- Feb 10, 2006
- 4,432
- 15,845
Wakuu,
Salamu nyingi kwenu, wanachama (wana JF) na wageni wote mnaotembelea JamiiForums! Tunayo furaha kubwa kuendelea kuwa nanyi katika jukwaa hili muhimu ambalo limekuwa kitovu cha fikra, maarifa, na uhuru wa kutoa maoni kwa staha.
Ili kuendelea kufurahia mijadala yenye tija na kuhakikisha kila mmoja wetu anakuwa katika mazingira salama, tunapenda kuwakumbusha mambo machache ya msingi:
Jukwaa hili ni letu sote, na kuliweka salama ni jukumu letu sote. Tuendelee kushirikiana na kuhamasishana kujenga mijadala yenye afya na kuheshimiana bila kujali tofauti zetu za kimawazo.
Pamoja tunaweza kudumisha ubora wa JamiiForums!
Wasalaam,
Salamu nyingi kwenu, wanachama (wana JF) na wageni wote mnaotembelea JamiiForums! Tunayo furaha kubwa kuendelea kuwa nanyi katika jukwaa hili muhimu ambalo limekuwa kitovu cha fikra, maarifa, na uhuru wa kutoa maoni kwa staha.
Ili kuendelea kufurahia mijadala yenye tija na kuhakikisha kila mmoja wetu anakuwa katika mazingira salama, tunapenda kuwakumbusha mambo machache ya msingi:
- Matumizi ya Kitufe cha 'REPORT': Tunawaomba muwe mabalozi wazuri kwa kutumia kitufe cha 'REPORT' (Ripoti) kilichopo kwenye kila chapisho pale mnapokutana na maudhui yasiyofaa, lugha ya udhalilishaji, au ukiukwaji wowote wa kanuni za jukwaa. Hii ndiyo njia ya haraka na salama zaidi ya kutupa taarifa ili tuchukue hatua.
- Mchakato Wetu wa Usimamizi: Pindi mnaporipoti chapisho, bandiko husika linaondoka automatically na timu yetu ya wasimamizi (moderators) hupitia maudhui husika kwa umakini na weledi mkubwa. Kulingana na miongozo ya jukwaa letu, tunaweza kuchukua hatua za kurekebisha (edit) au kuondoa kabisa (remove) maudhui hayo. Wale wanaoonekana wamevunja taratibu kupitiliza, wataonywa au kufungiwa kwa muda. Lengo letu kuu siku zote ni kulinda heshima na hadhi ya jukwaa letu kwa manufaa ya wote.
Jukwaa hili ni letu sote, na kuliweka salama ni jukumu letu sote. Tuendelee kushirikiana na kuhamasishana kujenga mijadala yenye afya na kuheshimiana bila kujali tofauti zetu za kimawazo.
Pamoja tunaweza kudumisha ubora wa JamiiForums!
Wasalaam,