Yaani magamba wameishiwa mpaka mwisho. Wameona mkutano wao utakosa watu, wameamua kuja na hii ya Shibuda atarudisha kadi kesho! Kweli mfa maji haishi kutapatapa!
Dr. Kupeng'e naona JF wameshasahau kuwa hii ni ID ya Malaria sugu.
MS unazungumziaje hujuma za wazi za uchakajchuaji wa matokeo ya watoto wa kiislamu uliofanywa necta? au ni matunda ya MOU?
na vipi kuhusu unyanyasaji wa waislamu wa zanzibar unaofanywa na mfumo kristo?
ina maana waislamu wameshaukubali mfumo kristo?
Sasa akirudisha Shibuda halafu wakaingia wapya maelfu na wengine kutoka ngome za magamba kama mikoa ya kusini kuna hasara gani? Nadhani ni faida zaidi kuondokana na mropokaji huyu ambaye anaisumbua CDM na makamanda wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.