Wajamvi, Kwa ridhaa ya bavicha mkoa wa singida nimeamua leo kuja kujibu hoja zote za kipuuzi zilizotolewa shonza,
mosi;hoja ya ukanda na ukabila haipo cdm toka chama kiwe introduced hapa tz coz viongozi wa kwanza walikua mzee mtei,kaburu,bob makani.NGOJA niendele na awamu hii inayolalamikiwa M/kiti ni mbowe ni mchaga anatoka kilimanjaro,makamu bara ni arfi ni mfipa anatoka katavi,makamu zenji ni said hamad ni mpemba anatoka zenji,katibu ni dr.slaa mkuu ni muiraki anatoka arusha ,naibu k/mkuu bara ni zitto ni muha anatoka kigoma,naibu k/mkuu zenji ni hamad yusuph ni mzenji anatoka zenji,mkurugenzi wa uenezi ni john mnyika ni msukuma anatoka mwanza,mkurugenzi wa mafunzo na ufundi benson kigaila anatoka moro,mkurugenzi wa sera na utafiti ni mwita waitara ni mkuria anatoka mara,mkurugenzi wa bunge ni john mrema ni mchaga anatoka moshi,mkurugenzi wa uchaguzi anatoka tabora,mkurugenzi wa ulinzi ni muhaya anatoka kagera,wanasheria ni tundulissu ni mnyaturu anatoka singida{kanda ya kati},mabele marando ni msukuma anatoka shinyanga{kanda ya ziwa},m/kiti wa wazee ni msukuma anatoka shinyanga,m/kiti wa vijana ni mkuria anatoka mara,washauri ni dr.kitila mkumbo ni mnyiramba anatoka singida,mwesiga baregu si mchaga.SHONZA NA WENZAKO NAOMBENI MJE MNIJIBU KUWA KWA UONGOZI ULIVYO HAPO CDM NI YA KABILA GANI?KANDA GANI?AU DINI GANI? Kama hautaweza endelea kuishi kwa kutegemea pochi za wanawake wenzako na han akina mchange na mtela waendelee kuishi kwa kutegemea wallet za wanaume wenzao NB:NAWAONYA MIKOANI MSISOGEE COZ MTATOLEWA SADAKA NA AKINA MWIGULU LENGO LAO LITIMIE WALILOAMBIWA NA FREEMASON KUWA WAKITAKA KUSHINDA 2015 WATOE SADAKA YA WANA CDM AMBAO WATAUANA WENYEWE SO TAKE CARE UR SELF AND WENZAKO.hoja nyingine zitafuata kila siku.
HUKU NI ZAIDI YA KUKURUPUKA :
MOJA: Mkamu mwenyekiti wa BAvicha ndugu Juliana Shoza aliwaeleza watanzania ili afafanue kuhusu maamuzi yaliofanywa na watu au
viongozi wa bavicha kuhusu kusimamishwa kwake uanachama wa bavicha na uanachama wa chadema.mambo
yafuatayo aliyazungumza:
1. Kukanusha kufukuzwa kwake na kudai yeye ni mwanachama na kiongozi wa Bavicha.Kwani kikao kilichokaa sio
kikao halali.Pia hadi anaongea na waandishi wa habari alikuwa bado hajakabidhiwa barua rasmi toka kwa
viongozi wenake wa juu wa bavicha.Na ukweli ni kwamba baada ya ile press conference ndio mabaunsa
wakamlazimisha apookee barua na kumlazimisha asaini kwenye "dispach"
2. Alitoa tuhuma ( naweza sema bado hazijathibishwa ) katika masuala yafuatayo:-
(a) Kuwa dk silaa amejikopesha shiling za kitanzania milion 140. kinyume na utaratibu, kwani hizo ni pesa za
ruzuku ya chama,wakati pesa hizo zingetumika kukiimarisha chama.Maan amejikopesha si kwa masuala ya
kuimarisha chama.
(b) Dai la pili ni kuwa, Chadema hamna mipango ya DHATI ya kukijenga chama. Alipendekeza muwe na ofisi ya
chama amabapo ndio pawe makao makuu ya chama badala ya kupanga kila kukicha pale Kinondoni. Na
uwezo huo mnao.
(c) Tatu, alikuwa akipendekeza mtengeneze kadi za umoja wa vijana wenu. That why akasema pamoja na
kwamba bavicha ipo kikatiba lakini hamna vitambulisho vinavyowatambulisha umoja huo. Hivi wewe
Kimboka, kwani kutengenza kadi za bavicha ni shilingi ngapi? Maana mmezoea kudai eti chama kichanga,
Wakati mna miaka 21 hivi sdasa, amabapo mtoto mwenye miaka hiyo yupo chuo kikuu sasa. Ni utoto gani
mliokuwa nao nyie?
(d) Jingine, alizungumzia kuhusu mshahara wa Dk kuwa mkubwa, maana anadai analipwa zaidi ya milioni saba
kwa mwezi. Kama kweli chama ni kichanga basi mshahara wake apunguze.Na hapa labda niwe wazi , (
Maana huwa mnasemaga eti ooh, anapaswa kulipwa hivyo kwakuwa ameacha nafasi yake ya ubunge. Hivi
kwani dk Silaa mmemkodi?Kama ni askali wa kukodi sawa, ila kama hamajamkodi basi si sawa, maana
makatibu wenu wa mikoa hawana mishahara, wa wilaya hawana.Kwakuwa wote mnajenga chama basi
maumivu myapate wote.
(e ) Suala lake jingine ndilo wewe umejaribu kulitolea maelezo. Kuwa PM7 ilihusisha pia BEn Saanane na wakina
Mamuya,Lakini cha ajabu waliotoka Mbeya,Pwani ndio waliopewa onyo kali na kuwekwa kwenye uanalizi wa mwaka
mmoja au kufukuzwa LAKINI walitoka kanda yahuko kwao wamepewa onyo tu na kuwa chini ya uangalizi wa mwaka
mmoja. MAJIBU YAKO KATIKA HILI UNAWEZA UKAWA SAHIHI KUONESHA CDM SIO CHAMA CHA KIKANDA ( hapa
nakubaliana na wewe )
(f) Na madai mengine mengi.
PILI : Nimesikitishwa sana kwa kudai eti, kauli hii ulioitoa ni kwa ridhaa ya wanaBavicha mkoa wa Singida. Embu tupe Ushahidi
ukiambatana na picha au dondoo za ajenda zenu, mlikaa lini kijadili majibu hayo? Ili tuthbitishe kuwa ni kwa ridhaa ya
wanabavicha wa singida. Kama hayo ni majibu ya kweli kuhusu hoja za kitoto za Juliana Shoza, basi nina wasiwasi na uwezo
wenu.Mnakidhalilisha chama kwa kuwa na uwezo huo. Angalia kichwa cha tread yako , hayaendani kabisa na ulichokieleza
humu ndani.Halafu ajenda yenu ilikuwa kujadili kuhusu ukanda tu (ubaguzi wa ukanda tu) ?
TATU: Tumejiwekea utaratibu wa kuwa na week-end ili tupumzike, so kama huna cha kuandika ni bora upumzike.