Lissu niwakuogopwa kama Ukoma
huyu Ni msaliti
Kwani si sukumaland!!!Inawezekana anajua, anajikomba tu kwa watawala.
Usisahau Shigongo amepeleka invoice ya upigaji ya mabilioni ccm wamegoma kulipa deni la kitapeli, alipomlilia mama Zakhia Meghji hskuwa na la kumsaidia zaidi ya kumwambia mwanangu kunywa maji.Shigongo ni kama sisimizi kulinganisha na Tembo ambae ndo Lissu
kwenye uelewa wa mambo
We baba weeee!!!Shigongo huyu huyu jamaa aliyeshindwa kumzuia mwanae kuacha ushoga?
Sukumaland imefanyaje?Kwani si sukumaland!!!
Sasa hivi kila mtu aliyesahaulika na anataka akumbukwe basi anajitoa ufahamu na kujifanya anapambana na Lissu na ataonwa. Hiki kifaa kinaitwa Lissu sijui thamani yake tuilinganishe na nini kwa sasa!
Usisahau Shigongo amepeleka invoice ya upigaji ya mabilioni ccm wamegoma kulipa deni la kitapeli, alipomlilia mama Zakhia Meghji hskuwa na la kumsaidia zaidi ya kumwambia mwanangu kunywa maji.
Silly season imeanza upya talajia mtu yeyote usiyeimba mapambio kama kwaya masta wetu anavyoelekeza wewe utaitwa msaliti na siyo mzalendo.
Leo bungeni bila hata chembe ya aibu Kangi Luoga amelitangazia Taifa kwamba Tanzania haijawahi kupata Rais kama Magufuli, haya ni matusi na natalajia mwenyekiti wa ccm akemee tabia hii haimjengi kwa lolote zaidi ya wajinga wachache wanaoendeshwa kwa matakwa ya tumbo, video ipo kwenye Facebook page ya mwananchi inaudhi, inakera na inatia kinyaa, ni matusi makubwa leo kumsahau Baba wa Taifa kwa mizuka ya makinia huku hata hesabu ya dhahabu iliyokwenda nje kila Mtanzania alistahili kuwa na Marcopolo lake, sisi ni wajinga sijawahi kuona hapa duniani.
Wazalendo wa kweli wenye mapenzi ya dhati na nchi yetu tunamshauri akemee tabia hii ya kumpachika sifa za marehemu ambayo inaota mizizi, nilidhani wale wa Tbc baada ya kusimamishwa kazi wangekuwa wamejifunza lakini wapi.
Ninasikitika kwamba hata hiyo mikataba ikiletwa bungeni msitalajie lolote la maana kwa aina ya wabunge tulionao na hada majority kutoka ccm huu ni msiba kwa Taifa.
View attachment 525221
Na kuna wapumbavu hayati Bob Marley aliwaita "Stiff naked fool".Ningewashauri wausikilize wimbo wa Peter Tosh uitwao "Downpressor man"
Hivi huyu Shigongo ameshalipwa deni lake la kofia na madela alowauzia CCM? Au anabembeleza ili alipwe?Huyu Shigongo si ni yule wa CCM alienyimwa UBUNGE pale jimboni BUCHOSA??!!!Kama ni yeye mwambieni atuache kidogo
Lisu ni ubishi tu wa kinyaramba unamsumbia ! Hivi ana kesi yoyote ya rejea ?Shigongo ni kama sisimizi kulinganisha na Tembo ambae ndo Lissu
kwenye uelewa wa mambo
Bado najiuliza mkuuHivi huyu Shigongo ameshalipwa deni lake la kofia na madela alowauzia CCM? Au anabembeleza ili alipwe?
Inafurahisha pale unapomsikia Mbunge au Waziri wa CCM anasema Eti Lissu ameshindwa "kutetea wananchi wake jimboni..." sasa najiuliza, anatakiwa awatetee dhidi ya nani? Jibu: awatetee dhidi ya serikali. Ya CCM.Yupo sawa
Lisu kaishiwa, kiki zinamharibu huyu mtu
Kashindwa kuwatetea Wananchi wake
Anawatetea Wazungu
Huyu niwakupimwa sio bure
Na mshipi wa usomi, usomi siyo kila kitu.Hao sio wasomi ni wezi wamevaa itikadi za kijamaa.
Atalipwa vipi deni la kitapeli?Hivi huyu Shigongo ameshalipwa deni lake la kofia na madela alowauzia CCM? Au anabembeleza ili alipwe?
Angetulia asije kuadhirikaBado najiuliza mkuu
Kwamba hata wewe hujui awatete juu ya nani!Inafurahisha pale unapomsikia Mbunge au Waziri wa CCM anasema Eti Lissu ameshindwa "kutetea wananchi wake jimboni..." sasa najiuliza, anatakiwa awatetee dhidi ya nani? Jibu: awatetee dhidi ya serikali. Ya CCM.