Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Hawa dawa ni kuwakaribisha kama hivi wanategeneza taswira ya chama badae mnawafukuzia mbali.
 
Hakuna msimu mzuri kwa zao la siasa kama huu,dawa nzuri ya msimu huu ni kivuna pesa za wajinga na kurejea nazo kundini kwako
 
Upuuzi kabisa huu...ivi nin tafsiri halisi ya wasaliti ndan ya chadema??!! Hiki chama kinaongozwa na wahuni i cnt blv ths ---- is happenin...!!

Bwaaa Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Haaaa , subiri kidogo utasikia Waziri wa awamu ya 4 ajiunga cdm !
 
Hivi mkutano mkubwa kama huu ulihutubiwa na dr au kiongoz wa kawaida? Alafu hawa watu hawajasombwa kwa malori kama ccvm. Kwel nawaambia ccm someni alama za nyakati

Mkuu hao na malori yao chadema na watu wao!
 

Attachments

  • 1406738362449.jpg
    1406738362449.jpg
    83.2 KB · Views: 175
Hahahaha!! Ni wale waliopewa cheque fake na akina Nape+ Mwigulu?
Watakuwa wanachama TU milele

next time watake hard cash, waliahidiwa 12mil kila mmoja, siasa bwana, wahuni wanafaidi.
 
Hivi mkutano mkubwa kama huu ulihutubiwa na dr au kiongoz wa kawaida? Alafu hawa watu hawajasombwa kwa malori kama ccvm. Kwel nawaambia ccm someni alama za nyakati

kwa shy ni kengele moja tu watu wamejaa. leo palikuwa patamu.
 
Only in Tanzania wanachama kusombwa na malori kwenda mkutanoni kama viroba vya mchele vinavyopelekwa sokoni!!!
 
Nilikuwa na Malya Jana msibani akaitwa Diwani wa kimandolu aje mbele akaangalia chini kumbe mchungaji alikuwepo ikasaidia maana ni full aibu.

embu fafnua chanzo cha kuangalia chini
 
Waliasi? Si mlisema walikuwa wameshafukuzwa muda mrefu na hamuwatambui?
ndiyo tulisema walishafukuzwa zamani leo wamerudi tumewapokea,ww B7unatakaje kwani?Hata zito akitubu naye tuta mpokea halafu tuone mnasemaje,au yy hawezi tubu kwa sababu alitimiziwa ahadi yake.
 
Maccm wapumbavu full, walidhani wataweza kuiua chadema kwa kuwarubuni madiwani wetu. Shame on u Nape, Shame on you Zitto, Shame on you maccm wote
 
Mkuu balatanda za miaka?...

Hao madiwani wasigombee nyadhfa yoyote
Salama mkuu wangu Teamo....Kweli kitambo sana mkuu wangu...

Ni majukumu ya hapa na pale...

Kwa kweli hawa ni wasaliti wa CHADEMA....Sikuona umuhimu wa kufanya hata mkutano wa kuwapokea 'kishujaa' kama hivi...Hawa ilitakiwa waachwe wasote mtaani ili wapate funzo....Kwa tukio hili sijaona tofauti ya CHADEMA na CCM...Hawa waliisaliti CHADEMA na kwenda kujiunga na CCM kwa mbwembwe zote kiasi cha kuitukana na kuikashifu CHADEMA...Leo wanaonekana ni mashujaa kisa tu wametoka CCM na kurudi walikotoka...

Nini kimeisibu CHADEMA mpaka kuwapokea wasaliti hawa walioamua kuwatelekeza wananchi waliowachagua kwa tamaa??...
 
Only in Tanzania wanachama kusombwa na malori kwenda mkutanoni kama viroba vya mchele vinavyopelekwa sokoni!!!

Na hiyo ndio tofauti kubwa kati ya ccm na chadema!

- Ccm wanasomba watu Chadema wanakuja wenyewe.

- Ccm wanawapa watu uniform mpya sisi wanavaa kama wanavyotoka nyumbani.

- Mkutano mmoja wao wanatumia zaidi ya 100M sisi mkutano mmoja si zaidi ya laki 2.




Mkuu hao na malori yao chadema na watu wao!




 
Back
Top Bottom