Shocking News; Kweli ndio tumefika huku?

Sababu hizi hizi ndizo zinazopelekea watu kutopima afya zao hususan kama anaishi kwenye mji mdogo.

Kama unaishi Iringa, hupimi hadi ukipata-trip ya Mbeya, ili kujikinga na taarifa zako za faragha kuanikwa ovyo ovyo

Lab Technician anakuambia leo kati ya sita wajawazito walokuja kupima hospitali, wanne wana VVU, na wewe unamjua mmoja aliyekwenda kupima, tayari kaibua mzizi wa fitnah. Ameweka shaka akilini mwako. Ukimuona rafiki yako anajaribu kuwa nae karibu, nawe unamtonya uliyosikia kwa nduguyo Lab. Technician. Mtungo unasambaa.....

Kwani kama umeathirika hutaki kujua kama umeathirika?
 
Mkuu usibishe wala kushangazwa na hii habari, kwa hapa Tanzania inawezekana, mbona wafanyakazi wengi tu wa hospitali wanatoboa siri za wagonjwa. Si vizuri lakini kwa hapa Bongo it is very common.

Jamani mm sijaelea mnachonibishia hapa. Sijaelewa kabisa. Mnamaanisha kuwa hamjapenda hii shocking news
 
nilichogundua ni kuwa watanzania wote hasa waliofungua hii thread wamepanic sana.which means wengi wenu hampo tayari kupoma na hamtaki kujua afya zenu
 
Hapa Bongo hatuheshimiani hata kidogo. Mimi nitaugua ngoma nitawaeleza jamaa na marafiki zangu wa karibu. Wao watanifariji pale nikiwa na wao, nikiondoka watanicheka na kupigia simu watu wengine (marafiki zao) kuwaeleza juu ya afya yangu. Yaani hapa bongo mateso ya mwenzako imekuwa sherehe siku hizi. Utashangaa unampa mtu namba yako ya simu na kumweleza to not give it to others. Utashangaa unapigiwa simu na watu wa hajabu kisha anakuambia namba yako kanipa fulani (yule uliyemkataza asigawe awali). Yaani hapa bongo hatuna heshima hata kidogo.
 
Kwanza ulichoandika kimepinda, unatupa shaka kwamba kama unashindwa kuandika kwa lugha unayoijua tu, je kweli utaweza kuelewa umuhimu wa professional ethics?

What is less than pointless here is your dismissal of true and tried ethical standards.

It is less than merely pointless because it could lead to a loss of faith in the system that would result in the unintended consequence of a vicious cycle of self destruction.

When you think you are helping highlighting the HIV problem by hapharzardly discarding proven methodologies with wanton abandon you are actually making the situation worse by undermining confidentiality.

Wewe mwenyewe umesaidia nini? Bora mimi hapa nimeleta news ambayo watu walikuwa hawaijui na ndio maana kimewauma/kimekuuma hasa nyie viongozi vijana vijana ndio viwembe sana. I knew before that this news is gonna touch you severly direct in the bottom of your heart and thats what i wanted. Huu uzi sikuuleta ili mnipigie makofi kaka , nimeuleta hata kama sijafuata ethics ili muelewa kuwa hali si shwari na muache umalaya
 
Kwani kama umeathirika hutaki kujua kama umeathirika?

Mimi nataka kujua, lakini sitaki watu wengine waambiwe/wajue kuhusu hilo bila ya idhini yangu.

Taarifa za mgonjwa ni mali ya mgonjwa. Hakuna mwengine anaepaswa kujihusisha na mali hiyo, pasi na idhini ya mgonjwa.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
guys i didnt bring this thread to you expecting you to clap your hands for me and congratulates me. Thats why i renamed it shocking news which means whenever you open the thread it will shock you and beggin to attack me as if i directed you to follow/approach and sleep with our lady. But resistance which i get here from you remind/shows me that down there things are not good.
thank you mr Invisible hajaondoa uzi wangu .. And iam happy thats this news really shocked you as i wanted
 
Last edited by a moderator:
Jamani mm sijaelea mnachonibishia hapa. Sijaelewa kabisa. Mnamaanisha kuwa hamjapenda hii shocking news



Hujaelewa kwa sababu wewe mwenyewe hueleweki. Naomba soma tena thread yangu kisha uniambie ni wapi nimebisha. Nilichofanya ni kuunga mkono thread ya mtoa hoja niliyemjibu au majibu nayo ni ubishi siku hizi? Tafadhali jaribu kusoma thread za watu vizuri, usiharibu hali ya hewa kwa kutokuwa makini tafadhali.
 
i dont know whts wrong with these m***rs who critising me where.. I dont nderstand you guys. What is my mistakes? Lab tec is x, place is x, and you re not sure about the validity of my thread.so whats ya problems? Wake zenu ndio wameenda kupima leo? Mbona kimewauna sana guys? Acheni mipasho sitaki mipasho hapa nimeleta kitu ambacho kikinyamaziwa kinaweza kuimaliza jamii

Black Bat haujakosea kitu chochote,umefanya kitu ambacho mwisho wa mwaka unastahili heshima ya Tunzo ya sredi bora ya mwaka 2012/2013....Umewatahadharisha watu kwamba wawe makini ngoma ipo na ni kweli nakubaliana na wewe na hata ukienda hospital kupima madaktari wkikukuta -ve wanashangaa sana lkn wakiona +ve wanaona kawaida,jf members alichofanya popo mweusi ni cha kumpongeza haya mambo ya kuficha ficha ndio yametufikisha hapa hivi unajua watu wanaoishi na HIV/AIDS tanzania ni zaidi ya 3.3%?
 
Hujaelewa kwa sababu wewe mwenyewe hueleweki. Naomba soma tena thread yangu kisha uniambie ni wapi nimebisha. Nilichofanya ni kuunga mkono thread ya mtoa hoja niliyemjibu au majibu nayo ni ubishi siku hizi? Tafadhali jaribu kusoma thread za watu vizuri, usiharibu hali ya hewa kwa kutokuwa makini tafadhali.

Umesomeka...
 
Mimi nataka kujua, lakini sitaki watu wengine waambiwe/wajue kuhusu hilo bila ya idhini yangu.

Taarifa za mgonjwa ni mali ya mgonjwa. Hakuna mwengine anaepaswa kujihusisha na mali hiyo, pasi na idhini ya mgonjwa.

my friend Kiranga worshiper soma thread yangu uielewe.. Na sit down fikiria vizuri utajua concept ya mimi kuleta uzi kama huu. Janga la ukimwi is not about secret again utapoteza ndugu zako wote and ate the end na wewe utapotea. Hizo siri za mgonjwa unazozisema hapa ni zipi? Mgonjwa yupi? Na wapi? Unamjua jina lake? Dont follow Kiranga ana laana because he doesnt believe that God exist ama usifuate te mkumbo eti kwa vile wana @jf wengi wamesimamia huko na wewe ukawa upande wao bila kujaji.
 
Last edited by a moderator:
kwanza hao walioenda kupima waliondoka na majibu yao. So tatizo hapa liko wapi? Kiranga the topic is not about existence of God here we are talking about aids with direct impact in our daily life . Lazima tujue ukweli na tusifichane tukificha tutajua kuwa watu wote ni safi kumbe percent kubwa ni waathirika

Ina maana hata walioenda kupima wasipewe majibu? Unajua maana ya confidentiality wewe? Kwa nini tunakuwa so ignorant kiasi hiki? No wonder our politicians wanatudharau sana. Whatever, in connection with your professional service, or not in connection with it, you see or hear, in the life of people, which ought not to be spoken of abroad, you will not divulge, as reckoning that all such should be kept secret.

It is very shocking that a lab technician ana-negotiate na wewe information kuhusiana na patients wake. Halafu unasema hakuna tatizo hapo? Kwenye ethics za medical, the duty to confidentiality is non-negotiable. In cases involving the diagnosis of a sexually transmitted disease, confidentiality may only be legally breached kama mgonjwa akikataa ku-reveal the diagnosis to his/her spouse, though this is debatable.

Whatever the case, a person who does not believe in patients' autonomy, beneficence (salus aegroti suprema lex), non-maleficence (primum non nocere) and justice hafai kufanya kazi as a health professional.

Kwa wanaosema eti hakutaja majina, hawajui kabisa maana ya duty to confidentiality. Sishangai maana kuna mwingine alikuja hapa kutaka kuuza data na information za watu alizozipata kwa kuwafanyia interview kwenye research zake.
 
Black Bat haujakosea kitu chochote,umefanya kitu ambacho mwisho wa mwaka unastahili heshima ya Tunzo ya sredi bora ya mwaka 2012/2013....Umewatahadharisha watu kwamba wawe makini ngoma ipo na ni kweli nakubaliana na wewe na hata ukienda hospital kupima madaktari wkikukuta -ve wanashangaa sana lkn wakiona +ve wanaona kawaida,jf members alichofanya popo mweusi ni cha kumpongeza haya mambo ya kuficha ficha ndio yametufikisha hapa hivi unajua watu wanaoishi na HIV/AIDS tanzania ni zaidi ya 3.3%?

king kong now you are talking ..umeongea kitu ambacho ndio hali halisi ..sasa hivi ukienda kupimwa na kukuta unao basi hawashangai ..wakikuta hauna ndio wanakushangaa. Ujue watu wengi wanafuata judgement za Kiranga ..all of them are Kiranga the complicater followers and hes is washing th're brain severly .
 
Last edited by a moderator:
guys i didnt bring this thread to you expecting you to clap your hands for me and congratulates me. Thats why i renamed it shocking news which means whenever you open the thread it will shock you and beggin to attack me as if i directed you to follow/approach and sleep with our lady. But resistance which i get here from you remind/shows me that down there things are not good.
thank you mr Invisible hajaondoa uzi wangu .. And iam happy thats this news really shocked you as i wanted

Huwezi kuelewa watu wanachopinga kwa sababu Wabongo tunapenda umbea na kujua habari za watu.

In essence hakuna mtu anaepinga kuwa VVU na UKIMWI upo sana Tanzania, tunachopinga ni njia iliyotumika kukufikishia wewe taarifa hiyo.

Njia iliyotumika si sahihi, kwa sababu inaweza kuchochea kunyanyapaliwa kwa baadhi ya wagonjwa, kwa sababu tu taarifa zao za faragha zimewekwa wazi kwenye jamii kinyume na taratibu.

Kwa hiyo hii thread yako inaweza kuwa imekuwa shocking kwa watu sio kwa sababu habari ya kuwepo kwa VVU kwa wingi Tanzania ni habari ngeni, laa, ni kwa sababu ya kushangazwa na kuvunjwa kwa miiko na maadili ya kazi hasa kwenye suala sensitive kama hili.
 
Ina maana hata walioenda kupima wasipewe majibu? Unajua maana ya confidentiality wewe? Kwa nini tunakuwa so ignorant kiasi hiki? No wonder our politicians wanatudharau sana. Whatever, in connection with your professional service, or not in connection with it, you see or hear, in the life of people, which ought not to be spoken of abroad, you will not divulge, as reckoning that all such should be kept secret.

It is very shocking that a lab technician ana-negotiate na wewe information kuhusiana na patients wake. Halafu unasema hakuna tatizo hapo? Kwenye ethics za medical, the duty to confidentiality is non-negotiable. In cases involving the diagnosis of a sexually transmitted disease, confidentiality may only be legally breached kama mgonjwa akikataa ku-reveal the diagnosis to his/her spouse, though this is debatable.

Whatever the case, a person who does not believe in patients’ autonomy, beneficence (salus aegroti suprema lex), non-maleficence (primum non nocere) and justice hafai kufanya kazi as a health professional.

Kwa wanaosema eti hakutaja majina, hawajui kabisa maana ya duty to confidentiality. Sishangai maana kuna mwingine alikuja hapa kutaka kuuza data na information za watu alizozipata kwa kuwafanyia interview kwenye research zake.

Ho wanasiasa unaodai eti wanakudharau wao wenyewe wanafuata taratibu na sheria? Kwa nini watu wanateseka mahospitalini na madaktari wanafanya kazi kwenye hali ngumu ili hali pesa ipo. Dont complicate tukifuata taratibu, ethics etc hata wewe hapa unaweza kujikuta una makosa. Na kama kweli ndani ya nchi yako watu wote wangekuwa wapo serious na wanafuata taratibu kama mnavyojifanya mnataka hapa basi tungekuwa mbali
 
nilichogundua ni kuwa watanzania wote hasa waliofungua hii thread wamepanic sana.which means wengi wenu hampo tayari kupoma na hamtaki kujua afya zenu



Usijifurahishe kihivyo. Kuugua ni kawaida iwapo wewe ni binadamu, kwani wewe ulipo post hii thread niya yako ilikuwa ni nini? Kututishia ama kutupa tahadhali? Ni ukweli watu wengi sana hapa bongo wameathirika si vijana si watu wazima, walio olewa na wasio olewa hakuna mwenye afadhali sote roho juu juu. Kwa hali ya sasa hapa bongo inakuwa vigumu kuaminiana kwani wengi wetu si wanawake wala wanaume tuna wapenzi wa pembeni tena wengine hata zaidi ya 3 huko nje. Kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa mwathirika vile vile, hivyo usicheke watu kudhania umesalimika au labda uwe unajivunia kupiga nyeto, hapo ndipo utakuwa umesalimika.
 
Huwezi kuelewa watu wanachopinga kwa sababu Wabongo tunapenda umbea na kujua habari za watu.

In essence hakuna mtu anaepinga kuwa VVU na UKIMWI upo sana Tanzania, tunachopinga ni njia iliyotumika kukufikishia wewe taarifa hiyo.

Njia iliyotumika si sahihi, kwa sababu inaweza kuchochea kunyanyapaliwa kwa baadhi ya wagonjwa, kwa sababu tu taarifa zao za faragha zimewekwa wazi kwenye jamii kinyume na taratibu.

Kwa hiyo hii thread yako inaweza kuwa imekuwa shocking kwa watu sio kwa sababu habari ya kuwepo kwa VVU kwa wingi Tanzania ni habari ngeni, laa, ni kwa sababu ya kushangazwa na kuvunjwa kwa miiko na maadili ya kazi hasa kwenye suala sensitive kama hili.

I dont see any point here. All i see is pointless and definetly ya Kiranga worshiper.. You can move to another thread.
 
Last edited by a moderator:
Usijifurahishe kihivyo. Kuugua ni kawaida iwapo wewe ni binadamu, kwani wewe ulipo post hii thread niya yako ilikuwa ni nini? Kututishia ama kutupa tahadhali? Ni ukweli watu wengi sana hapa bongo wameathirika si vijana si watu wazima, walio olewa na wasio olewa hakuna mwenye afadhali sote roho juu juu. Kwa hali ya sasa hapa bongo inakuwa vigumu kuaminiana kwani wengi wetu si wanawake wala wanaume tuna wapenzi wa pembeni tena wengine hata zaidi ya 3 huko nje. Kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa mwathirika vile vile, hivyo usicheke watu kudhania umesalimika au labda uwe unajivunia kupiga nyeto, hapo ndipo utakuwa umesalimika.

Toa laana zako hapa. What ya trying to do now ni kama kuniogopesha /kunipa laana/kuniombea mabaya... Wengi wenu mnaendekeza ngono zembe na ndio maana mnaathirika . Mimi nina mke mmoja na tunaaminiana na hakuna mwenye mpango wa kutoka nje so guys back to the topic acheni kuzungukz zungukz hapa. Sio kila kitu sasa kiwe siri this is not about privacy again kwani ukiumwa taifa linapoteza nguvu nyingi na mnaendelea kuwaambukiza wengina na hamtaki kwenda kupima kisa eti mnaogopa . Wtf? Taifa linaisha kwa uzembe na woga
 
ndugu yako anajua maadili ya kazi yake?

Confidentiallity iko wapi?

Anyway na yeye mwenyewe kajipima au anajua kubwabwaja ya wenzie tu?

Maadili ya kazi hakuna kabisa siku hizi

hivi yule bishosti HIV+ yupo au kishakula kona kutafuta mbadala wa arv feki.. mana anapaswa kutoa mchango wake hapa..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom