#COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO) laitaka Tanzania kujiandaa kupokea chanjo ya Corona

Kila siku utasikia ss ni dona country! Sasa umeuliza vema kwa miaka 5 amefikia wapi ? Yaan mpaka kumi anawezaondoka na kuacha watu wakiwa hawana uhakika hata mlo,
Hivi miaka mitano ya uongozi wa magu ameweza kutransform vipi huo utajiri wa nchi hii ureflect kwenye maisha ya wadanganyika wanaoishi kwa kipato cha chini ya dolla moja kwa siku.au kazi yakeni kupiga makelele tu
 
Pole sana. Mpaka umri huo, bado hujui kuwa nchi maskini kama Tanzania, miaka yote hatununui chanjo? Mama yako aliwahi kukueleza kuwa alilipa chanjo yako ya polio, surua, kifaduro au pepopunda?

Chini ya makubaliano ya kimataifa, we maskini ambaye unatoka katika nchi ambayo wastani wa kipato ni chini ya dola 1 kwa siku, unapewa bure. Wanalipa wenye pesa. Kwa akili yako, serikali hii ya Jiwe inaweza kutoa dola 200 ya chanjo kwa kwaajili ya kila mtanzania?

$200 × 60,000,000 = 12,000,000,000.

Hata ile ya kupambana na Covid 19, dola 3m, alikopa. Baadaye tukaonewa huruma, tukachangiwa changiwa zikafika karibia $50m. Jiwe kuona zipo nyingi akazipeleka kugharamia uchaguzi, halafu akajigamba, "kwa mara ya kwanza tumefanya uchaguzi kwa kugharamia wenyewe", wajinga wengi wakashangilia!

Sent using Jamii Forums mobile app
Msamehe bure huyo ni miongoni mwa wajinga wengi huku bongo wanaofanywa mtaji wa ccm kubaki mamlakani

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Usanii mwanzo mwisho, eti Serikali ya Tanzania ikubali tu kupokea chanjo, hasa eti tukiwekea maanani wasafiri wawili wa Tanzania kugundurika wana virus variant ya kovid kutoka Africa kusini - yaani wanatufanya Wantanzania hatuna akili za kugunduwa kinacho endelea nyuma ya pazia, kwa nini wanatumia kigezo cha abiria wawili kutoka Tanzania kiwe kama ni shinikizo la kutaka kulazimisha Serikali yetu kununua chanjo ambazo zina walakini sana ie hazijafanyiwa majaribio ya muda mrefu kujuwa madhara yake, kwa nini baadhi ya watu walio chanjwa na chanjo za Oxford na washitika wake walikuja kukutwa wameambukizwa virusi vya ukimwi, wengine walipooza, wengine wakapata ugonjwa wa kifafa - madhara hayo hawataki yajulikane.

Big Pharma Companies zinazo fadhiliwa na Bill Gates na Mkewe ndio wamepania kulazimisha Dunia ikubali kununua chanjo na madawa yao kwa bei mbaya, wanatumia vyombo vya habari vya magharibi kulaghai Dunia eti chanjo/madawa yao ni effective by 95.5% huku wakijuwa wazi wazi hiyo si kweli hata kidogo - hata madaktari walio kuwa wanamtibu Rais Donald Trump walikataa kutumia dawa/chanjo zinazo zalishwa na makampuni yenye tantacles za Bill Gates na genge lake.

Serikali yetu ikumbuke kwamba Bill Gates ana influence kubwa ndani ya moja wapo ya taasisi za Umoja wa Mataifa ie W.H.O, anatumia taasisi hiyo kutimiza ajenda zake za siri, sisemi WHO ni sehemu ya njama za William Gates na genge lake, far from it - wao wanatumiwa tu, kutokana na aidha kutojijuwa au wanakuwa funika kombe mwanaharamu apite, narudia kusema kwamba akili zote za Mr.Gates zipo kwenye njama za ku-depopulate third World Nations and he means it, come rain come shine lengo lake lazima litatekelezwa unless third World leaders waki-team up na kukataa chanjo zinazo zalishwa na Makampuni yanayo fadhiliwa na mfuko wa Bill Gates na mkewe, tutakuwa salama tukitumia chanjo zinazo zalishwa Uchina na Urusi hao hawana ajenda zozote za siri kuhusu population ya bara la Africa - my opinion.

Msifikiri namsingizia William Gates kwa conspiracy theories - no Sir, ukweli wa mambo ni kwamba jamaa huyu amepania kweli kweli ku-depopulate binadamu wa Dunia ya tatu kwa kupitia chanjo zake - fatilieni kwa karibu historia yake pamoja na imani yake linapokuja suala la wakazi wa Dunia ya tatu kuzaliana kwa wingi - suala hilo linamkera sana msije mkadangajwa na Ucheshi wake hasa akiwa mbele ya Public, kumbe kilichopo under the hood ni kitu tofauti kabisa.

