squad".
 
kuujua ukweli kunasaidia sana...katika orodha ya wala rushwa zitto hayumo bali kikao kilichokaa jana usiku baada ya hafla ya kupongezana kilituma ujumbe dodoma kwa spika kumuingiza zitto katika walarushwa na kamati ivunjwe..
 
Why zitto only in this thread?.....naona majizi yote yafungwe na kufilisiwa kabisa.mimi nikijakupata kuwa kiongozi wa nchi ama mshauri wa karibu sana wa kiongozi naapa ntafuata misingi ya sheria za china kwa sababu tunaowapa dhamana wanatuaibisha na kutufilisi
 
Nilipenda hii iwe poll,mods please if you can help on that I will appreciate.Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa,inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,yani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired,usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared,just do the same.

to fire him without the rl evidence, it wont be a good idea!
 
Nilipenda hii iwe poll,mods please if you can help on that I will appreciate.Kuna taarifa kuwa kikao cha kamati kuu ya cdm kitakaa,na pengine kujadili issue iliyopo inayohusiana na Mh kupokea rushwa akiwa kwenye kamati kama mbunge wa chama hicho.However kama tunavyojuwa,inawezekana ushahidi ukawa wa kimazingira tu,yani ukawa si ushahidi wa kuweza kumfikisha mahakamani etc.Kwa wale wana CHADEMA humu ndani,mngependa kamati kuu ichukuwe hatua gani,je should they fire him regardless?Ama should mh quit before it all becomes embarrasing?Kwa wanaotaka awe fired,usisahau kutoa sababu,na unayetaka awe spared,just do the same.

Zitto ndio lowassa wa cdm..hafukuziki...
 
Zitto atulie wabaya wake ndani ya CDMA ni wengi na pia wabaya wake ccm ni wengi kwa taarifa zangu za kiintelejensia yeye ndiye mbunge anayetafutwa kwa Mabaya kuliko wote hii ya tanesco ni maneno tu watu wazima tunaelewa hakuna lolote ambalo ni implication kuwa zitto kahongwa, namuombea mungu ampe faraaja ila pia yeye apunguze jazba hasa kwa SMS aliyomtumia ps nishati na madini ila ni vema alikuwa muungwana akaomba Samahani kwa waziri mkuuu kwa SMS hiyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom