Shopping yako ya mavazi unaifanyia wapi?

  • Nguo na viatu kwa bongo ni kariakoo japo ukienda na mapozi vibaka watakuibia kila kitu;


  • Mwenge kuna nguo za mitumba kwa wingi na ni nzuri pia.


  • Kinondoni kuna nguo na viatu vya mitumba na madukani ni vizuri sana ila bei yake ni lazima uwe umejipanga
 
Back
Top Bottom