Shonza, Mbeya wana adabu za kutosha

Shonza, Mbeya wana adabu za kutosha

Juliana is just a fish out of water. She is weak mentally and physically as she deliberately abused the source of her political muscles. Na inauma sana badala ya watu kumwambia a point plain that your poor approach has led you astray mnampamba na kumwita kumwona shujaa. Wewe unajua kuwa hakuna muungano wa kiitikadi usiokuwa na maadili. Na muungano wa kisiasa una kanuni yake ya uwajibikaji wa pamoja (collective responsibility). Mnaruhusiwa kupingana mkiwa kwenye closed doors but when you come to public you walk hand in hand as one and do not showcase your differences. Short of that whoever decides to do the opposite has first of all to decline from being one of the team. Lazima kwanza ajiuzuru. Ni kanuni ya siasa wala si yangu. Sasa dada Shonza kitu cha kwanza mshauri ajiuzuru japo kesha fukuzwa ingawa bado mnamwaminisha kuwa bado ni mwana CDM. Halafu baadae ndipo aje na concrete evidences kuwa tuhuma anazozisema ni za kweli. Aonyeshe kama aliwahi kulalamikia mshahara mkubwa wa Dr.Slaa katika vikao rasmi vya chama kimaandishi maana vikao huongozwa na agenda. Aonyeshe kama alifanya hivyo kama agenda maalumu au AOB na akapuuzwa. It should be in wrtoting and that will save as documentary review in the future.

Pili atushawishi kuona kuwa alitaka Dr.Slaa na viongozi wake walipwe shillingi ngapi na vigezo gani alivitumia kutoa pendekezo lake?? Suggestion cannot come out of thin air. Lazima iwe justified with vivid findings and facts. Mshahara wa Dr.Slaa kama ni mkubwa kama anavyotaka kutuaminisha anaulinganisha na wa nani? Maana asije akatoa ulinganisho wa katibu mkuu wa chama kingine lakini mwenye biashara zake mpaka ya nyara za taifa. Je, mshahara wa Dr.Slaa unalinganisha na muda anautumia kukijenga chama au anatumia muda mwingi kufanya biashara zake ikiwemo nyara za taifa? Bila kuja na ushahidi sio wa kuitisha press conference na ukaondoka halafu mtu akafikiri ataaminiwa. We have had enough the Shonzas

Very good and well said mkuu!
In fact I apprecate your line of argument ingawaje haiko balanced.

Umejikita katika kuchambua style aliyoitumia Bi Shonza kupeleka matatizo yake hadharani, hiyo nimeipenda.

Lakini unasahau jambo moja muhimu, jambo ambalo ni la kufa na kupona sometimes.

Nani kasema it is all rosy and democratic huko CDM(also CCM for that matter). Na kwamba ukitaka kutoa maoni mbadala basi mtakaa chini ya vikao na kujadiliana mpaka muafaka upatikane.
Wewe kama mimi najua hilo halipo.

Katika mazingira ya kisiasa za sasa, ni kweli kutoa siri za chama ni usaliti, lakini tazama track record so far.
There are those who differed na establishment ya CDM, they are 6ft under now!

Where is Chacha Wangwe-he got an unfortunate 'accident"!
Na principle ni moja-dead men dont talk!

Na waswahili husema kunguru mjanja hukimbiza bawa lake! atakwaruza sauti yake akiwa mti wa tano toka ulipo.
Na ukiinama tu waswahili husema ataanza!

Ndio maana nasema hali ya huko ndani ya CDM ni tete, tumesoma wote humuhumu tuhuma nzito nzito, wengi wennu mnazichukulia kama a normal day in a democratic society, kwa wengine masuala haya ni ya shaping their entire political future-and they strive achieve those goals, come what may.

Bi Shonza came clean, from a safe distance she has given her allegations bravely and so far no able bodied man has taken up the challenge.
 
