edwin george
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 1,218
- 982
Upinzani ni nyenzo muhimu sana nchi hii watu wasiofikiri sawasawa wanaweza kubeza lakini tundu lisu na wenzake wanafanya kazi kubwa sana tena sana kuliko mtu unavyoweza kufikiri bila upinzani mambo yangekuwa vp? Wengi wa wale wanaomsifu rais wana maslahi na wengine huenda ndio wanatafuta maslahi kama huyo shigongo anawaza kwamba huenda akapata uteuzi kwa hiyo lazima awe na juhudi za kumpongeza na kuwabeza wanaompinga rais kwa namna yoyote bila kujali rais yuko sahihi au hayuko sahihi