Shilingi bilioni 1 haitoshi kwa mtu aitegemee kuishi maisha standard kwa miaka 30, inabidi aishi kibahili na nidhamu kubwa ya pesa

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
miaka 30 x siku 365 = siku 10,950

Bilioni 1 gawanya kwa siku 10,950 = el 91 kila siku

Hizo ni hesabu za KUKURUPUKA ambazo anaepiga ana kila dalili ya kukosa maarifa kutambua kwamba pesa huwa inapungua thamani kadri muda unavyoenda (time value of money) hasa kwa mifumuko ya bei,

shilingi 50 ya miaka 20 iliyopita tulitumia kama nauli ya kwenda na kurudi lakini si kwa sasa, ni pesa ya kununulia pipi kifua moja tu.

Ili walau uweze kutumia bilioni 1 kwa miaka 30 basi kuanzia sasa itabidi ujibane matumizi yako yawe laki 6 kwa mwezi, ukizidisha hapo waweza kunyooshwa miaka ya mbele

Tegemea kwamba pesa hio itafubazwa thamani yake kadri muda unavyokwenda.

Kama ikitumika kwa kula kawaida na kununua vinguo, uhakika wa kutoboa miaka 30 upo lakini ukianza mambo ya kula hotelni, kutumia gari zinazotumia mafuta mengi badala ya ist, kunywa heinken badala ya balimi, kusafiri kwa ndege badala ya mabasi, n.k, hio ni pesa hufiki nayo mbali
 
Kama ikitumika kwa kula tu,na kununua vinguo,unatoboa nayo miaka 30 hata kama pesa inabadilika thamani
 
miaka 30 x siku 365 = siku 10,950

Bilioni 1 gawanya kwa siku 10,950 = el 91 kila siku

Hizo ni hesabu za KUKURUPUKA ambazo anaepiga ana kila dalili ya kukosa maarifa kutambua kwamba pesa huwa inapungua thamani kadri muda unavyoenda (time value of money) hasa kwa mifumuko ya bei,

shilingi 50 ya miaka 20 iliyopita tulitumia kama nauli ya kwenda na kurudi lakini si kwa sasa, ni pesa ya kununulia pipi kifua moja tu.

Ili walau uweze kutumia bilioni 1 kwa miaka 30 basi kuanzia sasa itabidi ujibane matumizi yako yawe laki 6 kwa mwezi, ukizidisha hapo waweza kunyooshwa miaka ya mbele

Tegemea kwamba pesa hio itafubazwa thamani yake kadri muda unavyokwenda.
inatosha sana
 
miaka 30 x siku 365 = siku 10,950

Bilioni 1 gawanya kwa siku 10,950 = el 91 kila siku

Hizo ni hesabu za KUKURUPUKA ambazo anaepiga ana kila dalili ya kukosa maarifa kutambua kwamba pesa huwa inapungua thamani kadri muda unavyoenda (time value of money) hasa kwa mifumuko ya bei,

shilingi 50 ya miaka 20 iliyopita tulitumia kama nauli ya kwenda na kurudi lakini si kwa sasa, ni pesa ya kununulia pipi kifua moja tu.

Ili walau uweze kutumia bilioni 1 kwa miaka 30 basi kuanzia sasa itabidi ujibane matumizi yako yawe laki 6 kwa mwezi, ukizidisha hapo waweza kunyooshwa miaka ya mbele

Tegemea kwamba pesa hio itafubazwa thamani yake kadri muda unavyokwenda.
Ni mpumbavu tu ndiye atapokea bil 1 leo na akakaa nayo miaka 30 akiwa anaila tu.
Have you ever thought of investing?
What if I you buy dollars and hold?
 
mhn! kabla sijajibu najiuliza na kujibu maswali mengi sana. ila kwa machache nijadili haya:-
  1. ni kama umekata tamaa na unategemea kufa baada ya miaka 30.
  2. unaweza kuwa kati ya umri wa miaka 30-35 halafu kama umekata tamaa hivi. inafika wakti unawaza zaidi njia za kubahatisha na inaonekana Mshiko wa akina RAMADHANI umekutia kiwewe.
  3. lakini pia umekata tamaa ya uwekezaji unafikiria zaidi kupata hela na kuweka ndani kisha kutumia. hesabu za kiuchumi haziendi hivyo ndugu.
jipange tafuta fedha
 
Pesa sio makaratasi tu.

Pesa ni vyeti.

Vyeti anavyotunikiwa mtu alofanya jambo la maana kwa jamii yake.

Inaweza kuwa kawaletea dhahabu.
Kawaletea huduma ya usafiri.
Au kawaletea sukari.

Basi yeyote mwenye ndoto ya kuendelea kuwa na hela, anapaswa aend3lee kutuhudumia sie wanajamii. Ndio maana hadi leo mo na bakhresa wanatusagia ngano na kutukorogea juisi kila kukija.

Ndio njia pekee ya kuendelea kuwa tajiri. Kuwa mtumishi wa watu. Na ilikuwa (na still is) kweli kabisa ilipoandikwa kwamba: Yule anayetaka kuwa mkuu kati yenu, na awe mtumishi wa wote.

Kuwa na bilioni moja sio utajiri wa kudumu, nnakubali. Bali utajiri ni kama bilioni moja ni mtaji wa kuitumikia jamii yako kwa namna moka au nyingine.
 
Back
Top Bottom