MALUNGU
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 250
- 97
Kuna habari na tetesi zimeenea hapa mjini mwanza kwamba julianza shonza na wenzako mna mpango wa kuja mwanza kwa ufadhili wa naibu waziri mmoja wa sisiem, sasa 2nawasubiri tuwashushue na usaliti wenu,
Mbona huyu mtu ni mdogo sana jamani, kwa nini anakuzwa hivi? aende zake huko alikokuwa analipwa mshahara wake. Kama maccm yatampokea kwa mbwembwe watakuwa hawafanyi tathimini ya kazi ya kila mtu. Juliana hajafanya kazi kama walivyokuwa wanataka, kashindwa kajulikana mapema. Kwa jeshini huyu hawezi kuwa mtu mzuri katika mapambano.