Shida ya wanaume humu ni hii

Shida ya wanaume humu ni hii

Wanajifanya wao Wana machine kubwa, wanaweza kwenda hadi bao tano... Mara tulienda vacation na side chick, mara oooh ananipenda lkn simpendi...... Story za vijiweni vinaletwa humu..... Asilimia kubwa ya wanaume wa humu wanamaisha magumu kama magaga ya nyangumi.........ety mwingine anasema yani mie ambae ameishia form 4 na mwingine mwanamke mwembamba simuwez.....kumbe hao wote vibamia mfukoni na mdomoni.... Khaaaaah balaa lipo humu



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
hii comment imenichekesha mno
 
Kudadadek yaan mim kuja kukupokea na bajaj stend ndo uje kunismanga huku kwel!!!

Hayaa umeshajua naish chumba kimoja' uswahilin ndo uje kunisimanga why!!!!!!

Nilijipma siku ile nikaacha vumbi la zaire nikaishia kota nane!!! ndo uje uanike madhaif yangu huku jukwaan...

Mods please.,....futen uz!!
 
Kudadadek yaan mim kuja kukupokea na bajaj stend ndo uje kunismanga huku kwel!!!

Hayaa umeshajua naish chumba kimoja' uswahilin ndo uje kunisimanga why!!!!!!

Nilijipma siku ile nikaacha vumbi la zaire nikaishia kota nane!!! ndo uje uanike madhaif yangu huku jukwaan...

Mods please.,....futen uz!!
 
Mimi binafsi nina kipato Cha kawaida nina mahusiano na mwanamke ambaye ni mzuri ile mbaya wakati aliomba niishi nae nilikuwa very honestly nikamwambia uhalisia wa maisha yangu na hadi sasa hiv tuna zaidi ya mwaka ninaishi nae sio kila mwanamke anapenda awe na mtu anayefake maisha me nachoona uhalisia wako Unaweza ukafanya demu akupende au upigwe chini lakini ukiwa muwazi inasaidia kujua mapenzi aliyonayo huyo mtu wako kwako
Nikweli mwaya kama ungekuwa karibu ningekupa big BIG UP MY DEAR .
 
Wanajifanya wao Wana machine kubwa, wanaweza kwenda hadi bao tano... Mara tulienda vacation na side chick, mara oooh ananipenda lkn simpendi...... Story za vijiweni vinaletwa humu..... Asilimia kubwa ya wanaume wa humu wanamaisha magumu kama magaga ya nyangumi.........ety mwingine anasema yani mie ambae ameishia form 4 na mwingine mwanamke mwembamba simuwez.....kumbe hao wote vibamia mfukoni na mdomoni.... Khaaaaah balaa lipo humu



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
HONGERA JAMANI KWA KUKOMENT VIZURI HUO NDIO UKWELI HAWANA HELA FULL STOP
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom