Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Nenda kamshauri ZZK kuomba msamaha.
Huenda nae akasamehewa
Dah....

Chifu unabore salsa..

Don't be that low...

Zitto wa nini tena hapa...Ama umelala unaota kwamba Bala na Zitto damdam?...Umebugi Chifu...Sijawahi kuwa mfuasi wala mtetezi wa Zitto..Na hata kama ningekuwa hivyo bado hauna mamlaka ya kunitaka nikamuombee msamaha Zitto..

Bala ni mchangiaji kama wachangiaji wengine. Nina Uhuru wa kuchangia ninachoona kinafaa mradi tu sivunji kanuni za JF..Binafsi naiheshimu sana michango yako na ya members wote..Na siku zote kama sijapendezwa na mchango flani huwa naupotezea...So nakuomba kama haupendezwi na ninachokiandika unipotezee tu mkuu wangu..

Uwe na Usiku mwema...

Bala.
 
Waliahidiwa mailioni kupitia mwanae Meya wa Shinyanga na Msaidizi wa Mbunge Masele kisha akina Nape na Masele wakawapandisha jukwaani kwa mbwembwe wakapewa mabunda ya bank notes pale Karina Hotel Shinyanga. Walipofika majumbani kwao wakahesabu kila mmoja akaambulia laki 2 tu the rest noti bandia. Cha kujiuliza Mchange ndiye aliyefaulisha "mzigo" wa akina Nape na Masele? Kwanini wanunue madiwani wa Chadema? Je, pamoja na muuza kuku kufariki, Masele atashinda bila zengwe 2015?

MCHANGE ANA TAMAA NA ANA ROHO MBAYA SANA , juzi juzi KASHUTUMIWA KUWADHULUMU WALE WASALITI WA KUSINI LAKI UNUSU ZAO , JAPO INASEMEKANA ALIPEWA MIL 7 , IKABIDI WASAMALIA WEMA WAWATAFUTIE NAULI YA KURUDI KWAO , HAKIKA LAANA YA WASALITI WENZIE HAITAMWACHA KAMWE .
 
I see...

Yameshakuwa hayo?..Mimi na nani tulikuwa tunapiga kelele Zitto asamehewe Chifu?...

Alma unakariri Chifu..

Hayo nimeyatoa kama maoni/mtazamo wangu tu...Na ndani ya JF kama Jukwaa huru tunao Uhuru wa kuzungumza ....Where We Dare to Talk Openly...So hata ukiniambia 'To hell' haitosaidia..

Next time ujaribu kuheshimu michango/mawazo ya wenzako..Na usidhani kila anayechangia against unavyowaza ni shabiki maandazi wa CCM...

Bala.

Nani kasema wewe ni shabiki maandazi wa C ?
Nyie Chuki zenu kwa CHADEMA baada ya ZZK kuchinjiwa baharini kwa upopo wake hazitawasiaida kitu chochote
 
Dah....

Chifu unabore salsa..

Don't be that low...

Zitto wa nini tena hapa...Ama umelala unaota kwamba Bala na Zitto damdam?...Umebugi Chifu...Sijawahi kuwa mfuasi wala mtetezi wa Zitto..Na hata kama ningekuwa hivyo bado hauna mamlaka ya kunitaka nikamuombee msamaha Zitto..

Bala ni mchangiaji kama wachangiaji wengine. Nina Uhuru wa kuchangia ninachoona kinafaa mradi tu sivunji kanuni za JF..Binafsi naiheshimu sana michango yako na ya members wote..Na siku zote kama sijapendezwa na mchango flani huwa naupotezea...So nakuomba kama haupendezwi na ninachokiandika unipotezee tu mkuu wangu..

Uwe na Usiku mwema...

Bala.

I am not that low as you think.
Kwa wanafiq kama nyie hatuwezi kuwaacha vivi hivi.
Lazima tuwachane live, kama ulivyosema hapa ni JF,a place where we dare to talk openly..
 
Nani kasema wewe ni shabiki maandazi wa C ?
Nyie Chuki zenu kwa CHADEMA baada ya ZZK kuchinjiwa baharini kwa upopo wake hazitawasiaida kitu chochote
Sijawahi kuwa na chuki na CHADEMA Chifu...Kama kuchangia kitu tofauti na unchofikiri ni kuwa na chuki na CHADEMA poa tu...

Cha muhimu ni kwamba uheshimu mawazo ya wenzio...

Si kila anayechangia against na wishes za wana CCM au CHADEMA ana chuki na CCM au CHADEMA....

Sijawahi kuichukia CHADEMA kwa sababu tu 'imemchinjia' baharini huyo ZZK...

Zaidi naomba uniwie radhi kama michango yangu imekukwaza Chifu....

Bala.
 
I am not that low as you think.
Kwa wanafiq kama nyie hatuwezi kuwaacha vivi hivi.
Lazima tuwachane live, kama ulivyosema hapa ni JF,a place where we dare to talk openly..
I see....

Maneno yako yanakufanya uonekane low Chifu....

Sasa hapo unamchana nani Chifu....Mbona unakosea?

Yaani unamchana mtu ambaye hata haumjui....

Kwamba wewe ndio una uchungu sana na CHADEMA kiasi inakutia upofu???...Kazi kwelikweli....

Hivi ni nani mnafiki hapa, yule ambaye anamtukana Diwani baada ya kuhamia CCM tena kwa kununuliwa na baadae Diwani anarudi na kisha kupokelewa kishujaa na kusifiwa juu na yule ambaye anashangaa uamuzi wa ajabu kama huu?...

Unashangaza sana aisee...

Bala.
 
Tumepata kusikia kuwa
chadema imekufa, chadema imesambaratika, cdm haina tena mvuto.
Huu ni mkutano shinyanga mjini.
 

Attachments

  • 1406742852669.jpg
    1406742852669.jpg
    71.6 KB · Views: 145
  • 1406742889708.jpg
    1406742889708.jpg
    69.9 KB · Views: 131
Ni vizuri kuwapokea ili kupitia tukio hili la mapokezi wananchi watambue jinsi wanasiasa walivyo wanafiki .......huyu mtu anayeitwa Mchange sijui kwanini hata maginiasi wa Zitto wasimshauri walau akae nae mbali kinafiki maana kwa level ya uchafu wake na mbaya zaidi watu wanafaili lake lenye connection nae itafikia mahali watu wadhalilika sana na vijiheshima vilivyosalia kutoweka....

Mbona mchange anajulikana longtime kuwa ni bwahabwa
 
I see....

Maneno yako yanakufanya uonekane low Chifu....

Sasa hapo unamchana nani Chifu....Mbona unakosea?

Yaani unamchana mtu ambaye hata haumjui....

Kwamba wewe ndio una uchungu sana na CHADEMA kiasi inakutia upofu???...Kazi kwelikweli....

Hivi ni nani mnafiki hapa, yule ambaye anamtukana Diwani baada ya kuhamia CCM tena kwa kununuliwa na baadae Diwani anarudi na kisha kupokelewa kishujaa na kusifiwa juu na yule ambaye anashangaa uamuzi wa ajabu kama huu?...

Unashangaza sana aisee...

Bala.

Mkuu,
Inaonekana umeumia sana hao madiwani kutubu na kisamehewa.
Inashangaza sana...
 
Sasa wewe unayejinadi na usomi mbona huuoneshi usomi wenyewe! naona unashambulia mtu badala ya kushambulia hoja na kuja na hoja nzito! unatoa mipovu kama unakifafa vile. Leta hoja sio mikelele! Hao unaowaita Mr.Zero Brain wanaaminiwa na jamii kwa sababu ya hoja zao, wewe na majuha wenzako mliopa A's akili zenu zipo ma.ta.koni kwenu ndio maana mnapiga mayowe yasiyo na maana hapa.

Nani anawaamini zaidi ya nyie misukule wenye akili ya kushikiwa? Huwezi kushindwa mitihani ya darasani halafu utegemee kuaminiwa. Ni misukule tu inayoamini kuwa katika karne hii ya 21, nchi inaweza kuongozwa na genge la mbumbumbu Chadema
 
Madiwani wawili kupitia chama cha chadema ktk manispaa ya shinyanga wameamua kurejea katika chama chao huku wanachama wakiwa hawawataki wakidai kipindi wana hama walikidhalilisha chama, walikisaliti na bila kuona aibu walichoma na gwanda za chadema. sasa wanafuata nini? Walipopewa fursa ya kuongea bwana Obama diwani wa kata ya ngokolo alifafanua kua walirubuniwa kutokana na njama za ccm kua watapelekwa kujiunga na ACT chama kipya na mambo mengi wameyaanika dhidi ya CCM. Na hata walipokua wakionesha nia ya kuja kuusema ukweli walipigiwa simu na kada wa CCM ajulikanae kama Suleimani nchambi kuwa wasifike kwenye mkutano huo watapewa sh milioni hamsini kila mmoja. wameanika maovu mengi na mikakati mingi ya kinyama ya CCM. Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya farao
 
Yametimi! Tutayajua mengi bado la katiba tujue nani aliyemfanya rais kugeuka ghafla na kuipinga tume ya katiba.
 
Back
Top Bottom