Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Shinyanga: Madiwani walioasi CHADEMA warejea kundini

Mungi...

Pamoja na upumbavu wa CCM...Hao Madiwani tayari wana 'price tag'..Hawafai kuwa kwenye chama makini kama CHADEMA...Mlipaswa kutowapokea na kuwafutilia mbali uanachama...Hawakupaswa kupokelewa kishujaa hivi....

Hawa ni Maadui wakubwa wa CHADEMA na Maadui wakubwa wa Demokrasia ya Tanzania...Wamewakosea sana wananchi waliowachagua....CHADEMA kama chama kinachoamini kwenye dhana ya Usaliti mmekosea katika hili...Hasa ikizingatiwa mlisema kwamba walishafutitwa uanachama siku nyingi (hii ilikuwa ni baada ya Madiwani hawa kuhamia CCM)...

USIJALI MKUU , HIZO ni MBINU ZA KIVITA TU .
 
Siasa za Tanzania ni zaidi ya Komedi....

Full vichekesho....Ningekuwa na uwezo nisingeruhusu hao Madiwani kurejea CHADEMA....Hao ni watu hatari sana na hawafai kuwemo ndani ya CHADEMA...Kamwe msiwaamini.....Usishangae kesho kusikia wamerudi CCM

Kiukweli inatia kichefuchefu,hao hawafai niwaganga njaa naniwatu wakuogopwa sipendi hata kuwaona
 
Nani anawaamini zaidi ya nyie misukule wenye akili ya kushikiwa? Huwezi kushindwa mitihani ya darasani halafu utegemee kuaminiwa. Ni misukule tu inayoamini kuwa katika karne hii ya 21, nchi inaweza kuongozwa na genge la mbumbumbu Chadema
Na wewe uliyejaza vyeti mpaka ma.ta.ko.ni nani anayekuamini? labda mama yako mzazi mwenye akili ya kikahaba anaweza kukuamini maana hana chaguo! huwezi kuja kutambia vyeti wakati unashindwa hata kujenga hoja ndogo ukadhani tukuheshimu, huu upuuzi wako wapelekee wapuuzi wenzio sio sisi.
 
Nenda kamshauri ZZK kuomba msamaha.
Huenda nae akasamehewa

Endeleeni kuhangaika huku mitandaoni. Zitto is another level. Usipende kumlinganisha na hilo kundi lenu la viongozi mbumbumbu walioshindwa na shule.

Huwezi kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ukiwa ulipata zero form six. Unawezaje kuwa msemaji wa chama kama Mnyika huku ulifeli Chuo kikuu? This can only happen in Chadema.
 
Endeleeni kuhangaika huku mitandaoni. Zitto is another level. Usipende kumlinganisha na hilo kundi lenu la viongozi mbumbumbu walioshindwa na shule.

Huwezi kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ukiwa ulipata zero form six. Unawezaje kuwa msemaji wa chama kama Mnyika huku ulifeli Chuo kikuu? This can only happen in Chadema.

CDM ITAKUTOA KIBYONGO DOGO , achana nayo UTADHALILIKA BURE , WASALITI WATAKUPONZA , SHAURI YAKO !
 
Karibuni..Lakini uongozi kwa sasa hapana.Mtakuwa wanachama wa kawaida tukiwachunguza mpaka tutakaporidhika na kutubu kwenu!

Mkuu MOLEMO mimi nashauri waachwe tu waendelee na nyazifa zao wala wasibugudhiwe.hii atakua fundisho kwa waliowarubuni kwao wenyewe na kwa wengine wanaofikiria kukubli kurubuniwa. Fundisho lenyewe ni kwamba wanaowashawishi (CCM na ACT) wataogopa kushawishi wengine kwa kuogopa kuumbuliwa,washawishiwa wapya wataona huko wanakokaribishwa hakuna manufaa ni uasi na utapeli mkubwa wa kisiasa na,hakuna maslahi ya kisiasa,waliokwisha shawishiwa na kurudi kundini wameshagundua gilba za washawishi nakwa kukaribishwa kundini wamejifunza kuwa CHADEMA sio chama cha visasi.ILA NASHAURI KUWA WAWE KATIKA UANGALIZI WA HALI YA JUU SANA.
 
Mkuu wangu gamboshi kwetu

Ni vizuri ukapuuzia michango yangu na kuipotezea badala ya kunitukana....

Naona u mgeni hapa jukwaani (sina uhakika kama ni mgeni kweli ama ni mwenyeji)...Sijaona sababu ya wewe kuniatack personally badala ya kujibu hoja kwa hoja...

Matusi hayana nafasi JF....
 
Last edited by a moderator:
Ndio ila sasa mwana mpotevu karudi nyumbani mwa baba yake. Tunawapokea nakuwafundisha kwamba wasirubuniwe tena

Kama hawa wameweza kusamehewa, Zitto nae atumie busara ili arudi kundini. Unajua chama tawala kikiwa na upinzani nchi inanyooka, so ZZK akikubali kwa dhati yake, basi asamehewe! Ni ushauri. Ijapokuwa kwa level ya uongoz ZZK alikuwa kiongozi mwandamizi na hivyo vitendo vyake kama Chadema waliona ni kukihujumu chama, ni dhahiri adhabu yake ni lazima iwe kali, na hata akitaka kurudi kundini atapaswa kuchunguzwa mienendo yake ili kujiridhisha. Na of course hiyo ni.kwa chama chochote mfuasi wake akiwapa mashaka lazima wamfanyie uchunguzi kujiridhisha mienendo.yake pasi na shaka!
 
Endeleeni kuhangaika huku mitandaoni. Zitto is another level. Usipende kumlinganisha na hilo kundi lenu la viongozi mbumbumbu walioshindwa na shule.

Huwezi kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ukiwa ulipata zero form six. Unawezaje kuwa msemaji wa chama kama Mnyika huku ulifeli Chuo kikuu? This can only happen in Chadema.

Kama vile Form failure Nape (Div 4 with 28 points) alivyo mwenezi wenu,Kihiyo Lukuvi (Certificate ya Ualimu,hence form four failure)alivyo mshauri wa Rais na mwenyekiti wenu,Kihiyo Mulugo,Failure at all Levels alivyopewa dhamana ya Wizara ya Elimu,these are few to mention.
This can only happen in Tanzania under CCM.
Nadhan tukipata CV yako wewe ndo tunaweza kuzimia kabisa
 
Mkutano unaendelea sasa mjini Shinyanga na pichani ni madiwani walio rubuniwa na ccm wakirejea rasmi baada ya kutubu makosa yao.

Mkuu MTOI kilichonivutia zaidi ni idadi ya umati wa waliojitokeza katika mkutano huo ili kushuhudia aibu ya chama laghai cha CCM na mawakala wao wa ACT.Hakika nakuambia umati huo utasambaza habari hii ya aibu kwa CCM na ACT kwa Shinyanga yote na mikoa ya jirani kama Tabora, Mwanza, Mara na Kagera.na HUO NDIO UTAKUA MWANZO WA MWISHO WA ACT NA MABWANA ZAO.
 
mtoto akinyea mkono wa mama, mkono husafishwa na siyo kukatwa. Hivyo wakaribisheni nyumbani madiwani hao na msiwabague.
 
Endeleeni kuhangaika huku mitandaoni. Zitto is another level. Usipende kumlinganisha na hilo kundi lenu la viongozi mbumbumbu walioshindwa na shule.

Huwezi kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ukiwa ulipata zero form six. Unawezaje kuwa msemaji wa chama kama Mnyika huku ulifeli Chuo kikuu? This can only happen in Chadema.
Jamani naomba msaada, huu ni mwandiko wa Juliana Shonza na sauti pia.............
 
Last edited by a moderator:
Kama vile Form failure Nape (Div 4 with 28 points) alivyo mwenezi wenu,Kihiyo Lukuvi (Certificate ya Ualimu,hence form four failure)alivyo mshauri wa Rais na mwenyekiti wenu,Kihiyo Mulugo,Failure at all Levels alivyopewa dhamana ya Wizara ya Elimu,these are few to mention.
This can only happen in Tanzania under CCM.
Nadhan tukipata CV yako wewe ndo tunaweza kuzimia kabisa

DAH mwanangu amekupiga na bastola wewe umempiga na rocket propelled gruned, RPG.umetisha mkuu.
 
Mkutano unaendelea sasa mjini Shinyanga na pichani ni madiwani walio rubuniwa na ccm wakirejea rasmi baada ya kutubu makosa yao.

Walivyoondoka Mbowe aliwaita wasaliti sasa wamerudi je ataita tena waandishi wa habari ili aeleze kuwa kwa sababu wamerudi jina usaliti halipo tena limefutika au ndo atakaa kimya kama kawaida.
 
mtoto akinyea mkono wa mama, mkono husafishwa na siyo kukatwa. Hivyo wakaribisheni nyumbani madiwani hao na msiwabague.

Cc; Mwl. Kaijage tunaomba ufafanuzi tafadhali au mnachafuliwa tu..............
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom