Shonza, Mbeya wana adabu za kutosha

Shonza, Mbeya wana adabu za kutosha

Acha mambo ya kishabiki katika kuchjangia hoja kuwa mchambuzi yakinifu kabla haujaongea jambo na ujue kutofautisha kati ya fact, opinion na emotion suala la mishahara hutolewa kulingana na majukumu ya mtu mbona hamhoji posho za wana ccm, na mishahara ya wakurugenzi mbalimbali mnag`ang`ania kwa dr. Slaa peke yake wengine wakila ni halali ila kwa Dr. Slaa ni dhambi!? hata wewe hapo unapofanya kazi kuna watu wa chini yako wanalipwa fedha kidogo na wanalalamika kuhusu wewe kwa hisia zao lakini ukweli na uhalisia uko wazi unapokea unachostahili HEBU TUACHE MAJUNGU NA UNAFIKI WA KISWAHILI.
Mkuu asikukumize kichwa huyo ni wale mamluki wa Nape wako kazini, mbona tuliisha wajua, wanashika ndago lakini kuzama ni lazima!!!

 
Isaac ; Mwakata huyo Shonza ni vigumu kumlea haleleki kumbuka hadithi yakuwa alichanjwa chale ma..ta.ko.ni eti hata aacha kuwa msaliti nilisema juzi Mnyiha gani anayejidharaulisha hivyo watu wa Mbeya hawajawahi kuwa watumwa huyu watamshangaa

Lwesye. Mwakata mwemwe, Kama huyu binti angekuwa na busara angelinyamaza kabisa na kuficha aibu kubwa kwa aliyoyafanya sisi tumenyamaza huku tukitafakari aibu hii halafu yeye kanajichomoa huko kalipokuwa kwenye safari za kifamilia badala ya kuhudhuria vikao vya chama kanakuja kuleta upuuzi wake hapa hapa eti alishindwa kuhudhuria kwa sababu alipata taarifa kwa njia za msg. kumbe alipata taarifa na kuelewa vizuri kabisa ila kakajidai kichwa ngumu.

Hakuna meli isiyo na nahodha hata chama kina viongozi angenyamaza ingekuwa busara sana kwake kwanza nina mashaka na yeye unaweza kukuta ni mzambia aliyeokotwa na kuja kulelewa mission HAKUNA WANYIHA WENYE AKILI CHAFU KAMA ZA HUYU DADA.
 
Kijana kweli umenena ila hilo tusi undoa kwenye "heading". Watu wangejua wangekuangalia we kwanza kama umekamilika.

Me naamini siasa sio uadui wala jukwa la kudharau mtu.
 
Mkuu Umewakilisha vyema huyu dada hana adabu.
 
Kamanda usiangaike huyu kajichokea na kaela kenyewe alikopewa masikini nafikiri alinunulia vismu vyao vya kisasa sijui na chenji hakubakiwa nayo. Shonza byebye:majani7::majani7:
 
sasa wewe unasema wala hata si mwana chadema licha ya kwamba wewe si kiongozi wa wanachadema wa mbeya lakini unawasemea wana chadema wa mbeya.sasa wewe unawasemea kama mwananchi mwenye usongo au?

Mkuu kumbe na wewe uelewa wako ni mdogo kiasi hicho.
 
Mi nafikiri huyu dada anashindwa kuelewa kuwa adui mkubwa wa wama Mbeya ni CCM. Tukumbuke matukio yafuatayo
1. Maradhi yanayomsibu Mwandosya
2. Mbinu mbalimbali zilizotumika kutaka kumuua Mwakyembe
3. Mauaji ya Mwangosi.
4. Wao kama vijana kutoka Mbeya pia wamekumbwa na janga kwani CCM imeharibu mustakabari wao wa kisiasa na hii ni kutokana na CCM kutokuwa na mapenzi na wana Mbeya.
5. Dr.Ulimboka
 
Kijana kweli umenena ila hilo tusi undoa kwenye "heading". Watu wangejua wangekuangalia we kwanza kama umekamilika.

