Shibuda si riziki CHADEMA

Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.
CDM kama m2 anayeigiza, watu weengi hujikusanya kumwangalia ila akisema wachangie hola. tuwaangalie tufurahi lkn kura no
 
Bora ccm ikaendelea kutawala lakini siyo chama cha kifamilia.

Mkuu assadsyria (pamoja na shy land) nimekuwa ninafuatalia threads zako na kugundua wewe ni mtu wa ajabu kabisa. Hivi nikisema kuwa kwa wachina wanao tuletea substandard products hapa kama damping place wana tofauti gani na wewe nitakuwa nimekukashifu au la?
Sasa basi ni hivi:
Mhs Shibuda akifukuzwa officially na CDM atakuwa amepata heshima ya juu sana. Kwa maana hiyo ni kumuacha alivyo kama si kumdharau. Anaitafuta sana hiyo heshima ya kufukuzwa wakati anasahau kuwa hiyo heshima hataipata kamwe!
 
Madaha John-with-Victor Mbonicaand-48 others

3 hrs-·-

Mpendwa soma hii Habari.

Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

Angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe

Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-

Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.

Wewe tangu uukose udc kwa kukosa mbinu mbadala za kuwashawishi wakubwa basi umeamua kujitoa akili ili uonewe huruma.
 
Teh Teh kumbe ndio maana hawataki kuondoka kwenye hiyo ofisi kumbe ni ya baba mkwe...hahahaha.
Bavicha chaliiii
 
Madaha John-with-Victor Mbonicaand-48 others

3 hrs-·-

Mpendwa soma hii Habari.

Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

Angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe

Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-

Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.



assadsyria3
Kweli Watanzania kweli hatujui DEMOKRASIA ya kweli ILA tunawekeana visa na hatutafutii UFUMBUZI au KUCHUNGUZA Mantiki zetu ila tu ni KUONGELEA CHUKI

Kama SHIBUDA alikuwa ana hayo MATATIZO ya UWENYEKITI wa CHAMA ni kwanini hasemi na kulalamikia CHAMA CHA UDP ambacho ni jirani huko kwake -- TOKA KIANZISHWE hadi LEO -- MWENYEKITI WAKE ni MZEE CHEYO ???

Mbona hakuna dukuduku na wasiwasi kwake na hao washabiki wanaoikichukia chama FULANI sababu ya MASLAHI YAO?

Acha ya MZEE CHEYO; EMBU ANGALIA CHAMA CHA CUF....... TOKA kianzishwe MWENYEKITI na KATIBU MKUU ni wale wale.....

Yaani PROFESSOR LIPUMBA na SEIF SHARIFF HAMAD...



Lakini wewe assadsyria3mnNi lini utaongelea yasiyo na chuki??? DEMOKRASIA sio UBABAISHAJI na KUPOTOSHA wengine wakati THE TRUTH is WRITTEN on THE WALL


FaizaFoxy and kidole007 like this







 
Kwa mtu mwenye akili timamu kabisa.... bila ushabiki wa chama, ukanda, urafiki.....Hii mada/Huu uzi una ukweli kwa 100%
 
Hahaha. Dish la Shibuda toka litikisike naona halijatengamaa. Ni mwendo wa chenga.
 

Attachments

  • 1426272372864.jpg
    1426272372864.jpg
    20.4 KB · Views: 217
Hakuna wa kuhangaika na Mwehu, watu wako busy kufanya kazi za wananchi na kuimarisha chama.Shibuda aende TOT akachukue mikoba ya komba itamfaa sana kwa kazi yake hiyo.

Kwa mashairi na ngonjera zake anafaa kuchukua mikoba ya komba
 
tangu lini kufukuzwa kunabadilika kuwa heshima. bac cdm hakifai vi2 vingi mtamaanisha tofauti mkipewa nchi. Ikulu big no
 
Wafu kama hawa hawakosekani popote.chadema inazidi kupasua anga.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom