Shigongo amvaa Tundu Lissu

Shigongo amvaa Tundu Lissu

Tundu Lissu hana jipya ni opportunist wa kisiasa.

Anarukia kila anachokiona kutafuta "dili".

Halaumiki sana kwa kuwa chama chake hakina sera wala mwelekeo, kila mmoja kivyake.

Sasa hivi chadema kila mmoja anavizia wapi adandie labda kuna dili.

Hizo za kudandia na kupiga dili zilikuwa karata za kina Zitto, wamewahi sasa zimepitwa na wakati.

Amechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Lissu niwakuogopwa kama Ukoma
huyu Ni msaliti
Lissu hanaga hawara wa dhehebu lako but kama umemlenga, malizia mfungo na kisha ufunge na zile sita kwa dhambi hii ya kumwita mtetezi wa raalimali zetu msaliti huku ukiwaacha walio na uelewa mdogo kuliko chief mangungo wakiendelea kuishi kwa kodi zetu! Akili za makinikia mkubwa we!
 
Tundu Lissu hana jipya ni opportunist wa kisiasa.

Anarukia kila anachokiona kutafuta "dili".

Halaumiki sana kwa kuwa chama chake hakina sera wala mwelekeo, kila mmoja kivyake.

Sasa hivi chadema kila mmoja anavizia wapi adandie labda kuna dili.

Hizo za kudandia na kupiga dili zilikuwa karata za kina Zitto, wamewahi sasa zimepitwa na wakati.

Amechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Ukiwa na swaum hutakiwi kusema uongo wala unafiki..au leo hujafunga uko kwenye Hedhi.
 
Yupo sawa
Lisu kaishiwa, kiki zinamharibu huyu mtu
Kashindwa kuwatetea Wananchi wake
Anawatetea Wazungu
Huyu niwakupimwa sio bure
Kwa uelewa wako Lissu ana watetea wanzungu?
Njia aliyoichukua Rais Wetu hata Lissu alisemaga...lakini lissu ameenda mbali zaidi kwenye hzo hatua zaidi ya kushughulikia makinikia!,
 
Tundu Lissu hana jipya ni opportunist wa kisiasa.

Anarukia kila anachokiona kutafuta "dili".

Halaumiki sana kwa kuwa chama chake hakina sera wala mwelekeo, kila mmoja kivyake.

Sasa hivi chadema kila mmoja anavizia wapi adandie labda kuna dili.

Hizo za kudandia na kupiga dili zilikuwa karata za kina Zitto, wamewahi sasa zimepitwa na wakati.

Amechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
kikongwe wetu uliyepotea jamvini kitambo kidogo hatimaye umefufukia huku kwa shigongo! Nilijua tu, ni lazima umuunge mkono mjeruhiwa mwenzako baada ya kupigwa chini na hao mabedui wenzako (ccm)!
Kumwita Lissu kama mwona fursa hakushindeni nini wawili. Hivi huyo shigongo alishalipwa zile pesa anazoidai ccm?
Lissu ni zaidi ya mzalendo na kama ni mkao wa viti basi, angekaa jirani sana na Sokoine, Nyerere, Filikunyombe na Chachage kwa ujasiri wao wa kupigania mali zetu!
Wewe hapo ulipo unalo lipi ulilolipigania kwa taifa hili zaidi ya tumbo lako linalokuongoza kuuza ardhi ya kijiji kwa waarabu huko kigamboni ulikojificha? Kwa unafiki wako huu, kufunga kwako hakuna maana!
 
Shigongo na tenda za Ccm

Wala hatoweza kumuelewa Lisu maana unapalilia ulaji wako
 
Tatizo unaweza kuwa na pesa lakini pia uelewa ukawa ziro ,hivi swala la madini nani amepambana nalo toka 98 mpaka leo walikuwa wanambeza wanafunga mikataba ya kipumbavu taifa likaanza kuibiwa na wao ccm kupewa pesa za uchaguzi leo hawa vinyonga wamegeuka eti wameibiwa harafu yanaziba masikio na kuanza kumgeuka mwanzilishi kama shigongo angekuwa anaelewa vyema awaambie ccm ndg zake wawaombe msamaha watanzania sio eti anamshaangaa lisu kwa lipi ?aache kujipendekeza awe mkweli tu,yeye nfo anajivunjia heshma kwa kutokuusema ukweli.
 
huyu si ndo ambaye alikuwa anakidai chama cha makinikia na kila kila akifika pale lumumba anaambiwa kunywa maji mwanangu.....
 
Lissu anaeleweka vizuri kwa wenye ubongo mkubwa kuwa hatua za rais hazitoshi ila ziongezwe zingine na ndipo wenye ubongo mdogo kama shigongo na ma ccm wengine wanasema anapinga
 
Mfanyabiashara na kada wa Chama Cha Mapinduzi, Erick Shingongo amemnyoooshea kidole Tundu Lissu na kusema anashindwa kuelewa kwanini Mwanasheria huyo amekuwa ni mpingaji wa mambo mazuri na kusema jambo hili linamshushia heshima.

Erick Shigongo amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema yeye kwanza anapongeza hatua alizochukua Rais Magufuli juu ya sakata la madini na kudai kuwa limekuwa na matokeo chanya kwani kiongozi wa Barrick amelazimika kuja Tanzania na kubembeleza yaishe.

"Namheshimu sana Lissu, sana tu. Ni msomi wa sheria, tena mzuri tu! Lakini namshangaa, nashindwa kumwelewa kwa kitu kimoja kwamba kwa nini hawezi kukubali pale jambo jema linapofanyika? Mimi nadhani ni kujijengea heshima kubwa sana kuonyesha uzalendo pale nchi inapopambana na wizi wa maliasili ambazo hata hao Acacia wenyewe wameukubali, sasa kwa nini Lissu anaendelea kubeza kile kinachofanyika? Hakika hili linamshushia heshima" alisema Shingongo

View attachment 525174
Mwambie Eric atulie, anywe maji.
 
Mfanyabiashara na kada wa Chama Cha Mapinduzi, Erick Shingongo amemnyoooshea kidole Tundu Lissu na kusema anashindwa kuelewa kwanini Mwanasheria huyo amekuwa ni mpingaji wa mambo mazuri na kusema jambo hili linamshushia heshima.

Erick Shigongo amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema yeye kwanza anapongeza hatua alizochukua Rais Magufuli juu ya sakata la madini na kudai kuwa limekuwa na matokeo chanya kwani kiongozi wa Barrick amelazimika kuja Tanzania na kubembeleza yaishe.

"Namheshimu sana Lissu, sana tu. Ni msomi wa sheria, tena mzuri tu! Lakini namshangaa, nashindwa kumwelewa kwa kitu kimoja kwamba kwa nini hawezi kukubali pale jambo jema linapofanyika? Mimi nadhani ni kujijengea heshima kubwa sana kuonyesha uzalendo pale nchi inapopambana na wizi wa maliasili ambazo hata hao Acacia wenyewe wameukubali, sasa kwa nini Lissu anaendelea kubeza kile kinachofanyika? Hakika hili linamshushia heshima" alisema Shingongo

View attachment 525174
Shogongo acha kujifanya hamnazo.
Unatetea ukada wako tu ambao umeyumba.
Lissu na timu yake hawakuanza Leo kupigia kelele wizi unaofanywa na makada nguli wa ccm.
Hawa makada nguli ndio walio ifikisha nchi hapa ilipo.
Shigongo ulipaswa umuunge mkono lissu badala ya kumlaumu kwani anachofanya lissu ni muendelezo wa kutetea wananchi kwa njia ambayo makada wa ccm inawakera japo inaukweli ndani yake.
Acheni aendelee kuwabana na IPO siku mtajua Nani ndie aliyetumaliZa kwa kutunyonya uchumi wetu.
Ukweli unabaki palepale CCM ndio iliyotufikisha hapa tulipo.
Hata Mr Pombe nae alishiriki kupiga meza na kuzomea wakati wapinzani wanapinga ufisadi wa sheria ya madini iliyopitishwa na wabunge wa CCM
 
Kumuelewa lissu unatakiwa uwe extra genius na IQ iwe kubwa saana, vinginevyo huwezi kumuelewa Lissu..
 
Lissu niwakuogopwa kama Ukoma
huyu Ni msaliti
Acha kujifanya na wewe hamnazo kama makada wezi vibaka wa Ccm.
Kwani waliopitisha miswada ya madini ambayo imetumaliza Leo ni CCM. Lissu hakuwepo kabsaa.
Acha uzombi
 
Back
Top Bottom