nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,448
- 2,305
kwahiyo wamerudi UKAWA au chadema.mbona mnaweweseka
Hahahaha raha sana! Wamerudi kote kote mkuu ukisema ukawa unasema Chadema na ukisema Chadema unasema ukawa karibu sana
kwahiyo wamerudi UKAWA au chadema.mbona mnaweweseka
Endeleeni kuhangaika huku mitandaoni. Zitto is another level. Usipende kumlinganisha na hilo kundi lenu la viongozi mbumbumbu walioshindwa na shule.
Huwezi kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ukiwa ulipata zero form six. Unawezaje kuwa msemaji wa chama kama Mnyika huku ulifeli Chuo kikuu? This can only happen in Chadema.
Kazi ndi imeanza, bye bye CCM a.k.a ACT
CCM wanaaibika sana.Ni km watu wanaokuja hubiri dini jukwaani halafu wanapata watu wa hovyo,wengine wakiwa na mawazo, wengine wamejikuta hapo kwa hadaa zilizopelekwa harakaharaka na weka na vitisho vikipambwa na ahadi au hela ,wakiwepo na walevi wanaojiunga hapo hapo siku inayofuatia wanajikuta hakuna kitu.Siku walipo hadaiwa ilikuwa kama wanavyo onekana hapo kwenye picha.
Ni kwanini kama ni kweli wanachama wa chama tawala na kikongwe kama CCM wanaangaika na kutumia mbinu chafu kudhoofisha vyama vichanga kama CUF,CHADEMA au NCCR MAGEUZI na nk???!!! CCM inahisi kupoteza ushawishi kwa wananchi au nini? Kuna msemo wa "kizuri CHAJIUZA, kibaya CHAJITEMBEZA" ni kweli chama kikongwe CCM kimefikia kuogopa vyama vichanga namna hii!!?? Tafakari........