Shigongo amvaa Tundu Lissu

Shigongo amvaa Tundu Lissu

Ameshalipwa na CCM lile deni lake,maanake alilia kama mtoto.Naye ni tapeli tu kama wanachama wenzake.Aingii akilini umejifunga mwenyewe kwenye mikataba ya kishenzi,uje kumsingizia mtu mwengine.
 
Mtu akishaitwa tundu unategemea nini hii nchi ina Uhuru mkubwa nchi za wenzetu mtu kama tundu lisu hata u prefect wa shule ya msingi hawezi kupewa
Kweli au just joking
 
Akili ya Shigongo ni nyembamba hana hoja yakinifu za kumpinga Counsel Lissu.
 
Mfanyabiashara na kada wa Chama Cha Mapinduzi, Erick Shingongo amemnyoooshea kidole Tundu Lissu na kusema anashindwa kuelewa kwanini Mwanasheria huyo amekuwa ni mpingaji wa mambo mazuri na kusema jambo hili linamshushia heshima.

Erick Shigongo amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema yeye kwanza anapongeza hatua alizochukua Rais Magufuli juu ya sakata la madini na kudai kuwa limekuwa na matokeo chanya kwani kiongozi wa Barrick amelazimika kuja Tanzania na kubembeleza yaishe.

"Namheshimu sana Lissu, sana tu. Ni msomi wa sheria, tena mzuri tu! Lakini namshangaa, nashindwa kumwelewa kwa kitu kimoja kwamba kwa nini hawezi kukubali pale jambo jema linapofanyika? Mimi nadhani ni kujijengea heshima kubwa sana kuonyesha uzalendo pale nchi inapopambana na wizi wa maliasili ambazo hata hao Acacia wenyewe wameukubali, sasa kwa nini Lissu anaendelea kubeza kile kinachofanyika? Hakika hili linamshushia heshima" alisema Shingongo

View attachment 525174
kwani zile pesa zake za vifaa vya kampeni Alishalipwa na ccm?

Yaelekea watu wengi hawamwelewi Bwa Lisu ni nini Anachokitaka.

Labda mimi niwasaidie kidogo.

Bw Lisu Hapingi jitiada za Mh Rais Anazofanya, ila Bw Lisu Anataka Mh Rais Asisafishe Kikombe Nje tu Bali Asafishe Ndani ya Kikombe na Nje ya Kikombe.

Uwezi kushugulikia watu baadhi Alafu ukawaacha wengine Ambao kwa namna 1 au nyingine wanahusika 1/1 nadhani hapa mtakua mmemwelewa Bw Lisu.
 
Katika ulimwengu wa sasa si lazima wote wawe na mawazo yanayofanana ,mawazo mgongano ndio mwisho yanaleta fine product ambayo inakuwa na positive impacts, anachokifanya Lisu si kigeni wala kibaya ulaya watu kama yeye wanaitwa Critics si lazima anachokisema ndio kifuatwe ila katika 100 atakayosema kuna at least 1 litakalosaidia kufikia Mustakabali sahihi kwa manufaa ya waTZ tumwache atoe mawazo yake!
 
Back
Top Bottom