Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Mkakati huu wa Chadema ni makini sana kwani utawakatisha Tamaa wengine wote waliokuwa na ndoto za kwenda MAGAMBANI , hili ni pigo kubwa sana huko kwa magamba maana Imekula kwao,,,,,,hahahaa...
 
aaahaaaa!!! hela walizohongwa zimeisha eeh!!! ila ni shangwa kondoo aliyepotea kurudi kundini sasa kuwafunga tu kamba!!!
 
I see.....

With all due respect...Naomba nikuruhusu unitaje jina langu halisi na nafasi yangu ya uongozi ndani ya CCM Mkuu....Mods Invisible na Cookie tafadhali naombeni mumruhusu pia huyu Mkuu ataje jina langu halisi na nafasi yangu ya uongozi ndani ya CCM...

This is too low for a JF Senior member kama wewe, ambaye ukishindwa hoja unakuja viroja vya kutishiana kutajana majina badala ya kujibu hoja...Hoja hujibiwa kwa hoja (angalia Mohamedi Mtoi alivyonijibu)

Nina miaka zaidi ya 6 ndani ya JF...Mara ya mwisho kutishiwa kwa tuhuma za aina yako ilikuwa ni mwaka 2009..Leo nashangaa na wewe unakuja na kiroja hiki dhaifu..

Kama unaona post zangu zinakukera naomba uziptezee Chifu..Au kama unaona zinachafua hali ya hewa bonyeza kitufe cha 'Report Abuse' ...Zaidi ya hapo utaonekana umeishiwa hoja...Wenzio huwa wanataja tu majina moja kwa moja badala ya kuja na mikwara mbuzi ya kitoto na ya kizamani kama huu wa kwako...

Bala Is Always Here.....

Bala.

@balatanda, kwanza wewe ni mmoja wa watu waliohusika kuwashawishi leo nakuona povu linakutoka kuilaumu chadema eti imekosea...huna lolote mnafiki mkubwa wewe.... Bramo, Molemo, Mungi,

ukijifanya kipofu nitaweka jina lako hapa... wewe ni kiongozi wa ccm
 
Last edited by a moderator:
Waliasi? Si mlisema walikuwa wameshafukuzwa muda mrefu na hamuwatambui?

Hukusoma vizuri maelezo!
Walikuwa madiwani hadi siku wanapewa mpunga wa Kyela nabule ya Ifakara kwa pamoja!
Wameamka kushakuwa magharibi
 
Endeleeni kuhangaika huku mitandaoni. Zitto is another level. Usipende kumlinganisha na hilo kundi lenu la viongozi mbumbumbu walioshindwa na shule.

Huwezi kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ukiwa ulipata zero form six. Unawezaje kuwa msemaji wa chama kama Mnyika huku ulifeli Chuo kikuu? This can only happen in Chadema.

Sidhani kama Una imani na usemacho!
 
I see.....

With all due respect...Naomba nikuruhusu unitaje jina langu halisi na nafasi yangu ya uongozi ndani ya CCM Mkuu....Mods Invisible na Cookie tafadhali naombeni mumruhusu pia huyu Mkuu ataje jina langu halisi na nafasi yangu ya uongozi ndani ya CCM...

This is too low for a JF Senior member kama wewe, ambaye ukishindwa hoja unakuja viroja vya kutishiana kutajana majina badala ya kujibu hoja...Hoja hujibiwa kwa hoja (angalia Mohamedi Mtoi alivyonijibu)

Nina miaka zaidi ya 6 ndani ya JF...Mara ya mwisho kutishiwa kwa tuhuma za aina yako ilikuwa ni mwaka 2009..Leo nashangaa na wewe unakuja na kiroja hiki dhaifu..

Kama unaona post zangu zinakukera naomba uziptezee Chifu..Au kama unaona zinachafua hali ya hewa bonyeza kitufe cha 'Report Abuse' ...Zaidi ya hapo utaonekana umeishiwa hoja...Wenzio huwa wanataja tu majina moja kwa moja badala ya kuja na mikwara mbuzi ya kitoto na ya kizamani kama huu wa kwako...

Bala Is Always Here.....

Bala.
Sindano imekuingia intarahamwe wewe
 
Last edited by a moderator:
Zamani CHADEMA isingewasamehe 'wasaliti' hawa

naona now imeanza 'kunywea' na inatumia 'diplomacy' kutatua matatizo...

if only ........

cc Pasco

Una Ushahidi kwamba CHADEMA imewahi kumkataa Mwanachama aliyetubu Makosa yake na kuomba kurudi kundini zaidi ya hawa?
 
Tuendelee kuwapokea makamanda wetu kazi tuliyowatuma wamemaliza completed succsesfully.
 
chadema wamewahonga hao madiwani kwa dau kubwa sana na kuwarubuni hao vijana.machadema watoaji rushwa
 
Hao wasipewe wadhifa wowote katika chama wabaki tu kama wanachama wa kawaida.

Hapana wapewe nyadhifa zao kama kawaida wamekipa Chadema heshima kubwa hasa kipindi hiki cha kuelekea chaguzi mbalimbali ndani ya chama na nje.

Hii itaepusha maneno kutoka kwa magamba maana hawakawii kuja na cheap politics.
 
Zamani CHADEMA isingewasamehe 'wasaliti' hawa

naona now imeanza 'kunywea' na inatumia 'diplomacy' kutatua matatizo...

if only ........

cc Pasco

Tulieni fedha mlowapa haitorudi mmeliwa
 
Last edited by a moderator:
Zamani CHADEMA isingewasamehe 'wasaliti' hawa

naona now imeanza 'kunywea' na inatumia 'diplomacy' kutatua matatizo...

if only ........

cc Pasco

There is a difference! Hao wameomba radhi na kusamehewa. Wale akina Nyepesi wao licha ya ushahidi wakajifanya vichwa ngumu. Una ushahidi kuwa waliomba radhi wakakataliwa?
 
Wote wanao nunuliwa na ccm watatumika kama toilet paper.
 
Huu uzi umefika ukurasa wa tisa, sijaona MwanaDiwani akija na propaganda zake za kitoto hapa!
 
chadema wamewahonga hao madiwani kwa dau kubwa sana na kuwarubuni hao vijana.machadema watoaji rushwa

Kati ya watu wasiojua wanachokiandika mara zote hapa jf wewe ni mmoja wao. Ukishalewa unakojoa tu hata barabarani siyo!! Yani we unashangaza kweli yani muwaonge nyie alafu utaje chadema!!!Hao mliwaonga na wameshtuka uhuni wenu siye tunawapa kadi bika uongozi. Endelea kuweweseka.
 
Back
Top Bottom