shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,357
- Nguo na viatu kwa bongo ni kariakoo japo ukienda na mapozi vibaka watakuibia kila kitu;
- Mwenge kuna nguo za mitumba kwa wingi na ni nzuri pia.
- Kinondoni kuna nguo na viatu vya mitumba na madukani ni vizuri sana ila bei yake ni lazima uwe umejipanga
Na kariakoo inabidi uyajue maduka vinginevyo utavaa sare ya jiji