Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Wafu kama hawa hawakosekani popote.chadema inazidi kupasua anga.
Umeoneeee?
Wafu kama hawa hawakosekani popote.chadema inazidi kupasua anga.
tangu lini kufukuzwa kunabadilika kuwa heshima. bac cdm hakifai vi2 vingi mtamaanisha tofauti mkipewa nchi. Ikulu big no
Shibuda amechanganyikiwa! Ni wa kupuuzwa kama wapuuzi wengine!
Wafu kama hawa hawakosekani popote.chadema inazidi kupasua anga.
Hivi hata zile za escrow mlikopeshana au mlikwapua?
Teh Teh Bavicha hoi ..Chadema ni chama cha kikabila-Shibuda.
japokuwaShibuda km kweli amesema hayo Maneno Mimi nitamuita ni Mpumbavu. Hivi niwaulize nyinyi Mambumbu wa CCM na Act , Mtu akienda kwa Jirani akakuta vitu visivyo faa atasubiri kufukuzwa au ataondoka mwenyewe?. Mi Naona Shibuda ni punguani ndio maana ana ngangania pale. Km hapafai Aondoke.
Mkuu mtu kusema kweli ndio kuwa mfu? Kwani ni uongo hile sio ofisi ya Mtei na mna mlipa mtei?
Chadema wanamuogopa Shibuda.
Walitoa vitisho kwa yoyote atakae hudhulia kikao cha bunge la katiba atafukuzwa lakini Shibuda amehudhulia mwanzo mwisho na kura ya ndiyo amepiga lakini hajafukuzwa.
Chadema ni chama cha kifamilia.
Teh Teh kumbe ndio maana hawataki kuondoka kwenye hiyo ofisi kumbe ni ya baba mkwe...hahahaha.
Bavicha chaliiii
Mkuu ukiuliza kodi wanayolipa hapo hakuna anaejua ni siri kubwa ni mhasibu mkuu, mbowe na slaa tu.
Ccm ni chama kinachofuga majambazi
Mkuu ulikuwa unajua kama chadema ni chama cha familia?
Teh Teh naona salamu za shibuda umezipokea kwa mikono miwili!