Me naamini siasa sio uadui wala jukwa la kudharau mtu.

Mkuu nimekuelewa ni hasira za huyu mtoto anayetaka kutujengea makundi ili lile vuguvugu la Tunduma na Mbeya mjini lisifikie malengo yake Mbozi kwetu kwa sababu ya tamaa ya wahuni wachache.
 
Kwa adabu hiyo hiyo wanayojulikana wana Mbeya hebu tetea mikopo minono wanayolipana makao makuu ya CDM na mishahara minono ambayo naamini huko Mbeya haifiki.

Wana Mbeya hatujulikani kwa unafiki.

Mwampashi umedandia treni ya TAZARA kwa mbele.

hayo ndio alikua anasema tabia kama hi yako na shonza sio za watu wa mbeya,hatuko hivo vijana wambeya
 
Namsikitikia sana huyo Shonza. Ameiharibu Career kwa ujinga tu. Sijui hata chuo kikuu alimalizeje huyu? Au ndiyo zile marks za PICHU ambazo enzi zile Mzee punch alikuwa amezipiga marufuku? Shonza na wenzake laiti laiti wangekumbuka alikoishia yule mwanamke aliyetumiwa na ccm kumharibia Mrema wasingekubali kutumiwa.

Kabla ya kuwa Chadema hakuna katika kundi laakina Shonza aliyekuwa akifahamika na nje ya Chadema umaarufu wao ndiyo umekufa. wanajifariji kwa kuonekana kwenye mitandao, ni sawa na mti uliyokatwa; majani yake yanakauka taratibu kama mtini uliyolaaniwa na Bwana Yesu.
 
Du huu ukabila Kiboko mapaka Dada yenu Shonza mnamtukana sasa mtamuweka nani au ni ile fuata mkumbo
  • NANUKUU (huyu dada anashindwa kuelewa adui mkubwa wa wama Mbeya ni CCM. Tukumbuke yafuatayo
    1. Maradhi yanayomsibu Mwandosya
    2. Mbinu mbalimbali zilizotumika kumuua Mwakyembe
    3. Mauaji ya Mwangosi.
    4. vijana kutoka Mbeya wamekumbwa na janga kwani CCM imeharibu kutokuwa na mapenzi na wana Mbeya. )
  • Nao Wameru wanataka kujitenga wawe na Nchi yao wabaki na Mbuga na milima mirefu
  • Mtwara wanataka gesi yao
  • Kahama wanataka kuandamana leo eti Dhahabu na maandamano yanaandaliwa na TX aliyejitoa Chadema.
Hivyo vijana hamtafika maana mnaezeka nyasi katika nyumba, huku mnasifiana kwa kung'oa fito. Hizo nyasi zitakaa? au nyumba itaisha kabla ya 2015?
 
Kwa adabu hiyo hiyo wanayojulikana wana Mbeya hebu tetea mikopo minono wanayolipana makao makuu ya CDM na mishahara minono ambayo naamini huko Mbeya haifiki.

Wana Mbeya hatujulikani kwa unafiki.

Mwampashi umedandia treni ya TAZARA kwa mbele.
Tatizo kubwa la wa-TZ ni kupenda kuongea kwa ushabiki na uthabiti kuhusu hoja ambazo hawana vidhibiti navyo.

Hivi mkuu, unajua kuwa pesa zinazotumika katika vyama vya siasa ni pamoja na za kodi za wa-Tz ambazo mwisho wa siku lazima zitolewe maelezo kwa serikali na kukaguliwa na serikali yenyewe?

Ina maana serikali imekula njama na CDM, kiasi cha kukiachia kutumia vibaya kadiri watakavyo ruzuku wanayopewa? Leo hii ukiombwa uthibitishe kama kweli CDM makao makuu wanapeana mikopo na kulipana mishahara minono utajitokeza kuthibitisha, au utaishia kusema nami niliambiwa?

Alipata kusema mwandishi mmoja aliyetukuka wa England kwamba "he who knows not, and knows not that he knows not, is a big simpleton".
Usijihalalishie kauli hii ya huyo mwandishi.
 
Tatizo kubwa la wa-TZ ni kupenda kuongea kwa ushabiki na uthabiti kuhusu hoja ambazo hawana vidhibiti navyo.

Hivi mkuu, unajua kuwa pesa zinazotumika katika vyama vya siasa ni pamoja na za kodi za wa-Tz ambazo mwisho wa siku lazima zitolewe maelezo kwa serikali na kukaguliwa na serikali yenyewe?

Ina maana serikali imekula njama na CDM, kiasi cha kukiachia kutumia vibaya kadiri watakavyo ruzuku wanayopewa? Leo hii ukiombwa uthibitishe kama kweli CDM makao makuu wanapeana mikopo na kulipana mishahara minono utajitokeza kuthibitisha, au utaishia kusema nami niliambiwa?

Alipata kusema mwandishi mmoja aliyetukuka wa England kwamba "he who knows not, and knows not that he knows not, is a big simpleton".
Usijihalalishie kauli hii ya huyo mwandishi.
424149_10152072902410931_2040873090_n.jpg


Mbona ushahidi upo, huku Mikoani hakuna kitu kinafika na hata viongozi wa Mikoani tupo nao
Haya Dada Shonza anao mnataka upi sasa?
 
Topic: Shonza, Mbeya wana adabu za kutosha - Musana wa vinyu!

Mods naomba ondoa hii topic kwa sababu imekiuka maadili ya JF.

Musana wa Vinyu ni sentensi inayoeleweka katika kabila Tatu au zaidi kule Mbeya,
kuwa na maana ya

---- la mama yako...

Kinyiha, Kisafwa, Kimalila, Kilambya, Usongwe pamoja na makabila mengine jirani watajua hapa Shonza katukanwa ---- la mama yake... na sidhani kama huu ni utararatibu unaokubalika katika kujadili siasa hapa JF!!!

Delete this post please....
 
424149_10152072902410931_2040873090_n.jpg


Mbona ushahidi upo, huku Mikoani hakuna kitu kinafika na hata viongozi wa Mikoani tupo nao
Haya Dada Shonza anao mnataka upi sasa?

Mkuu, yaani hapo umekaa na kufikiri kwa nguvu zote na kujiridhisha kabisa kwamba huo ndio ushahidi unaotakiwa na utakaokubalika pasi shaka yoyote, kuonesha kuwa CDM makao makuu wanapeana mikopo na kulipana mishahara minono??!!!
Pole sana, ni yale yale niliyosema awali.
 
Mkuu hili tusi la
[h=1]Musana wa vinyu! nalielewa sana,mimi kinyiha nakijua sanaaaa[/h]
Mimi siyo mwanachama wa CHADEMA lakini ndicho chama mbadala angalau chenye muelekeo na ninasikia hasira sana na watu ambao wanadhani kuwa wanataka kutenda mambo ya demokrasia kumbe ni wahuni na wametumwa na chama tawala kuharibu harakati za chadema na kurudisha nyuma maendeleo ya wapenda demokrasia.

Leo nimeamua kuja na ID yangu halisi ili kuweka mambo sawa kutokana na uhuni wa huyu anayejiita kuwa bado ni kiongozi wa CDM. smbaye amejitahidi kuandika upuuzi wake humu kwa kurasa za kutosha na kuunda hoja za kipuuzi kabisa kwa madai ya kuwa viongozi waliofukuuzwa uanachama ni wale wanaotoka MBEYA

NAOMBA KUWAJULISHA WANAOPENDA DEMOKRASIA KUWA MIMI NATOKA MBEYA WILAYA YA MBOZI VWAWA ENEO LA IPANZYA NINATHAMINI MABADILIKO YA KWELI PAMOJA NA WAPENDA MAENDELEO WOTE WENYE KUITAKIA HERI NCHI YETU KWAMBA HUYU BINTI HANA ADABU NA DESTURI HALISI ZA WATU WA MBEYA WALA HAJALELEWA NA KUPATA MAKUZI HALISI YA WATU WA MBEYA bali huyu ni mamluki kama wenzake ambao naweza kuwaita ni makahaba wa demokrasia ambao wanatumiwa na wachache wenye uchu wa madaraka kuleta mgawanyo wa kitaifa kwa kuleta mawazo ya udini, ukanda, na ukabila ndani ya chadema ili kupitisha ajenda zao chafu kwa masilahi yao binafsi.

Napenda kuwaomba wana Mbeya wote popote pale mlipo tusimsikilize mpotoshaji huyu anayetaka kutugawanya maana inajulikana dhahiri kuwa wana Mbeya wana msimamo dhihir na wenye kueleweka kwenye suala la Demokrasia mahali popote pale na zaidi sana WANA NIDHAMU YA KUTOSHA KWA WANAO WAZIDI KI UMRI NA HATA KIMADARAKA hivyo nakusahauri uache biaashara uliyotumwa na mamluki ya kuwavurugia chadema dira yao ya mabadiliko ya demokrasia nchini.[/QUOTE]
 
Binafsi nakubali maelezo yako katika Bluu. Tatizo langu ni jazba katika mjadala huu hadi kutoa tusi zito ivyo. Unaunga mkono matusi katika mijadala muhimu ya kisiasa? Hivi unajua matusi ni dalili ya kukosa pointi? Mbona hoja hizo katika blu zinaleta maana?!!!!. Musana wa vinyu wa nini.....

Mkuu hili tusi la
Musana wa vinyu! nalielewa sana,mimi kinyiha nakijua sanaaaa


Mimi siyo mwanachama wa CHADEMA lakini ndicho chama mbadala angalau chenye muelekeo na ninasikia hasira sana na watu ambao wanadhani kuwa wanataka kutenda mambo ya demokrasia kumbe ni wahuni na wametumwa na chama tawala kuharibu harakati za chadema na kurudisha nyuma maendeleo ya wapenda demokrasia.

Leo nimeamua kuja na ID yangu halisi ili kuweka mambo sawa kutokana na uhuni wa huyu anayejiita kuwa bado ni kiongozi wa CDM. smbaye amejitahidi kuandika upuuzi wake humu kwa kurasa za kutosha na kuunda hoja za kipuuzi kabisa kwa madai ya kuwa viongozi waliofukuuzwa uanachama ni wale wanaotoka MBEYA

NAOMBA KUWAJULISHA WANAOPENDA DEMOKRASIA KUWA MIMI NATOKA MBEYA WILAYA YA MBOZI VWAWA ENEO LA IPANZYA NINATHAMINI MABADILIKO YA KWELI PAMOJA NA WAPENDA MAENDELEO WOTE WENYE KUITAKIA HERI NCHI YETU KWAMBA HUYU BINTI HANA ADABU NA DESTURI HALISI ZA WATU WA MBEYA WALA HAJALELEWA NA KUPATA MAKUZI HALISI YA WATU WA MBEYA bali huyu ni mamluki kama wenzake ambao naweza kuwaita ni makahaba wa demokrasia ambao wanatumiwa na wachache wenye uchu wa madaraka kuleta mgawanyo wa kitaifa kwa kuleta mawazo ya udini, ukanda, na ukabila ndani ya chadema ili kupitisha ajenda zao chafu kwa masilahi yao binafsi.

Napenda kuwaomba wana Mbeya wote popote pale mlipo tusimsikilize mpotoshaji huyu anayetaka kutugawanya maana inajulikana dhahiri kuwa wana Mbeya wana msimamo dhihir na wenye kueleweka kwenye suala la Demokrasia mahali popote pale na zaidi sana WANA NIDHAMU YA KUTOSHA KWA WANAO WAZIDI KI UMRI NA HATA KIMADARAKA hivyo nakusahauri uache biaashara uliyotumwa na mamluki ya kuwavurugia chadema dira yao ya mabadiliko ya demokrasia nchini
.
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom