Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,359
! Amesema CHADEMA ni chama cha kikabila na kinaongozwa kwa mtindo wa Kampuni ya Mtu binafsi au kampuni ya kifamilia! Haja mtaja nani mmliki wa CHADEMA ila kasema CHADEMA ina mwneyewe ambaye hasa ndio mwenye kampuni na Dr slaa ni kibarua tu pamoja na wengine!!
Hakuna dosari katika maneno yake, hapo kwenye red huyu ni kabarua ghali kuliko vibarua wote hapa Tanzania..12M