Very good and well said mkuu!
In fact I apprecate your line of argument ingawaje haiko balanced.

Umejikita katika kuchambua style aliyoitumia Bi Shonza kupeleka matatizo yake hadharani, hiyo nimeipenda.

Lakini unasahau jambo moja muhimu, jambo ambalo ni la kufa na kupona sometimes.

Nani kasema it is all rosy and democratic huko CDM(also CCM for that matter). Na kwamba ukitaka kutoa maoni mbadala basi mtakaa chini ya vikao na kujadiliana mpaka muafaka upatikane.
Wewe kama mimi najua hilo halipo.

Katika mazingira ya kisiasa za sasa, ni kweli kutoa siri za chama ni usaliti, lakini tazama track record so far.
There are those who differed na establishment ya CDM, they are 6ft under now!

Where is Chacha Wangwe-he got an unfortunate 'accident"!
Na principle ni moja-dead men dont talk!

Na waswahili husema kunguru mjanja hukimbiza bawa lake! atakwaruza sauti yake akiwa mti wa tano toka ulipo.
Na ukiinama tu waswahili husema ataanza!

Ndio maana nasema hali ya huko ndani ya CDM ni tete, tumesoma wote humuhumu tuhuma nzito nzito, wengi wennu mnazichukulia kama a normal day in a democratic society, kwa wengine masuala haya ni ya shaping their entire political future-and they strive achieve those goals, come what may.

Bi Shonza came clean, from a safe distance she has given her allegations bravely and so far no able bodied man has taken up the challenge.

Asante Mkuu na ndio maana nasema hivi leo tungekuwa tunasema vingine kama Bi.Shonza angeelewa kanuni zinazoongoza hitakadi though they not infallible at all maana kupingana na hasa ukabaki hukabalina na wengine na ukarizika kunahitaji political maturity. Kinachokosekana hapa ni kama alipeleka kimaandishi na ikakataliwa. Kama ushahidi upo aulete hadharani. Pili hawezi akasema aliogoapa kufanywa hivyo au alitishwa maana haiwezekani kuwa from day one yeye alitishwa na akaamua kwenda kinyume na kanuni. Documentation kokote duniani huondoa ubishi na ziko objective and unbiased. Dada atoe ushahidi usiokuwa na shaka na kwa kuwa tunataka vitu vitakavyoleta balanced information basi aseme what was the wayforward. Kama alikatataliwa hoja zake zote naye akabaki kimya na akaja kuibukia kwenye kundi lisilokuwa rasmi basi hapo tutahitaji uzi unaojitegemea ili tuone kama that group had a purpose that could add value to CDM. Much questinable kwenye hili as it was witch hunting and power mongers. Sorry to say this.

Kumtetea huyu dada kwa kumtumia Chacha Wangwe. May God rest him in peace nafikiri these are two characters diametrically opposed. You have complemented it that dead men never talk. I cuncur with you. But back to my fore argument documentation was lacking during Chacha's issue as they are lacking with Shonza. When people cannot extract information from proper and reliable documentary review they are bound to archtect, craft and exaggerate anything.

Lakini mkuu tushirikiane kumshauri dada yetu Juliana Shonza kuwa akitaka kusema kitu siku nyingine awe mnyenyekevu (she should control her ego and avoid to mentally intoxicated by praises especially if they flow from the pinnacle of CDM archivals), awe na concrete evidence na aangalie wakati na nyakati za kutoa matamshi. Bado nafasi kuwa mwanasiasa anayo lakini chama makini huwa hakitaki mtu anayetukana kule alikotoka kama ilivyokuwa kwa mwajiri unayetaka kuamia akikuuliza uelezee historia ya kule utakako ukaporomosha kashifa na matusi unampa shaka. Ni vema awe mnyenyekevu na huenda akarudi CDM na tatu sliyekuzi umri hata kama mmetofautina kimtazamo hageuki kuwa kikaragosi cha kusema hovyo na Mungu hataki . Awe na hofu ya Mungu
 
Haka kachangudoa hakajawahi hata kuhutubia mkutano, hakajawahi Kuwa hata kiongozi wa nyumbani kumi halafu kanajifananisha Na Heche. Sasa Kama kanadhani kanajua tunakasubiri mbeya tukaonyeshe kazi. Amuulize Kikwete, Salma, gharib bilal, nahodha N.K.
 
Asante Mkuu na ndio maana nasema hivi leo tungekuwa tunasema vingine kama Bi.Shonza angeelewa kanuni zinazoongoza hitakadi though they not infallible at all maana kupingana na hasa ukabaki hukabalina na wengine na ukarizika kunahitaji political maturity. Kinachokosekana hapa ni kama alipeleka kimaandishi na ikakataliwa. Kama ushahidi upo aulete hadharani. Pili hawezi akasema aliogoapa kufanywa hivyo au alitishwa maana haiwezekani kuwa from day one yeye alitishwa na akaamua kwenda kinyume na kanuni. Documentation kokote duniani huondoa ubishi na ziko objective and unbiased. Dada atoe ushahidi usiokuwa na shaka na kwa kuwa tunataka vitu vitakavyoleta balanced information basi aseme what was the wayforward. Kama alikatataliwa hoja zake zote naye akabaki kimya na akaja kuibukia kwenye kundi lisilokuwa rasmi basi hapo tutahitaji uzi unaojitegemea ili tuone kama that group had a purpose that could add value to CDM. Much questinable kwenye hili as it was witch hunting and power mongers. Sorry to say this.

Kumtetea huyu dada kwa kumtumia Chacha Wangwe. May God rest him in peace nafikiri these are two characters diametrically opposed. You have complemented it that dead men never talk. I cuncur with you. But back to my fore argument documentation was lacking during Chacha's issue as they are lacking with Shonza. When people cannot extract information from proper and reliable documentary review they are bound to archtect, craft and exaggerate anything.

Lakini mkuu tushirikiane kumshauri dada yetu Juliana Shonza kuwa akitaka kusema kitu siku nyingine awe mnyenyekevu (she should control her ego and avoid to mentally intoxicated by praises especially if they flow from the pinnacle of CDM archivals), awe na concrete evidence na aangalie wakati na nyakati za kutoa matamshi. Bado nafasi kuwa mwanasiasa anayo lakini chama makini huwa hakitaki mtu anayetukana kule alikotoka kama ilivyokuwa kwa mwajiri unayetaka kuamia akikuuliza uelezee historia ya kule utakako ukaporomosha kashifa na matusi unampa shaka. Ni vema awe mnyenyekevu na huenda akarudi CDM na tatu sliyekuzi umri hata kama mmetofautina kimtazamo hageuki kuwa kikaragosi cha kusema hovyo na Mungu hataki . Awe na hofu ya Mungu

Nakuvulia kofia mkuu for an argument well put.
I agree with you in principle na tofauti na wana CDM wengi humu jamvini hakuna tusi la kureduce argument yako.

Bi Shonza can learn from this piece of wisdom
 
Nakuvulia kofia mkuu for an argument well put.
I agree with you in principle na tofauti na wana CDM wengi humu jamvini hakuna tusi la kureduce argument yako.

Bi Shonza can learn from this piece of wisdom


Asante sana na inabidi tuchangie mawazo bila matusi au kitu chenye kufanana nayo
 
Wajamvi,

Kwa ridhaa ya BAVICHA mkoa wa Singida nimeamua leo kuja kujibu hoja zote za kipuuzi zilizotolewa Shonza,

mosi; hoja ya ukanda na ukabila haipo CHADEMA toka chama kiwe introduced hapa Tanzania kwasababu viongozi wa kwanza walikua Mzee Mtei,Kaburu,Bob Makani.

Ngoja niendele na awamu hii inayolalamikiwa M/kiti ni Mbowe ni mchaga anatoka Kilimanjaro,makamu bara ni Arfi ni mfipa anatoka Katavi,makamu Zanzibar ni Said Hamad ni mpemba anatoka Zanzibar,katibu ni Dr. Slaa mkuu ni muiraki anatoka Arusha ,naibu k/mkuu bara ni Zitto ni muha anatoka Kigoma,naibu k/mkuu Zanzibar ni Hamad Yusuph ni mzenji anatoka zenji,mkurugenzi wa uenezi ni John Mnyika ni msukuma anatoka Mwanza,mkurugenzi wa mafunzo na ufundi Benson Kigaila anatoka Moro,mkurugenzi wa sera na utafiti ni Mwita Waitara ni mkurya anatoka Mara,mkurugenzi wa bunge ni John Mrema ni mchaga anatoka Moshi,mkurugenzi wa uchaguzi anatoka Tabora,mkurugenzi wa ulinzi ni muhaya anatoka Kagera,wanasheria ni Tundu Lissu ni mnyaturu anatoka Singida {kanda ya kati}, Mabele Marando ni msukuma anatoka Shinyanga {kanda ya ziwa}, m/kiti wa wazee ni msukuma anatoka Shinyanga, m/kiti wa vijana ni mkurya anatoka Mara,washauri ni Dr. Kitila Mkumbo ni mnyiramba anatoka Singida,Mwesiga Baregu ni muhaya anatokea Kagera.

SHONZA NA WENZAKO NAOMBENI MJE MNIJIBU KUWA KWA UONGOZI ULIVYO HAPO CHADEMA NI YA KABILA GANI?KANDA GANI?AU DINI GANI? Kama hautaweza endelea kuishi kwa kutegemea pochi za wanawake wenzako na hao akina Mchange na Mtela waendelee kuishi kwa kutegemea wallet za wanaume wenzao.

NB: NAWAONYA MIKOANI MSISOGEE COZ MTATOLEWA SADAKA NA AKINA MWIGULU LENGO LAO LITIMIE WALILOAMBIWA NA FREEMASON KUWA WAKITAKA KUSHINDA 2015 WATOE SADAKA YA WANA CDM AMBAO WATAUANA WENYEWE SO TAKE CARE UR SELF AND WENZAKO.

Hoja nyingine zitafuata kila siku.

Updates: ===================


  • Asante Kimboka kwa mada yako nzuri, nimejaribu kuiweka kwa mtindo huu ili ionekane vizuri zaidi, tunashukuru kwa uhakiki wako maana baadhi tuna shauku ya kujua safu ilivyojipanga yenye wajumbe toka pande zote za nchi. Big up, maana vita hivi vya kupakaa mafuta kwa mgongo wa chupa katu mafuta hayataenea kamwe.

Mada iliyoletwa na mdau
Kimboka

Wajamvi, Kwa ridhaa ya bavicha mkoa wa singida nimeamua leo kuja kujibu hoja zote za kipuuzi zilizotolewa shonza,
mosi;hoja ya ukanda na ukabila haipo cdm toka chama kiwe introduced hapa tz coz viongozi wa kwanza walikua:
Waanzilishi

  • Edwin Mtei,
  • Kaburu,
  • Bob makani.

NGOJA niendele na awamu hii inayolalamikiwa

  1. M/kiti ni mbowe ni mchaga anatoka kilimanjaro,
  2. Makamu bara ni arfi ni mfipa anatoka katavi,
  3. Makamu zenji ni said hamad ni mpemba anatoka zenji,katibu ni
  4. Katibu Mkuu Dr.slaa mkuu ni muiraki anatoka arusha ,
  5. Naibu k/mkuu bara ni zitto ni muha anatoka kigoma,
  6. Naibu k/mkuu zenji ni hamad yusuph ni mzenji anatoka zenji,
  7. Mkurugenzi wa uenezi ni john mnyika ni msukuma anatoka mwanza,
  8. Mkurugenzi wa mafunzo na ufundi benson kigaila anatoka moro,
  9. Mkurugenzi wa sera na utafiti ni Mwita Waitara ni mkuria anatoka mara,
  10. Mkurugenzi wa bunge ni john mrema ni mchaga anatoka moshi,
  11. Mkurugenzi wa uchaguzi anatoka tabora,mkurugenzi wa ulinzi ni muhaya anatoka kagera,
  12. Wanasheria ni Tundu Lissu ni mnyaturu anatoka singida{kanda ya kati},
  13. Mabele marando ni msukuma anatoka shinyanga{kanda ya ziwa},
  14. Profesa Safari - wa visiwani.
  15. M/kiti wa wazee ni msukuma anatoka shinyanga,
  16. M/kiti wa vijana ni mkuria anatoka mara,
  17. Mashauri ni Rr.Kitila mkumbo ni mnyiramba anatoka singida,
  18. Mwesiga Baregu si mchaga.

SHONZA NA WENZAKO NAOMBENI MJE MNIJIBU KUWA KWA UONGOZI ULIVYO HAPO CDM NI YA KABILA GANI?KANDA GANI?AU DINI GANI? Kama hautaweza endelea kuishi kwa kutegemea pochi za wanawake wenzako na han akina mchange na mtela waendelee kuishi kwa kutegemea wallet za wanaume wenzao NB:NAWAONYA MIKOANI MSISOGEE COZ MTATOLEWA SADAKA NA AKINA MWIGULU LENGO LAO LITIMIE WALILOAMBIWA NA FREEMASON KUWA WAKITAKA KUSHINDA 2015 WATOE SADAKA YA WANA CDM AMBAO WATAUANA WENYEWE SO TAKE CARE UR SELF AND WENZAKO.hoja nyingine zitafuata kila siku.
 
Daaaah mkuu umekurupuka sana aisee... nilijua BAVICHA SINGIDA mna hoja kibao.. ulivyoanza aisee..

Tuache tu!!
 
Hii hoja imetolewa na kiongozi wa bavicha kweli ama vipi mbona hajajenga hoja vizuri,pili kwanini anajibizana na watoto hao kina shonza kupoteza muda.

Sasa kiongozi wa bavicha anajua kweli maana ya freemason au anaongea tu.
 
Wajamvi, Kwa ridhaa ya bavicha mkoa wa singida nimeamua leo kuja kujibu hoja zote za kipuuzi zilizotolewa shonza,
mosi;hoja ya ukanda na ukabila haipo cdm toka chama kiwe introduced hapa tz coz viongozi wa kwanza walikua mzee mtei,kaburu,bob makani.NGOJA niendele na awamu hii inayolalamikiwa M/kiti ni mbowe ni mchaga anatoka kilimanjaro,makamu bara ni arfi ni mfipa anatoka katavi,makamu zenji ni said hamad ni mpemba anatoka zenji,katibu ni dr.slaa mkuu ni muiraki anatoka arusha ,naibu k/mkuu bara ni zitto ni muha anatoka kigoma,naibu k/mkuu zenji ni hamad yusuph ni mzenji anatoka zenji,mkurugenzi wa uenezi ni john mnyika ni msukuma anatoka mwanza,mkurugenzi wa mafunzo na ufundi benson kigaila anatoka moro,mkurugenzi wa sera na utafiti ni mwita waitara ni mkuria anatoka mara,mkurugenzi wa bunge ni john mrema ni mchaga anatoka moshi,mkurugenzi wa uchaguzi anatoka tabora,mkurugenzi wa ulinzi ni muhaya anatoka kagera,wanasheria ni tundulissu ni mnyaturu anatoka singida{kanda ya kati},mabele marando ni msukuma anatoka shinyanga{kanda ya ziwa},m/kiti wa wazee ni msukuma anatoka shinyanga,m/kiti wa vijana ni mkuria anatoka mara,washauri ni dr.kitila mkumbo ni mnyiramba anatoka singida,mwesiga baregu si mchaga.SHONZA NA WENZAKO NAOMBENI MJE MNIJIBU KUWA KWA UONGOZI ULIVYO HAPO CDM NI YA KABILA GANI?KANDA GANI?AU DINI GANI? Kama hautaweza endelea kuishi kwa kutegemea pochi za wanawake wenzako na han akina mchange na mtela waendelee kuishi kwa kutegemea wallet za wanaume wenzao NB:NAWAONYA MIKOANI MSISOGEE COZ MTATOLEWA SADAKA NA AKINA MWIGULU LENGO LAO LITIMIE WALILOAMBIWA NA FREEMASON KUWA WAKITAKA KUSHINDA 2015 WATOE SADAKA YA WANA CDM AMBAO WATAUANA WENYEWE SO TAKE CARE UR SELF AND WENZAKO.hoja nyingine zitafuata kila siku.
Hata mh dr Kikwete ni muislamu mna makamu ni muislamu lakini mpaka leo waislamu wanalalamika mfumo K unawatawala ktk mambo yao kwahiyo usione watu wanalalamika ukanda akaangalia uongozi wa juu wa chama angalia mwenendo wa chama mkuu
 
