Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Na hili ni pigo baya sana kwa ccm na vibaraka wake. Wamesababisha wananchi wa kata husika wamekosa uwakilishi kwa siasa za hadaa na ghiriba.
Mudi...

Hao Madiwani ni watu hatari sana...Hawafai kuwemo kwenye chama aina ya CHADEMA ambacho kinaamini kwenye dhana ya Usaliti...Hao Madiwani tayari wameonesha udhaifu mkubwa sana na sio wa kuwaamini...Mlipaswa kuwaadhibu kwa hatua waliyoichukua...Na adhabu pekee waliyostahili ni kutowapokea ama kuwafukuza kabisa uanachama...Hawakustahili kupokelewa kama hivi (CCM style)....

Kwa kweli hawa ni wasaliti wa CHADEMA....Sikuona umuhimu wa kufanya hata mkutano wa kuwapokea 'kishujaa' kama hivi...Hawa ilitakiwa waachwe wasote mtaani ili wapate funzo....Kwa tukio hili sijaona tofauti ya CHADEMA na CCM...Hawa waliisaliti CHADEMA na kwenda kujiunga na CCM kwa mbwembwe zote kiasi cha kuitukana na kuikashifu CHADEMA...Leo wanaonekana ni mashujaa kisa tu wametoka CCM na kurudi walikotoka...

Nini kimeisibu CHADEMA mpaka mmeamua kuwapokea wasaliti hawa walioamua kuwatelekeza wananchi waliowachagua kwa tamaa??...
 
Vipi kuhusu udiwani ina maana wataendelea kuwa madiwani kwenye kata zao kama ilivyo kuwa awali?.
 
bila shaka picha hizo za Mlori ni za juzi, hapa jiji Mwanza Mwanza kipindi Mwiguru alipokuja,
niliyaona Malori hayo kwa macho yangu. ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Zamani CHADEMA isingewasamehe 'wasaliti' hawa

naona now imeanza 'kunywea' na inatumia 'diplomacy' kutatua matatizo...

if only ........

cc Pasco

Hawa ni tofauti na Msaliti Zitto.
Hawa ni njaa tu ziliwaponza.
 
Last edited by a moderator:
attachment.php


attachment.php
 
Mwaka siyo mwingi tutaheshimiana we msukule usiyejitambua. Baada ya kufanya kazi yako uliyosomea umeamua kushikiwa akili na watu waliokimbia umande.

You should be ashamed kupewa maagizo na mwenyekiti wenu Mr. Zero Brain aliyetaga katika mtihani wa kidato cha nne. Watakutumia lakini baada ya uchaguzi mwaka ujao utatelekezwa kama kikongwe.

Hili povu c bure, jiwe limepiga utosini. Well done Mtoi!
 
Maccm wapumbavu full, walidhani wataweza kuiua chadema kwa kuwarubuni madiwani wetu. Shame on u Nape, Shame on you Zitto, Shame on you maccm wote
Mungi...

Pamoja na upumbavu wa CCM...Hao Madiwani tayari wana 'price tag'..Hawafai kuwa kwenye chama makini kama CHADEMA...Mlipaswa kutowapokea na kuwafutilia mbali uanachama...Hawakupaswa kupokelewa kishujaa hivi....

Hawa ni Maadui wakubwa wa CHADEMA na Maadui wakubwa wa Demokrasia ya Tanzania...Wamewakosea sana wananchi waliowachagua....CHADEMA kama chama kinachoamini kwenye dhana ya Usaliti mmekosea katika hili...Hasa ikizingatiwa mlisema kwamba walishafutitwa uanachama siku nyingi (hii ilikuwa ni baada ya Madiwani hawa kuhamia CCM)...
 
Waliahidiwa mailioni kupitia mwanae Meya wa Shinyanga na Msaidizi wa Mbunge Masele kisha akina Nape na Masele wakawapandisha jukwaani kwa mbwembwe wakapewa mabunda ya bank notes pale Karina Hotel Shinyanga. Walipofika majumbani kwao wakahesabu kila mmoja akaambulia laki 2 tu the rest noti bandia. Cha kujiuliza Mchange ndiye aliyefaulisha "mzigo" wa akina Nape na Masele? Kwanini wanunue madiwani wa Chadema? Je, pamoja na muuza kuku kufariki, Masele atashinda bila zengwe 2015?
 
Hawa ni tofauti na Msaliti Zitto.
Hawa ni njaa tu ziliwaponza.
Njaa iliwaponza???....

Kwa hiyo kwa sababu ya njaa kesho wakifuatwa na ACT wakapewa milioni 50 kila mmoja watahama tu...Hawa ni wasaliti wakubwa...Ni watu hatari sana....Ni ajabu kuona CHADEMA inakula matapishi yake 9sorry to say this)...
 
Njaa iliwaponza???....

Kwa hiyo kwa sababu ya njaa kesho wakifuatwa na ACT wakapewa milioni 50 kila mmoja watahama tu...Hawa ni wasaliti wakubwa...Ni watu hatari sana....Ni ajabu kuona CHADEMA inakula matapishi yake 9sorry to say this)...

Nyie si ndio mlikuwa mstari wa mbele kubeba bango la ZZK asiadhibiwe na asemehewe CHADEMA.
Leo imekuwaje tena,linzi mmeanza kuitakia mema CHADEMA.
To hell
 
Salama mkuu wangu Teamo....Kweli kitambo sana mkuu wangu...

Ni majukumu ya hapa na pale...

Kwa kweli hawa ni wasaliti wa CHADEMA....Sikuona umuhimu wa kufanya hata mkutano wa kuwapokea 'kishujaa' kama hivi...Hawa ilitakiwa waachwe wasote mtaani ili wapate funzo....Kwa tukio hili sijaona tofauti ya CHADEMA na CCM...Hawa waliisaliti CHADEMA na kwenda kujiunga na CCM kwa mbwembwe zote kiasi cha kuitukana na kuikashifu CHADEMA...Leo wanaonekana ni mashujaa kisa tu wametoka CCM na kurudi walikotoka...

Nini kimeisibu CHADEMA mpaka kuwapokea wasaliti hawa walioamua kuwatelekeza wananchi waliowachagua kwa tamaa??...

Hatujui mipango ya mbele ya cdm ila hii ni very effective counter campaign kuliko kuwapotezea. They have rewarded CDM a great deal!!
 
Mwaka siyo mwingi tutaheshimiana we msukule usiyejitambua. Baada ya kufanya kazi yako uliyosomea umeamua kushikiwa akili na watu waliokimbia umande.

You should be ashamed kupewa maagizo na mwenyekiti wenu Mr. Zero Brain aliyetaga katika mtihani wa kidato cha nne. Watakutumia lakini baada ya uchaguzi mwaka ujao utatelekezwa kama kikongwe.
Sasa wewe unayejinadi na usomi mbona huuoneshi usomi wenyewe! naona unashambulia mtu badala ya kushambulia hoja na kuja na hoja nzito! unatoa mipovu kama unakifafa vile. Leta hoja sio mikelele! Hao unaowaita Mr.Zero Brain wanaaminiwa na jamii kwa sababu ya hoja zao, wewe na majuha wenzako mliopa A's akili zenu zipo ma.ta.koni kwenu ndio maana mnapiga mayowe yasiyo na maana hapa.
 
Mudi...

Hao Madiwani ni watu hatari sana...Hawafai kuwemo kwenye chama aina ya CHADEMA ambacho kinaamini kwenye dhana ya Usaliti...Hao Madiwani tayari wameonesha udhaifu mkubwa sana na sio wa kuwaamini...Mlipaswa kuwaadhibu kwa hatua waliyoichukua...Na adhabu pekee waliyostahili ni kutowapokea ama kuwafukuza kabisa uanachama...Hawakustahili kupokelewa kama hivi (CCM style)....

Kwa kweli hawa ni wasaliti wa CHADEMA....Sikuona umuhimu wa kufanya hata mkutano wa kuwapokea 'kishujaa' kama hivi...Hawa ilitakiwa waachwe wasote mtaani ili wapate funzo....Kwa tukio hili sijaona tofauti ya CHADEMA na CCM...Hawa waliisaliti CHADEMA na kwenda kujiunga na CCM kwa mbwembwe zote kiasi cha kuitukana na kuikashifu CHADEMA...Leo wanaonekana ni mashujaa kisa tu wametoka CCM na kurudi walikotoka...

Nini kimeisibu CHADEMA mpaka mmeamua kuwapokea wasaliti hawa walioamua kuwatelekeza wananchi waliowachagua kwa tamaa??...

Nenda kamshauri ZZK kuomba msamaha.
Huenda nae akasamehewa
 
sijapenda utetezi wa hao wasalit nibora wangesema walilubuniwa kwa pesa nyingi sana tu lakini kinacho nikera kuona pia wanasema walikwenda ACT kuimalisha democracy wangekuwa mwanza leo wangegawanwa nyama sasa wabaki 2 washabiki wasipewe kadi za CDM
 
Mwaka siyo mwingi tutaheshimiana we msukule usiyejitambua. Baada ya kufanya kazi yako uliyosomea umeamua kushikiwa akili na watu waliokimbia umande.

You should be ashamed kupewa maagizo na mwenyekiti wenu Mr. Zero Brain aliyetaga katika mtihani wa kidato cha nne. Watakutumia lakini baada ya uchaguzi mwaka ujao utatelekezwa kama kikongwe.
Akili zako maviiii...sa hoja yako nn hapo?
 
Mtoi, naheshimu sana maamuazi ya chama chetu, na ni ukweli usiopingika kuwa kilichowasumbua na kinachowasumbua hawa jamaa zetu ni njaa tu. But, very important, hawa tayar ni wasaliti tunaomba wabaki kama wanachama wa kawaida na si viongozi ktk ngazi yoyote ile. Nawasilisha kwa viongozi wa chama wilaya, mkoa, jimbo na taifa.
 
Nyie si ndio mlikuwa mstari wa mbele kubeba bango la ZZK asiadhibiwe na asemehewe CHADEMA.
Leo imekuwaje tena,linzi mmeanza kuitakia mema CHADEMA.
To hell
I see...

Yameshakuwa hayo?..Mimi na nani tulikuwa tunapiga kelele Zitto asamehewe Chifu?...

Alma unakariri Chifu..

Hayo nimeyatoa kama maoni/mtazamo wangu tu...Na ndani ya JF kama Jukwaa huru tunao Uhuru wa kuzungumza ....Where We Dare to Talk Openly...So hata ukiniambia 'To hell' haitosaidia..

Next time ujaribu kuheshimu michango/mawazo ya wenzako..Na usidhani kila anayechangia against unavyowaza ni shabiki maandazi wa CCM...

Bala.
 
Back
Top Bottom