Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,129
- 4,285
Aibu ya ccm na agenti wake ACT Tanzania
Walivyoondoka Mbowe aliwaita wasaliti sasa wamerudi je ataita tena waandishi wa habari ili aeleze kuwa kwa sababu wamerudi jina usaliti halipo tena limefutika au ndo atakaa kimya kama kawaida.
Mkuu wangu gamboshi kwetu
Ni vizuri ukapuuzia michango yangu na kuipotezea badala ya kunitukana....
Naona u mgeni hapa jukwaani (sina uhakika kama ni mgeni kweli ama ni mwenyeji)...Sijaona sababu ya wewe kuniatack personally badala ya kujibu hoja kwa hoja...
Matusi hayana nafasi JF....
Mkuu wangu gamboshi kwetu
Ni vizuri ukapuuzia michango yangu na kuipotezea badala ya kunitukana....
Naona u mgeni hapa jukwaani (sina uhakika kama ni mgeni kweli ama ni mwenyeji)...Sijaona sababu ya wewe kuniatack personally badala ya kujibu hoja kwa hoja...
Matusi hayana nafasi JF....
Siasa za Tanzania ni zaidi ya Komedi....
Full vichekesho....Ningekuwa na uwezo nisingeruhusu hao Madiwani kurejea CHADEMA....Hao ni watu hatari sana na hawafai kuwemo ndani ya CHADEMA...Kamwe msiwaamini.....Usishangae kesho kusikia wamerudi CCM
Mudi...
Hao Madiwani ni watu hatari sana...Hawafai kuwemo kwenye chama aina ya CHADEMA ambacho kinaamini kwenye dhana ya Usaliti...Hao Madiwani tayari wameonesha udhaifu mkubwa sana na sio wa kuwaamini...Mlipaswa kuwaadhibu kwa hatua waliyoichukua...Na adhabu pekee waliyostahili ni kutowapokea ama kuwafukuza kabisa uanachama...Hawakustahili kupokelewa kama hivi (CCM style)....
Kwa kweli hawa ni wasaliti wa CHADEMA....Sikuona umuhimu wa kufanya hata mkutano wa kuwapokea 'kishujaa' kama hivi...Hawa ilitakiwa waachwe wasote mtaani ili wapate funzo....Kwa tukio hili sijaona tofauti ya CHADEMA na CCM...Hawa waliisaliti CHADEMA na kwenda kujiunga na CCM kwa mbwembwe zote kiasi cha kuitukana na kuikashifu CHADEMA...Leo wanaonekana ni mashujaa kisa tu wametoka CCM na kurudi walikotoka...
Nini kimeisibu CHADEMA mpaka mmeamua kuwapokea wasaliti hawa walioamua kuwatelekeza wananchi waliowachagua kwa tamaa??...
Endeleeni kuhangaika huku mitandaoni. Zitto is another level. Usipende kumlinganisha na hilo kundi lenu la viongozi mbumbumbu walioshindwa na shule.
Huwezi kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ukiwa ulipata zero form six. Unawezaje kuwa msemaji wa chama kama Mnyika huku ulifeli Chuo kikuu? This can only happen in Chadema.
Nenda kamshauri ZZK kuomba msamaha.
Huenda nae akasamehewa
Endeleeni kuhangaika huku mitandaoni. Zitto is another level. Usipende kumlinganisha na hilo kundi lenu la viongozi mbumbumbu walioshindwa na shule.
Huwezi kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ukiwa ulipata zero form six. Unawezaje kuwa msemaji wa chama kama Mnyika huku ulifeli Chuo kikuu? This can only happen in Chadema.
Nah ..
Sijaumia Chifu...
Nimeshangaa tu...Why niumie mkuu??
Mkutano unaendelea sasa mjini Shinyanga na pichani ni madiwani walio rubuniwa na ccm wakirejea rasmi baada ya kutubu makosa yao.
salama mkuu wangu teamo....kweli kitambo sana mkuu wangu...
Ni majukumu ya hapa na pale...
Kwa kweli hawa ni wasaliti wa chadema....sikuona umuhimu wa kufanya hata mkutano wa kuwapokea 'kishujaa' kama hivi...hawa ilitakiwa waachwe wasote mtaani ili wapate funzo....kwa tukio hili sijaona tofauti ya chadema na ccm...hawa waliisaliti chadema na kwenda kujiunga na ccm kwa mbwembwe zote kiasi cha kuitukana na kuikashifu chadema...leo wanaonekana ni mashujaa kisa tu wametoka ccm na kurudi walikotoka...
Nini kimeisibu chadema mpaka kuwapokea wasaliti hawa walioamua kuwatelekeza wananchi waliowachagua kwa tamaa??...
Endeleeni kuhangaika huku mitandaoni. Zitto is another level. Usipende kumlinganisha na hilo kundi lenu la viongozi mbumbumbu walioshindwa na shule.
Huwezi kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ukiwa ulipata zero form six. Unawezaje kuwa msemaji wa chama kama Mnyika huku ulifeli Chuo kikuu? This can only happen in Chadema.
ukijifanya kipofu nitaweka jina lako hapa... Wewe ni kiongozi wa ccm