Shigongo amvaa Tundu Lissu

Shigongo amvaa Tundu Lissu

Upinzani ni nyenzo muhimu sana nchi hii watu wasiofikiri sawasawa wanaweza kubeza lakini tundu lisu na wenzake wanafanya kazi kubwa sana tena sana kuliko mtu unavyoweza kufikiri bila upinzani mambo yangekuwa vp? Wengi wa wale wanaomsifu rais wana maslahi na wengine huenda ndio wanatafuta maslahi kama huyo shigongo anawaza kwamba huenda akapata uteuzi kwa hiyo lazima awe na juhudi za kumpongeza na kuwabeza wanaompinga rais kwa namna yoyote bila kujali rais yuko sahihi au hayuko sahihi
 
Mfanyabiashara na kada wa Chama Cha Mapinduzi, Erick Shingongo amemnyoooshea kidole Tundu Lissu na kusema anashindwa kuelewa kwanini Mwanasheria huyo amekuwa ni mpingaji wa mambo mazuri na kusema jambo hili linamshushia heshima.

Erick Shigongo amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema yeye kwanza anapongeza hatua alizochukua Rais Magufuli juu ya sakata la madini na kudai kuwa limekuwa na matokeo chanya kwani kiongozi wa Barrick amelazimika kuja Tanzania na kubembeleza yaishe.

"Namheshimu sana Lissu, sana tu. Ni msomi wa sheria, tena mzuri tu! Lakini namshangaa, nashindwa kumwelewa kwa kitu kimoja kwamba kwa nini hawezi kukubali pale jambo jema linapofanyika? Mimi nadhani ni kujijengea heshima kubwa sana kuonyesha uzalendo pale nchi inapopambana na wizi wa maliasili ambazo hata hao Acacia wenyewe wameukubali, sasa kwa nini Lissu anaendelea kubeza kile kinachofanyika? Hakika hili linamshushia heshima" alisema Shingongo

View attachment 525174
Watu kama shigongo hawawezi kumuelewa TL
 
Kalipwa nini?! Hata hivyo kwa level yake sio rahisi kumuelewa Lissu, TL ni next level!
 
Shigongo anaonekana kaishiwa maarifa anatafuta kiki za kuinukia kwa lissu
 
Na wewe Shitigongo ni wa kujua kusoma na kuandika tu vitabu vya Juma naRoza !
Wapi Acacia wamekubali, yaani weye unaamini wamekubali kulipa ?
Nyiemliozoea kuishi kwa kuunga unga ( kwanza lile deni la kofia umelipwa, maana si mliongeza bei mwenyekiti akashtuka au ) na siajabu sasa unatafuta kiki ya kulipwa ?

Kumbe huyu ni kada pia wa wale wa ndiyoooooo....basi naishia hapa.
Shigongo miaka yote ameishi kwa blackmail amekuwa akitumia matukio mbalimbali kujipatia pesa kwa njia haramu sasa kwa kuwa kajileta mwenyewe ngoja wana JF watamsomea dhambi zake zote ikiwemo idadi ya michepuko yake yote itaanikwa hapa
 
Shigongo anaonekana kaishiwa maarifa anatafuta kiki za kuinukia kwa lissu
Shigongo kwanza ni bonge la mshamba fulani kwa wale wasiomfahamu hana ujanja wowote zaidi ya kuishi kwa blackmail.
 
Kalipwa nini?! Hata hivyo kwa level yake sio rahisi kumuelewa Lissu, TL ni next level!
Naunga mkono hoja kwa 100% ni kweli IQ ya shigongo ni zero points zero.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Shigongo Dar Live umeitelekeza unahangaika na Lissu! Wewe kweli si bure, inawezakana umerogwa. Mwenzako amekwisha kuwa na migogoro kadhaa akidai haki yetu kwenye madini huku wewe na chama chako mkimsurubu kwa ajili ya maslahi binafsi bila kujali taifa kwanza kama ilivyo kawaida yenu ya chama kwanza; haya hebu tueleze wewe ulichokwisha kulitendea taifa.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Mke wangu amejaza magazeti yake sebleni kwangu, nakwenda kuyachoma yote na tangu Leo ni marufuku mke wangu au mtu yeyote kuingiza magazeti ya kuwadi huyu ndani ya nyumba yangu.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Upinzani ni nyenzo muhimu sana nchi hii watu wasiofikiri sawasawa wanaweza kubeza lakini tundu lisu na wenzake wanafanya kazi kubwa sana tena sana kuliko mtu unavyoweza kufikiri bila upinzani mambo yangekuwa vp? Wengi wa wale wanaomsifu rais wana maslahi na wengine huenda ndio wanatafuta maslahi kama huyo shigongo anawaza kwamba huenda akapata uteuzi kwa hiyo lazima awe na juhudi za kumpongeza na kuwabeza wanaompinga rais kwa namna yoyote bila kujali rais yuko sahihi au hayuko sahihi
shigongo baada ya hii serikali kuingia madarakani kapigwa na njaa kubwa hata gari zake nyingi ni mkweche kaamu kujipendekeza angalau alipwe vicent vyake vya ufisadi alizowabambikia CCM bili za uongo ni mwizi fulani CCM hawamtaki kaamua kujipendekeza akidhani atapewa ubunge kwa mgongo wa ukabila .
 
Shigongo Dar Live umeitelekeza unahangaika na Lissu! Wewe kweli si bure, inawezakana umerogwa. Mwenzako amekwisha kuwa na migogoro kadhaa akidai haki yetu kwenye madini huku wewe na chama chako mkimsurubu kwa ajili ya maslahi binafsi bila kujali taifa kwanza kama ilivyo kawaida yenu ya chama kwanza; haya hebu tueleze wewe ulichokwisha kulitendea taifa.
shigongo alichowahi kukitendea Taifa ni kumpiga picha majaliwa pindi akiwa naibu waziri na wizi kupitia tenda feki CCM huku akishamiri kwa blackmail hana cha maana zaidi ya hapo
 
  • Thanks
Reactions: MTK
huyu kaishiwa sera kitambo, na hajui Lisu anatetea nini, Lisu awezi kutetea wezi, ila anatoasomo jinsi ya kuwaana twende kwenye ukweli.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Back
Top Bottom