Kwa niaba ya vijana wa chadema hebu itoe hii hoja kaipangilie vizuri halafu uilete tena.

Unanipa mashaka kama kweli wewe ni kiongozi wa bavicha.
 
AKSANTE SANA BABA, AYA NI MAJIBU MUJARABU, WAKATI MUJARABU, NA KWA WATU MUHAFAKA, SANTURI YA UKABILA CDM ILIISHAKUA OUTDATED, KWETU BUKOBA WAHAYA TUNAVOIPENDA CHADEMA NI BALAA NA NILIOGOPA AWA MAFISI WA CCM WANGEKIITA CDM NI CHA WAHAYA, NA HATUKO TAYARI KUWASIKILIZA MASALIA NA HOJA ZAO MFU, WASHAFUKUZWA CDM MAANAKE WAO C CHADEMA, NA MAMBO YA CHADEMA HAYAWAHUSU.
NAKUUNGA MKONO NI AIBU KWA AKINA MWAMBAPA, HABIB et al, KUISHI MJINI WAKITEGEMEA WALLET YA MCHEMBA UYU NI MUHUNi MPENDA WAKE ZA WATU, HATARI UYU V.SOON ATAWAOMBA MASABUL ILI AWALAWITI AKI YA NANI
 
Marando si Msukuma wa Shinyanga, ni Mjaluo toka mkoa wa Mara. Mtoa hoja hakujiandaa.
 
Mkuu haina haja tena ya kujibishana na wale waasi wenye njaa masalia, kwani tatizo lao ni dogo sana na wakiombewa litakwisha tu na upeo wao umetawaliwa na yule pepo mchafu mkuu wa anga.....
 
maadam ni sredi inayotufanya tujue msimamo wa wana singida haina noma! kuwa comfortable kabisa man!
 
Nimekuelewa mtoa hoja ila kwa sasa hoja ya Juliana haina mashiko maana kuendelea kujadili mtu ambaye hatuna kazi nae ni kupoteza muda wa kufanya mambo mengine ya msingi,kama akija huko uliko wala hauna haja ya kufanya fujo hata aseme nini kwani hakuna atakachobadilisha katika chama.
Kilichobaki kwako ni kujenga chama katika eneo lako huku ukiwa na timu ya watu safi.
 
Kwa niaba ya vijana wa chadema hebu itoe hii hoja kaipangilie vizuri halafu uilete tena.