Nimalizie kwa kuonya tena kwamba WHO ku-declare kwamba virusi vya COVID-19 ni pandemic kulimfurahisha Bill Gates maana anajua kwamba hivi sasa Dunia haina ujanja tena kila binadamu Duniani atalazimika kudungwa sindano za chanjo, wanasayansi wanao msikiliza Gates watatengeneza batch aina mbili za chanjo batch ya kwanza itatumika katika Mataifa ya Ulaya na Merikani, batch ya pili itakuwa ni ile ile lakini itaongezewa ingredients/customised kwa lengo la kudhuru Africans and Asians specifically Africans, tukichanjwa tutajikuta tunakumbwa na magonjwa ya kutumaliza taratibu mmoja baada ya mwingine pamoja na kuwafanya wasichana/wanawake wawe wagumba - njama za Bill Gates za kupitia njia ya chanjo ni za muda mrefu sana, pandemic hii ndio inempatia a golden chance ya kutekeleza malengo yake bila ya WHO na baadhi ya Viongozi wa Kiafrika kumshtukia.
Watanzani mnaweza kuwa na akili ya Ngono na kuchukiana tu lkn sio mambo mengine labda uniProve wrong tangu Uhuru tumeweza nini

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Ww vp tena????hii ni dona kantri bhana !!!!tembea kifua mbere alisikika bwana yule
Serikali lazima ikubali kupokea chanjo na kama inakataa lazima kuwa na hoja za msingi sana za kushawishi kuwa sio chanjo bora au ina shida. lakini kuikataa tuu haitawezekana kwa sababu uchumi wetu na kila kitu kinategemea muingiliano wa watu ni lazima chanjo tukubali kwani hili ni jambo jema kwani tuna chanjo nyingi sana tumezikubali na zimeonesha ufanisi mkubwa.

Serikali kukataa chanjo ni kuua watu wasio na hatia.

Tumesaini mikataba mingi ya kimataifa lazima tukubali chanjo hii.

Swala la chanjo ni lazima.
 
Screenshot_20210131-174756_Instagram.jpg
 
Siku moja baada ya Rais wa Tanzania, John Magufuli kutaka wizara ya afya kutokukimbilia chanjo ya Corona, Shirika la Afya Duniani WHO imeitaka nchi hiyo kujiandaa na chanjo ya Corona kama mataifa mengine duniani.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwa njia ya mtandao, mkuu wa WHO kanda ya Afrika Dkt. Matshdiso Moeti amesema kuwa Tanzania inatakiwa kutumia mwanya wa upatikanaji wa chanjo kwa faida ya wananchi na kanda ya Afrika Mashariki kwa ujumla.

''Tumeanza kuwasiliana upya na ngazi za juu za uongozi, na tunatoa mchango wetu kama ilivyokua hapo mwanzo, na tunataka kushirikiana na Tanzania, kwa niaba ya watu wa Tanzania, nchi jirani na dunia kwa ujumla. Sehemu ya mawasiliano yetu na Tanzania ni kukumbusha serikali kuwa, hii ni sehemu ya makubaliano ya kanuni za afya za kimataifa ambapo nchi wanachama wamekubali kwa pamoja kuzuia kusambaa kwa magonjwa'' anasema Dkt. Moeti.

WHO inasema kuwa imekua ikitoa mchango na kuwasiliana na serikali ya Tanzania kuanzia mwanzo wa janga hili la Corona. Shirika hilo pia limesisita Tanzania kutoa takwimu za mwenendo wa Corona nchini Tanzania ili iwe rahisi katika kupambana na kuzuia maambukizi mapya.

Naye katibu mkuu wa Shirika la Afya Duniani, Tedros Ghebreyesus anasema anaunga mkono alichosema @MoetiTshidi, anatoa rai hatua dhabiti za kiafya kukabiliana dhidi ya corona zinapaswa kufuatwa na kujiandaa kupokea chanjo.

Takwimu ni suala la muhimu pia kwa Tanzania kuzitoa, tena baada ya kesi za miongoni mwa wasafiri na wageni katika miezi ya hivi karibuni.

Chanzo: BBC SWAHILI
Tena labda huenda sisi tukalazimishwa kupewa ile ya wachina iliyotangazwa wiki hii .Na hii ni kutukomoa kwa sababu ya mbwembwe tunazoonyesha dhidi ya huu ugonjwa.
 
Back
Top Bottom