Unapozungumzia neno kiroho zaidi it's about miracles ambapo huhitaji kwenda Loli peke yake; but unapokuja na notion ya kunywa kikombe thatz medicinal na hiyo ni herbalism kama Matunge and the likes except huyu wa Loli kaja na gia ya kuoteshwa na pia mtu ananyweshwa kikombe kimoja tu! Every proponent wa Loli should be scientific and be able to explain the anatomy behind babu's herbal vinginevyo subirini kuumbuka![/QUOTE]
...So kwa nini wote kwa pamoja tusisubiri Kuumbuka kwa babu na mashabiki wake?? Kwa nini kila siku mnatoka jasho kumpinga badala ya kuwa na subira mkangoja atakavyoumbuka ndio mfungue midomo??
Leo redio WAPO imeripoti kuwa idadi kubwa ya watu wamepoteza maisha siku chache baada ya kunywa kikombe cha babu. Hii ni kwa mujibu wa riporter kutoka Arusha. Wanaoongoza kwa kukumbwa na madhila hayo ni wagonjwa wa kisukari ambao walidhani wamepona na hivyo kuacha kutumia dawa za hospitali. Nawasilisha.
1Yoh 3:8 Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi
A smooth sea never made a skilled mariner.
-English proverb
Babu alichokifanya ni kama kilichowahi simuliwa na Abunuasi:
"Jamaa(Abunuwasi) aliwaambia watu kuwa kwake kuna malaika waje kumuona kwa hela ila aliye na dhambi hatamuona watu wakamiminika kwa wingi sana ikawa kila anayetoka ndani anasema nimemuona nimemuona nimemuona ili asionekane ana dhambi "
Sasa hadith hii babu aliisoma na akaielewa akanza kuwafanyia watanzania na ndio maana kila aliyekuwa anakunywa alijifanya kutoa ushuhuda kuwa amepona amepona amepona, na kwa sababu hiyo walilazimika kuacha dawa zao kumbe ile danganya toto matokeo yake ni hayo na bado tutasikia mengi, ipo siku tutaambiwa wote waliokunywa watakufa in a short period, hapo ndio babu atakamatwa.
Babu alichokifanya ni kama kilichowahi simuliwa na Abunuasi:…
"Jamaa(Abunuwasi) aliwaambia watu kuwa kwake kuna malaika waje kumuona kwa hela ila aliye na dhambi hatamuona …watu wakamiminika kwa wingi sana ikawa kila anayetoka ndani anasema nimemuona nimemuona nimemuona ili asionekane ana dhambi…"
Sasa hadith hii babu aliisoma na akaielewa akanza kuwafanyia watanzania na ndio maana kila aliyekuwa anakunywa alijifanya kutoa ushuhuda kuwa amepona amepona amepona, na kwa sababu hiyo walilazimika kuacha dawa zao kumbe ile danganya toto matokeo yake ni hayo na bado tutasikia mengi, ipo siku tutaambiwa wote waliokunywa watakufa in a short period, hapo ndio babu atakamatwa.
Babu alichokifanya ni kama kilichowahi simuliwa na Abunuasi:
"Jamaa(Abunuwasi) aliwaambia watu kuwa kwake kuna malaika waje kumuona kwa hela ila aliye na dhambi hatamuona watu wakamiminika kwa wingi sana ikawa kila anayetoka ndani anasema nimemuona nimemuona nimemuona ili asionekane ana dhambi "
Sasa hadith hii babu aliisoma na akaielewa akanza kuwafanyia watanzania na ndio maana kila aliyekuwa anakunywa alijifanya kutoa ushuhuda kuwa amepona amepona amepona, na kwa sababu hiyo walilazimika kuacha dawa zao kumbe ile danganya toto matokeo yake ni hayo na bado tutasikia mengi, ipo siku tutaambiwa wote waliokunywa watakufa in a short period, hapo ndio babu atakamatwa.
Hii hadhithi yako mbona waitowa kila siku? Umeishiwa au hujui kutunga nyingine? Ndiyo huwa anaitumia mchungaji Kakobe au Kulola?
Jitahidi basi ulete nyingine maana hii tumeshaisikia sana hapa JF kutoka kwako. Poor you!!!
Mwanzoni ilianza kwa mbwembwe nyingi kwamba [B]"yeyote atakaye fika kwa babu hatakufa." [/B]Remember?
Fool me once, shame on you. Fool me twice, shame on me ! Wise Quotes
Jesus is Lord
Mzazi wangu ana tatizo la moyo na mapafu, baada ya kupata dawa ya Babu alijisikia vizuri sana kiasi kwamba akaacha kwa muda madawa yake anayotumia kila siku ya hospitali. Ghfla hali imekuwa mbaya na miguu imevimba imebidi azirudie zile dawa kabla mambo hayajaharibika zaidi, anaendelea vizuri kwa sasa.
Pengine kikombe kimoja tu cha dawa ya Babu hakitoshi? inategemea na ukubwa wa tatizo au? au hii dawa vipi tena?
Usamehewe kwa hili maana hujui ulitendalo.
Hivi Radio Wapo inamilikiwa na nani? Imekuwa propaganda "machine" against "Babu wa Loliondo"!
Tumeambiwa "time and again" kuwa Babu anaponya kwa "IMANI" and so the Holy Bible Says
Mark 10:52 "Go, for your faith has healed you.."
Kwa hiyo kama "HUNA IMANI" huwezi kupona!! Strange!
Sasa jamani, Mungu yupi anakuponya halafu anasema endelea kutumia dawa zako, ukiacha unakufa???????
Ukweli utajulikana soon!naomba afe kiongozi ili ushabiki uishe!
Niliwaambia hapa mapema ndugu zangu waTanzania. Kwamba hili la Loliondo ni Diable, sikueleweka na ikaonekana kwamba nampiga vita "babu yao watu" sikuchoka nikawaletea tafiti mbalimbali na matumizi ya dawa hiyo lakini ikaonekana bado sijasema la maana!Babu alichokifanya ni kama kilichowahi simuliwa na Abunuasi:…
"Jamaa(Abunuwasi) aliwaambia watu kuwa kwake kuna malaika waje kumuona kwa hela ila aliye na dhambi hatamuona …watu wakamiminika kwa wingi sana ikawa kila anayetoka ndani anasema nimemuona nimemuona nimemuona ili asionekane ana dhambi…"
Sasa hadith hii babu aliisoma na akaielewa akanza kuwafanyia watanzania na ndio maana kila aliyekuwa anakunywa alijifanya kutoa ushuhuda kuwa amepona amepona amepona, na kwa sababu hiyo walilazimika kuacha dawa zao kumbe ile danganya toto matokeo yake ni hayo na bado tutasikia mengi, ipo siku tutaambiwa wote waliokunywa watakufa in a short period, hapo ndio babu atakamatwa.
....wa babu wa loliondo... na wale wa wale mababu na mabibi wengine!!!Sasa jamani, Mungu yupi anakuponya halafu anasema endelea kutumia dawa zako, ukiacha unakufa???????