Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 4,680
- 5,653
We Are So Primitive
Mtu asome kitu ambacho kitamsaidia na kumpa ujuzi
Ndio maana Watu wanalalamika Ajira hamna wakati Ilitakiwa upate elimu ambayo itakufanya ujiajiri
Mfano mtu anatoka anakuja kuanzisha kiwanda au kampuni
Ni watu wangapi walivyokuwa wadogo walikuwa wanandoto kubwa ila zimeisha njiani?
Ni wangapi walisema watakuja kuwa mapilot ila sasa hivi wapo mtaani?
Mfano mchukue mtoto wako asomee nje utaona ndoto yake atakaimalisha kiurahisi kuliko huku
Tumeachia mifumo ya kikoloni
Tumebase sana kwenye Theory na mitihani kuliko vitu vya vitendo
Umegundua nini?
Hii hali itakaa hadi miaka mingapi?
Je, wameshindwa hata kuweka kwamba mtu asomee anachokitaka na apate ujuzi na kusave muda
Maana mtu anaweza kuzeekea kwenye kusoma alafu hamna kitu
Nyundo, Stick, Soksi- MADE IN CHINA, Nondo, Betri za saa hadi Nati
HIVI KWELI? Tumeshindwa na sisi
Hayo yote ni Kwa sababu ya mfumo wa elimu usiokuwa na matunda makubwa, Nguvu nyingi zinatumiwa na mavuno ni madogo
Kuna vitu vidogo vidogo tu mtu ajifunze mapema then baadaye apate vitu vya msingi, Sasa shida hivyo hivyo vitu vinawekwa vya kusomwa miaka miiingi
Yani Form 4aAnakuja kuambiwa aunganishe mambo ya meter bridge ambavyo ni vitu vidogo vidogo alf ni vitu vya kizamani sana
Ilitakiwa awe amebuni vitu vikubwa au anatengeneza marobot
Hehe
Wenzio wanatengeneza Marobot, Alf huku mtu anaunganisha umeme kusoma current 🤣🤣 na bado mavifaa mabovu
Alf mseme Elimu bora?
Umegundua nini?
Umeanzisha nn kipya?
Je umetimiza ndoto yako?
Mtu asome kitu ambacho kitamsaidia na kumpa ujuzi
Ndio maana Watu wanalalamika Ajira hamna wakati Ilitakiwa upate elimu ambayo itakufanya ujiajiri
Mfano mtu anatoka anakuja kuanzisha kiwanda au kampuni
Ni watu wangapi walivyokuwa wadogo walikuwa wanandoto kubwa ila zimeisha njiani?
Ni wangapi walisema watakuja kuwa mapilot ila sasa hivi wapo mtaani?
Mfano mchukue mtoto wako asomee nje utaona ndoto yake atakaimalisha kiurahisi kuliko huku
Tumeachia mifumo ya kikoloni
Tumebase sana kwenye Theory na mitihani kuliko vitu vya vitendo
Umegundua nini?
Hii hali itakaa hadi miaka mingapi?
Je, wameshindwa hata kuweka kwamba mtu asomee anachokitaka na apate ujuzi na kusave muda
Maana mtu anaweza kuzeekea kwenye kusoma alafu hamna kitu
Nyundo, Stick, Soksi- MADE IN CHINA, Nondo, Betri za saa hadi Nati
HIVI KWELI? Tumeshindwa na sisi
Hayo yote ni Kwa sababu ya mfumo wa elimu usiokuwa na matunda makubwa, Nguvu nyingi zinatumiwa na mavuno ni madogo
Kuna vitu vidogo vidogo tu mtu ajifunze mapema then baadaye apate vitu vya msingi, Sasa shida hivyo hivyo vitu vinawekwa vya kusomwa miaka miiingi
Yani Form 4aAnakuja kuambiwa aunganishe mambo ya meter bridge ambavyo ni vitu vidogo vidogo alf ni vitu vya kizamani sana
Ilitakiwa awe amebuni vitu vikubwa au anatengeneza marobot
Hehe
Wenzio wanatengeneza Marobot, Alf huku mtu anaunganisha umeme kusoma current 🤣🤣 na bado mavifaa mabovu
Alf mseme Elimu bora?
Umegundua nini?
Umeanzisha nn kipya?
Je umetimiza ndoto yako?