yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
Habari ndo hiyo kaa mkao wakula
Ilianza hivi
![]()
Ikaja hivi
![]()
Ikaja hivi akaanza kuwa mpweke cdm inamtenga
![]()
Mara ikawa Hivi Shibuda akiwa dodoma na JK
![]()
Mara ikawa hivi
![]()
Sasa kesho anarudisha kadi ya cdm
Mnakaribishwa nyote kumuona Shujaa shibuda akimwaga sera za kutoka cdm:A S 100::majani7:
alikuja kwa nia ya kukidhoofisha chama lkn kachemsha.