Unanipa mashaka kama kweli wewe ni kiongozi wa bavicha.
Msaidie kiongozi wenu anaaibika hapa jamvini.
 
Kimboka mwanangu jaribu kufanya utafiti japo kidogo badala ya kujiandikia. Kwa mfano unasema eti Mabere Marando ni msukuma toka Shinyanga wakati ni Mjaluo toka Mara! Utangulizi wako kuwa utajibu hoja zote haufanani na ulichofanya. Kama nimekuelewa ni kwamba unajibu hoja moja ya ukabila tu. Sidhani kama CDM mnahitaji utetezi wa namna hii. Ni ushauri tu.
Wajamvi, Kwa ridhaa ya bavicha mkoa wa singida nimeamua leo kuja kujibu hoja zote za kipuuzi zilizotolewa shonza,
mosi;hoja ya ukanda na ukabila haipo cdm toka chama kiwe introduced hapa tz coz viongozi wa kwanza walikua mzee mtei,kaburu,bob makani.NGOJA niendele na awamu hii inayolalamikiwa M/kiti ni mbowe ni mchaga anatoka kilimanjaro,makamu bara ni arfi ni mfipa anatoka katavi,makamu zenji ni said hamad ni mpemba anatoka zenji,katibu ni dr.slaa mkuu ni muiraki anatoka arusha ,naibu k/mkuu bara ni zitto ni muha anatoka kigoma,naibu k/mkuu zenji ni hamad yusuph ni mzenji anatoka zenji,mkurugenzi wa uenezi ni john mnyika ni msukuma anatoka mwanza,mkurugenzi wa mafunzo na ufundi benson kigaila anatoka moro,mkurugenzi wa sera na utafiti ni mwita waitara ni mkuria anatoka mara,mkurugenzi wa bunge ni john mrema ni mchaga anatoka moshi,mkurugenzi wa uchaguzi anatoka tabora,mkurugenzi wa ulinzi ni muhaya anatoka kagera,wanasheria ni tundulissu ni mnyaturu anatoka singida{kanda ya kati},mabele marando ni msukuma anatoka shinyanga{kanda ya ziwa},m/kiti wa wazee ni msukuma anatoka shinyanga,m/kiti wa vijana ni mkuria anatoka mara,washauri ni dr.kitila mkumbo ni mnyiramba anatoka singida,mwesiga baregu si mchaga.SHONZA NA WENZAKO NAOMBENI MJE MNIJIBU KUWA KWA UONGOZI ULIVYO HAPO CDM NI YA KABILA GANI?KANDA GANI?AU DINI GANI? Kama hautaweza endelea kuishi kwa kutegemea pochi za wanawake wenzako na han akina mchange na mtela waendelee kuishi kwa kutegemea wallet za wanaume wenzao NB:NAWAONYA MIKOANI MSISOGEE COZ MTATOLEWA SADAKA NA AKINA MWIGULU LENGO LAO LITIMIE WALILOAMBIWA NA FREEMASON KUWA WAKITAKA KUSHINDA 2015 WATOE SADAKA YA WANA CDM AMBAO WATAUANA WENYEWE SO TAKE CARE UR SELF AND WENZAKO.hoja nyingine zitafuata kila siku.
 
Ulianza vyema kujenga hoja, ila always unapoingiza mipasho katika uzi wako inatia mashaka kama ni mawazo yako au ni BAVICHA Singida. Hapa jamvini kuna audience za aina nyingi, kuna mashabiki, wanazi na wale wenye kureason kwa mujibu wa hoja.

My take: Tutofautishe kati jumuiya ya vijana na jumuiya ya watoto
 
Kwa ujumla hoja ya ukabila amejitahid kujibu vema,makosa madogo yasiathiri ukweli ambao upo mtoa mada amelenga kuufikisha kwa watu ambao wamekuwa wakipotosha uma kuwa cdm ni ya wachaga au ya watz wa kaskazini.
 
Back
Top Bottom