mdogo wangu wa form four ni kada mzuri wa CDM kuliko huyo ShitambalaTupa kule watu wa aina yake wote....aliondoka kaburu na wengine wengi tu ila chama ndo kikakua na kujipambanua zaidi kama chama cha ukweli na wapambanaji wa ukweli....bora kuwa wawili wenye msimamo kuliko kuwa kumi kumbe wengi mamluki.