Nmekutumia inbox mkuuNamba yako tafadhali.
Kwa avatar yako hii, ngoja nijiridhishe kwanza.
Yap. Huyo na mimi tu ndio tutadokoa hiyo zawadi
Ahahaaaa...! Na wewe umo mkuu?.Mie umenitoa kwa kinyang'anyiro?
haitatoke kwanguSalamu wakuu!
Sio kila siku maisha magumu. Leo nipo hapa kurahisisha maisha ya watu, japo kwa kiasi kidogo cha vocha au bucket ya bia.
Jitokeze, jishindie, furahia wikendi.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Ncha Kali.
Salamu wakuu!
Sio kila siku maisha magumu. Leo nipo hapa kurahisisha maisha ya watu, japo kwa kiasi kidogo cha vocha au bucket ya bia.
Jitokeze, jishindie, furahia wikendi.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Ncha Kali.