Shigongo amvaa Tundu Lissu

Shigongo amvaa Tundu Lissu

Amtungie kitabu ili apate fedha ya kufidia zile alizodhulumiwa na chama lake la makinikia.
 
Kuna watu waliitwa ni washangiliaji, yani hawana uwezo wa kuelewa masuala nyeti na kuyachambua. Kiongozi wa kundi hilo ni Erick. Inatosha kusema hivyo na tumsamehe.
 
Mfanyabiashara na kada wa Chama Cha Mapinduzi, Erick Shingongo amemnyoooshea kidole Tundu Lissu na kusema anashindwa kuelewa kwanini Mwanasheria huyo amekuwa ni mpingaji wa mambo mazuri na kusema jambo hili linamshushia heshima.

Erick Shigongo amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema yeye kwanza anapongeza hatua alizochukua Rais Magufuli juu ya sakata la madini na kudai kuwa limekuwa na matokeo chanya kwani kiongozi wa Barrick amelazimika kuja Tanzania na kubembeleza yaishe.

"Namheshimu sana Lissu, sana tu. Ni msomi wa sheria, tena mzuri tu! Lakini namshangaa, nashindwa kumwelewa kwa kitu kimoja kwamba kwa nini hawezi kukubali pale jambo jema linapofanyika? Mimi nadhani ni kujijengea heshima kubwa sana kuonyesha uzalendo pale nchi inapopambana na wizi wa maliasili ambazo hata hao Acacia wenyewe wameukubali, sasa kwa nini Lissu anaendelea kubeza kile kinachofanyika? Hakika hili linamshushia heshima" alisema Shingongo

View attachment 525174
endeleza riwaya za ngono mkuu
 
Mfanyabiashara na kada wa Chama Cha Mapinduzi, Erick Shingongo amemnyoooshea kidole Tundu Lissu na kusema anashindwa kuelewa kwanini Mwanasheria huyo amekuwa ni mpingaji wa mambo mazuri na kusema jambo hili linamshushia heshima.

Erick Shigongo amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema yeye kwanza anapongeza hatua alizochukua Rais Magufuli juu ya sakata la madini na kudai kuwa limekuwa na matokeo chanya kwani kiongozi wa Barrick amelazimika kuja Tanzania na kubembeleza yaishe.

"Namheshimu sana Lissu, sana tu. Ni msomi wa sheria, tena mzuri tu! Lakini namshangaa, nashindwa kumwelewa kwa kitu kimoja kwamba kwa nini hawezi kukubali pale jambo jema linapofanyika? Mimi nadhani ni kujijengea heshima kubwa sana kuonyesha uzalendo pale nchi inapopambana na wizi wa maliasili ambazo hata hao Acacia wenyewe wameukubali, sasa kwa nini Lissu anaendelea kubeza kile kinachofanyika? Hakika hili linamshushia heshima" alisema Shingongo

View attachment 525174
Najaribu kufukiria kama endapo nchi hii asingekuwepo MTU anaeitwa LISSU sijui tungekuwa wapi sasaivi...
Nadhani hata hiyo migodi Leo hii ingekuwa mahandaki ya kujificha
 
Wewe shigongo unasumbuliwa na njaa.ccm si ulikuwa unadai pesa ķibao umeshalipwa?
 
Watanzania tuamke... Kuingiza siasa tunapozungumzia maslahi ya Taifa nadhani ni Upumbavu
Nampongeza Mh. rais kwa hatua anazochukua kwa wahujumu wa maliasili za Taifa.
Wanaopinga.... Wapinge coz WAPo #br ney
Umesahau huyu Pombe. Alikuwepo wakati tundulisu na wenzake wanapinga miswada inayotufilisi mbona hakuungana nao? Kama c unafikuna ni nn
Ucshabikie ujinga we
 
Kwamba hata wewe hujui awatete juu ya nani!
Kweli kuwa mfuasi wa Cdm lazima uwe nusu kichwani!
Anaacha kuitetea Tanzania anawatetea Wazungu
Wewe unaona yupo sawa!

Mkapimwe siyo bure
Wewe ndio wa kupimwa
 
Back
Top Bottom