Nimefika umri huu,sijawahi kuona binti wa kinyiha mwenye kiburi kama Shonza mwene Mwampashe,hivi kweli baba yake shonza yupo? huyu mzee hajuwi au hasikii anachofanya mwanae?anajifanya anapigania Demokrasia,ipi hiyo?kweli anaweza kumsemea mbovu mzee kama Dr.Slaa?nae anaona yuko sahihi kweli kwa upuuzi huu,huh! this is Insane...nimeishi mbozi kwa muda mrefu na nimefanya kazi kule karibia miaka kumi na tano,mimi najua tabia za wanyiha sana...huyu mtoto ni mnyiha mshenzi asiye na adabu kabisa na kama baba yake hawezi kumfunza basi niyo ulimwengu ndo unanza kumfunza,na wale wanaomuunga mkono huyu bint ni wehu wakubwa na wanazidi kudidimiza baadala ya kumuibua ili ajisafishe na kuomba msamaha,yey angekuwa kiongozi angependa alipwe mshahara kiasi gani....