Nadhani huo msemo ni namna ya nitoke vipi na ndio gea ya kuingilia ccm ili aweze kupatiwa cheo
Nawashangaa sana wanachama wanaohama vyama afu wanatukana kule walikotoka..,sio ustaarab hata kidogo
SISIEMU Wamelamba garasa, ni kama wanajibu ya Prof Safari lakini hawajaweza hapo, wanatapatapa tuu, kama mfa maji haishi kutapatapa!!!!!!!!!!!!!Mapambano tulioanza yameshafika mstari wa mbele milele hata milele. Kiwe cha kikabila cha kidini cha kihuni so longer kinaeneza yale ninayo ona ni ya msingi na mimi intellectual hakuna shida peoples power ukweli utajulikana ,mfa maji haachi kutapatapa uroho wa madaraka utawatokea puani watu kama hao na kama ajasoma alama za nyakati ameenda kujichimbia kaburi chadema=chama cha demokrasia na maendeleo ntaedelea na msimamo huu unless proven otherwise
mungu tubariki wapambanaji mpaka kieleweke wasaliti tutawajua tu.
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya anapokea kadi ya CCM sasa hivi na amemaliza kuongea kuwa Watanzania waiogope sana CHADEMA ni chama cha wahuni na wana uwezo mkubwa wa kufanya fujo na kuzomea! Amesema CHADEMA ni chama cha kikabila na kinaongozwa kwa mtindo wa Kampuni ya Mtu binafsi au kampuni ya kifamilia! Haja mtaja nani mmliki wa CHADEMA ila kasema CHADEMA ina mwneyewe ambaye hasa ndio mwenye kampuni na Dr slaa ni kibarua tu pamoja na wengine! Bado anaendelea kuongea!
umesahau chama cha kidini,kikanda kama alivyokukaririsha JKCHADEMA na wafuasi wake inabidi mkue na pia muwe wavumilivu kwa wenzenu, wakati Prof Safari anajiunga na chadema hatukusikia matusi wala kebehi kutoka alikotoka. Inabidi muwe wavumilivu kwa mnaotofautiana nao, ndo maana sishangai kwanini mnaitwa chama cha vurugu.
hana tofauti na Zitto Kabwe in case kuna ukweli na alituhumiwa kuhongwa ili kuiangusha CDM wakati wa kampeni Mbeya.alipoteza uaminifu sana ingawa Dr. Slaa aliwasihi wana mbeya wamvumilie.