Shibuda si riziki CHADEMA

Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Sasa huyo Shibuda kama anaona CHADEMA haifai mbona hatoki? Kama anataka kuondoka si aondoke tu, tena bila kuaga, anataka kufukuzwa ili iweje sasa? Apate promo au aonekane shujaa?
 
Duh ni kweli ni miliki ya mtei na mbowe. sasa katiba gani mnaifuta. tena bila aibu mwanasheria kama tindu anashabikia.
 
Mbona insha nzima ni maneno yanajirudia..
Ukiipeleka fomu2 ukawaambia waseme lengo la mtunzi, watakwambia mtunzi alijiuma uma tu
...
Eti sikusoma katiba vizuri, bado anataka tumwamini, labda hata aya anayosema basi hajayajua vizuri, ....eti sio chama ila ni chama cha....
Sasa kama sio chama then kinakuwaje chama.... Alaf hajajiudhuru bado ni mbunge, kwa iyo roho imekubali kubaki ila domo ndio linapanuka tu.....
 
hivi huyu mtu yupo? naona anatafuta atokeje, mwambie aende BAKITA tu. watu wamempotezea anahangaika tu.
 
Mada za kipumbav kama hizi hazitujengi ,yapo mambo ya kujadili lakini sio ujinga kama huu.Ni nani anao uhakika kama Hugo Shibuda kasema maneno kama haya?.Wezi wa ESCROW kweli wana nguvu tunasagaulishwa kila sekunde kujadili ujinga kabisa.
 
Mfukuzeni badala ya kumtukana. Yeye hajawatukana kawapa za uso.
Kumuacha bila ya kumfukuza au kumjibu ni mateso yanayotosha kabisa. Hadi mtu anafikia hatua ya kuomba kufukuzwa, ujue ameteseka moyoni kwa kuona hana thamani kiasi cha kupotezewa!
 
kwa hiyo CDM inatufundisha kuwa wakikamata nchi wataibaka katiba rais aendelee kuwa mbowe. mmh hiki chama hakifai kabisa
 
Sijaelewa anataka Chadema kife au anataka nini?

Hata CCM makini wangependa upinzani uwe na nguvu ili wakikosolewa wanajua jinsi ya kujipanga. Sasa huyu haelewek ni chama gani! Undumilakuwili mbaya kabisa huu?

CHADEMA ikifa mimi nafurahi sana. cufu na nccr kataeni muungano wa kijinga wa kuongozwa na familia ya kichaga.
 
Madaha John-with-Victor Mbonicaand-48 others

3 hrs-·-

Mpendwa soma hii Habari.

Kwa mara nyingi tena mbunge wa maswa mashariki mhe. John M. Shibuda amesema ninawaomba chadema wanifukuze na mimi kwenye chama cha mzee Edwin mtei nawaomba wafanye hivyo.

Mhe. John shibuda amesema sijawahi kuona katika maisha yangu ya siasa kuona katiba mbovu ya chadema katiba hiyo ni katiba ya familia ya mzee Edwin Mtei na baba mkwe wake freman mbowe.

Mhe. John shibuda amesema wakati naingia chadema sikuisoma vizr katiba ya chama hicho niliisoma tayari nimeshakuwa mbunge baada ya kuisoma katiba ya chadema niliichana na kuchoma moto-

Mhe. Shibuda amesema nilishangaa sana kuona chama hicho kinamilikiwa na familia ya mzee edwin Mtei na mbowe aliyemuoa mtoto wa mzee Mtei mbowe yuko kwa kulinda masilahi ya familia hiyo kwa gharama yeyote.

Mhe. John shibuda amesema baada ya kuona katiba hiyo iko hivyo niliidharau sana katiba hiyo chadema ni chama cha familia ya mzee mtei pia chama cha kikabila asilimia 85 ya Ruzuku inaenda kwenye familia ya Mtei.

Mhe. John shibuda anesema chama hicho sio chama ni chama cha kuweka na kukopa SACCOS hata yalipo sasa makao makuu ya chadema kinondoni nyumba waliyopanga ni nyumba ya mzee Mtei.

Mhe. John shibuda amesema malipo yote ya pango yanaingia kwenya akaunti ya mzee Mtei kila mwisho wa mwezi baadhi ya wanachama hawajui wamevikwa blaketi ni aibu aibu sana.

Mhe. John shibuda amesema hata rafiki yangu Mhe. Zitto kabwe alipotangaza kugombea urai mwaka jana alifuatwa na mumiliki wa chama hicho mzee mtei aliambiwa aache kugombea urais amwachie tena Dk. Slaa.

Mhe. John shibuda amesema hata mhe. Zitto kabwe alipotaka kugombea umwenyekiti wa chadema aliambiwa msaliti wa chama ndio matatizo yaliapoanzia hadi amefukuzwa ndani ya chama kwa kuitwa msaliti.

Mhe. John shibuda amesema tangu chadema ianzishwe na mzee mtei aliyeshika nafasi ya umwenyekiti ni mmoja tu mzee Bob makani hakuna mwingine tena aliyewahi kuwa mwenyekiti ni aibu aibu.

Mhe. John shibuda amesema tangu mzee Mtei akianzishe chama waliowahi kushika nafasi ya mwenyeki ni hao hapo chini-

Angalia hapa chini.


1992-1998 mwenyekiti - edwin Mtei
1998-2003 mwenyekiti -Bob Makani-
2003-2008 mwenyekiti - Freeman mbowe
2009-2014 mwenyekiti - Freeman Mbowe
2015 -2020 mwenyekiti -freeman Mbowe

Mhe. John shibuda amesema uwiano huo unafuatiwa na mhe. Ibrahim Lipumba vinala wa UKAWA hali hiyo ni hatari sana siku ikifika nitawaambia watanzania jinsi chadema ilivyo.

Mhe. John shibuda amesema safari hii tutawakimbiza mchaka mchaka mpaka watanzania wajue ni chama cha ovyo hakifai kuongoza Dola hivi tangu lini chama cha kuweka na kukopa SACCOS kikaongoza nchi ?-

Mhe. John shibuda amesema chama hicho kinaongoza kwa maadamano hakina sera yeyote.

Mhe. John shibuda amesema mumiliki mkuu wa chama hicho ni mzee Mtei huyo hapo chini na baba mkwe wake wako pamoja mbowe ni mlopokaji hana hana uwezo wa kuwa kiongozi-
Asanteni sana-
John Magalle . Shibuda.

Ungekuwa mzalendo wa kweli na kama hayo unayosema yana ukweli wowote ungeondoka siku nyingi sio usubili uchaguzi umekalibia ndio uanze mara ooh chadema haifai mara saccos safari hii hatudanganyiki na nyie wanasiasa mnaotumika kama co...nd.....m
 
Kwa mtanzania wa leo mwenye akili timam kabisa hawezi kumsikiliza SHIBUDA,Kwan shibuda ni fake politician wa karne hii!!!nasema bila kumung'unya.
 
Duh ni kweli ni miliki ya mtei na mbowe. sasa katiba gani mnaifuta. tena bila aibu mwanasheria kama tindu anashabikia.

Kama katiba ya Chadema ni ya kidikteta isingepitishwa na (Serikali)kutambulika na msajili wa vyama vya siasa
 
Shibuda ameichoma katiba ya chadema, Anadai imejaa upuuzi na madudu matupu

Kuna watu wana upeo mdogo sana wa kufikiri kama ameichoma moto kadi kinachomfanya aziondoke CHADEMA ni nini au anasubiri kufukuzwa kama msaliti mwenzake Zitto
 
kwa hiyo CDM inatufundisha kuwa wakikamata nchi wataibaka katiba rais aendelee kuwa mbowe. mmh hiki chama hakifai kabisa

CHADEMA NI JANGA LA KITAIFA FaizaFoxy nakumbuka sana maneno yako, nikupinga hata kukukejili lakn leo nayakumbuka sana maneno yako!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom